Nazgur
JF-Expert Member
- Apr 19, 2020
- 3,730
- 2,850
Maombi yako ni bure tuAsisahau kuwafyekelea mbali akina Sabaya, Chalamila na wengineo..
Maombi yako ni bure tuAsisahau kuwafyekelea mbali akina Sabaya, Chalamila na wengineo..
Kabisa Chief...ngoja tuone.Kimasihara tu jamaa analamba teuzi.
sijawahi ona mwenye akaunti humu aakiteuliwa, kama yupo mtajeKm nisipopata nitaenda kuoga maji ya chato
Hata mim mwenye akaunti hii hapa ikitokea bahat mbaya nikiteuliwa hutonijua,unabishaaa???sijawahi ona mwenye akaunti humu aakiteuliwa, kama yupo mtaje
Sura ya Diwani tangu kufariki kwa Mzee, inafanana sana na Bashiru Ally. Naona wote wakielekea shimo moja. Hata leo amenuna, hata kama ni ukachero sio huo 😁 😁 😁Kilangi atabaki
Diwani atabaki
Ila Biswalo ,Dotto, Wataenda na maji
😂 😂 😂Dk Bashiru kupanda cheo
😂😂😂Macho yamelegea lakini yanaona.
Hii isije ndio ikawa desturi...., Panga Pangua, Weka, Badilisha....., Kama yule aliy
Waziri mkuu lazima awe ni mbunge wa Jimbo mkuu.Waziri mkuu bashiru
PM?RC's
imeisha hiyo
ndio anapanga safu yake ,mapema mno kumtabiria huo upuuziHii isije ndio ikawa desturi...., Panga Pangua, Weka, Badilisha....., Kama yule aliyetoka
Umakini katika kuchagua na Vetting utahakikisha hakuna panga pangua..., (ndio maana nikasema isiwe desturi) yeye kama yeye sababu anaanza upya ana kila haki ya kufumua kila kitu na kufuma upya..., ila kufuma kwa umakini kutaondoa sababu za kufumua fumuaKwahiyo mkuu waache hata kama sio chapakazi?ili tu kusiwe na panga pangua?
Katiba hairuhusu Mkuu.Waziri mkuu bashiru
Mwigulusijawahi ona mwenye akaunti humu aakiteuliwa, kama yupo mtaje
halafu nasikia mama ndio alipendekeza majaliwa awe waziri mkuu kwa hiyo kutolewa labda mambo yawe yameshindikanaPM haiwezekani,ukiteua PM mpya maana yake umavunja Baraza la Mawaziri. Majaliwa yupo sana,kitendo cha kufanya mabadiliko madogo yamemuhakikishia kubaki na nafasi yake