Uchumi wa machinga??🤣🤣🤣Unaangalia uchumi au unaogopa wageni.
Vipi tegeta na bunju mbagala kinyerezi kuna mgeni gani anaenda
Uchumi wa machinga??🤣🤣🤣Unaangalia uchumi au unaogopa wageni.
Vipi tegeta na bunju mbagala kinyerezi kuna mgeni gani anaenda
Ni hatari sana kama anafikiri wazungu ndio wa kunyenyekewa zaidi ya watanzania ima waafrika .
Mtalia hivyo hivyo na 2025 atashinda asubuhi mapema.Kura za machinga asahau
Nilikwambia wapi nahamia Burundi, nawe trash kabisaHamia Burundi
Kwa hiyo ili CCM ishinde ni lazima awepo Magufuli(Rip)?!!!Magufuli alikuwa anaendelea kuwa raisi inajulikana
Mbona Jiwe kwenye pandora hatujamuona kama kenyata?Jiwe aliwatapeli kwa kuwafurahisha mambo ya hovyo huku akiwaibia hadi 1.5T wao wanashangilia tu.
Wanapiga mayowe ya kitoto tu....🤣🤣Mtalia hivyo hivyo na 2025 atashinda asubuhi mapema.
Ukiona Tz hapakufai hamia tu. Utuachie nchi yenye miji misafi. Timua hao mauchafu machinga wakafie mbeleNilikwambia wapi nahamia Burundi, nawe trash kabisa
Za kwake alificha Chato. Pandora wanaficha OffshoreMbona Jiwe kwenye pandora hatujamuona kama kenyata?
Alificha wap yeye?
Kwanin JK alimuweka Magufuli?Kwa hiyo ili CCM ishinde ni lazima awepo Magufuli(Rip)?!!!
🤣🤣Ukiona Tz hapakufai hamia tu. Utuachie nchi yenye miji misafi. Timua hao mauchafu machinga wakafie mbele
Mirembe una chumba chako wewe, hujui nilimaanisha nini ushakurupuka kudakia jingine. Popoma mwingineUkiona Tz hapakufai hamia tu. Utuachie nchi yenye miji misafi. Timua hao mauchafu machinga wakafie mbele
Kazichukue sasaZa kwake alificha Chato. Pandora wanaficha Offshore
Wakati ukuta,ishu ya machinga na ukosefu wa ajira inakwenda kuwabamiza hatari,kama magu tu alishinda kwa wizi na bado akapita kwa tabuMtalia hivyo hivyo na 2025 atashinda asubuhi mapema.
Machinga ni madalali wa kuuza bidhaa za viwanda vya China wanakuza uchumi wa ChinaUchumi wa machinga??🤣🤣🤣
mda ni mwalimuWakati ukuta,ishu ya machinga na ukosefu wa ajira inakwenda kuwabamiza hatari,kama magu tu alishinda kwa wizi na bado akapita kwa tabu
Yaani unaamini tu CCM ilishinda kwa sababu ya Magufuli?!! Khaaa 😳😳🤣Kwanin JK alimuweka Magufuli?
🤣🤣Machinga ni madalali wa kuuza bidhaa za viwanda vya China wanakuza uchumi wa China
Mtapigwa vibaya hamuuziki mtaani na magu wa kuamrisha wakurugenzi waibe kura hayupoHamia Burundi
Mama asithamini sana Wageni akatusahau wazawa. Awe mzalendo na sio kila kitu anawaza kumfurahisha Mzungu tu
Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
Nilisema zamani kuwa kwasasa tunaongozwa na mwana NGOs. Kila mara utasikia tuandae mradi tuwaombe wenzetu watusaidie. Hutasikia tena tunaweza