Ridomil gold
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 2,774
- 2,201
Mkuuu leo upo upande wa January nakuona mkuu Post za Mbowe umepunguza vip kulikoni au unabadilisha upepo?Uchawa ni kazi ngumu sana ! Mtalia hadi lini ?
Mkuuu leo upo upande wa January nakuona mkuu Post za Mbowe umepunguza vip kulikoni au unabadilisha upepo?Uchawa ni kazi ngumu sana ! Mtalia hadi lini ?
Techonoly inabadilika sana. mafuta yanaanza kupoteza mwelekeo. Umeme na matumizi ya Hydrogen kuzalishia nishati, yanaweza kabisa kuua soko la mafuta na gas, miaka ijayoKwani itaoza mkuu…wacha ikae pending kwanza….wizara imevamiwa na watu ambao wanasadikika kuwa na makandokando mengi…wanatupa wasiwasi mno…
mzee wa kupiga madili na michongo.Wakuu salaa,
Ukiirejea speech ya Rais alisema kamuondoa kalemani ajili ya utendaji mbovu, lakini ukitizama yanayoendelea wizara ya nishati utagundua makamba kapwaya kuliko mtangulizi wake.
Kama kweli utendaji mbovu ndo kigezo cha kumuondoa mtu, basi rais tuondolee makamba, vinginevyo utatufanya tutaamini, Makamba ni waziri wa mchongo na wala Kalemani hakuondolewa kwa utendaji mbovu.
na mgao wa umeme ushaanza, uhuni mtupu.Habari za Bwawa la Nyerere na Ngonjera za Bwana January Makamba ni ushahidi tosha kuwa Makamba ni dhaifu sana ukimlinganisha na Dr Kalemani
Mama Samia anapaswa kutuambia Je alimtumbua Kalemani kwasababu ya uwezo Mdogo au ni chuki binafsi ambazo haziangalii maslahi mapana ya Taifa?
Makamba ni mtu mwenye tuhuma za ufisadi tangu akiwa mwenyekiti kamati ya Bunge yeye na Mwigulu Waziri wa fedha.
Kuchelewa kwa Bwawa hili je ni conspiracy au nini?
Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
Wewe nae umeshakuwa kilaza, wenzio tunajadili maswala ya kitaifa, wewe umebaki kumfikilia mbowe, pole sanaUchawa ni kazi ngumu sana ! Mtalia hadi lini ?
Mbowe katokea wapi tena ! Hivi Kalemani aliyekuwa anazindua umeme kwenye nyumba za udongo na nyasi ndio wa kumfagilia hadi mnakonda kweli ?Wewe nae umeshakuwa kilaza, wenzio tunajadili maswala ya kitaifa, wewe umebaki kumfikilia mbowe, pole sana
Lakini sio huyu wa kutuambia Hakuna Crane ya kunyanyua Tone 26, Wakati site zipo hadi za tone 30Mbowe katokea wapi tena ! Hivi Kalemani aliyekuwa anazindua umeme kwenye nyumba za udongo na nyasi ndio wa kumfagilia hadi mnakonda kweli ?
Sukuma Gang at work
Rais Samia hakumtengua Kalemani ispokuwa Makamba na genge lake walimfanyia kitu kibaya sana tena wakamtafuta kumuondoa. Genge la wahuniWakuu salaa,
Ukiirejea speech ya Rais alisema kamuondoa kalemani ajili ya utendaji mbovu, lakini ukitizama yanayoendelea wizara ya nishati utagundua makamba kapwaya kuliko mtangulizi wake.
Kama kweli utendaji mbovu ndo kigezo cha kumuondoa mtu, basi rais tuondolee makamba, vinginevyo utatufanya tutaamini, Makamba ni waziri wa mchongo na wala Kalemani hakuondolewa kwa utendaji mbovu.
Wakuu salaa,
Ukiirejea speech ya Rais alisema kamuondoa kalemani ajili ya utendaji mbovu, lakini ukitizama yanayoendelea wizara ya nishati utagundua makamba kapwaya kuliko mtangulizi wake.
Kama kweli utendaji mbovu ndo kigezo cha kumuondoa mtu, basi rais tuondolee makamba, vinginevyo utatufanya tutaamini, Makamba ni waziri wa mchongo na wala Kalemani hakuondolewa kwa utendaji mbovu.
Kalemani hajui na hawezi kujikomba kama Mkamba. Makamba anajikomba, na baba yake anamuongezea nguvu kujikomba. Sasa ukoo ukijikomba, kwa nini umng'ang'anie asiyejuwajuwa kujikomba!Wakuu salaa,
Ukiirejea speech ya Rais alisema kamuondoa kalemani ajili ya utendaji mbovu, lakini ukitizama yanayoendelea wizara ya nishati utagundua makamba kapwaya kuliko mtangulizi wake.
Kama kweli utendaji mbovu ndo kigezo cha kumuondoa mtu, basi rais tuondolee makamba, vinginevyo utatufanya tutaamini, Makamba ni waziri wa mchongo na wala Kalemani hakuondolewa kwa utendaji mbovu.