johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,780
- 141,667
Juu ni Moja tu Ndio sababu kila kitu bungeni anayeshukuriwa ni Rais wa JMTNdio ni mbinguni pekee, lakini sio hapa duniani, hapa kuna juu kila upande na kila ngazi.
Juu ni Moja tu Ndio sababu kila kitu bungeni anayeshukuriwa ni Rais wa JMTNdio ni mbinguni pekee, lakini sio hapa duniani, hapa kuna juu kila upande na kila ngazi.
Inakuuma Sukuma Gang? Hapo Samia alikuwa anaelekeza wenyeviti wa CCM mikoa au viongozi wa serikali?Vijana wa Chadema wanaripoti mambo ya mwenyekiti wa CCM.
Huku ni kufuja pesa za walipa kodi tu .mpaka mtu anateuliwa kuwa waziri hajui majukmu yake tu mpaka tukamfundishe tenaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akifunga Mkutano wa Faragha (Retreat) wa Mawaziri, Naibu Mawaziri, Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa Arusha (AICC) Jijini Arusha, leo tarehe 04 Machi, 2023
RAIS SAMIA ANAZUNGUMZA
Yapo mataifa ambayo yana watu wachache na ardhi yao ni ndogo lakini kwa kuwa uongozi wao ni bora yameendelea na furaha ndani ya Nchi ni kubwa, naamini sisi viongozi katika nafasi zetu tukibadilisha mitazamo yetu na kuacha mazoea tunaweza kuleta mafanikio makubwa.
Mitazamo yetu ikibadilika ni wazi migongano na mapambano sehemu ya kazi havitakuwepo, ubadhirifu utaisha, utendaji wa kazi utaimarika.
Niwasihi baada ya mafunzo haya twende tukaache migongano, kusengenyana, tukaaminiane, tuache uvivu, uzembe ili tukafanye kazi za watu kubwa zaidi tukaache dharau.
Tunawahudumia Wananchi wenye nchi, wala tusidharauliane wenyewe kwa wenyewe.
MAWASILIANO NDANI YA SERIKALI
Twende ngazi kwa ngazi, kosa kubwa tunalofanya ndani ya Serikali ni kudhani mawasiliano yamefanyika, tunasahau taarifa na mawasiliano.
Taarifa ni pale unapolisema jambo lakini haina maana itafika kule unapokusudia, ili ifike lazima kuwe na mawasiliano, pia hakikisha jambo lako limefika usidhani.
JIAMINI
Kama ukijiamini utafanikiwa, usipojiamini unajiwekea vikwazo mwenyewe, ukijiamini utapata mbinu, nendeni mkafanye kazi kwa kujiamini, aminini uwezo wenu, mnapofanya maamuzi sema haya ni maamuzi yangu.
Sema nimeamua haya kutoka na hali hii au hii, tusielekee kusema ‘haya ni maelekezo kutoka juu’, hiyo utakuwa haujiamini, fanya mamuzi kwa kujiamini na uwe tayari kutetea maamuzi yako
Hiyo serikali ni ya Chadema au TLP??Inakuuma Sukuma Gang? Hapo Samia alikuwa anaelekeza wenyeviti wa CCM mikoa au viongozi wa serikali?
Wewe unapajua juu ni wapi?Ni kweli
Maana awamu ya 5 kila kitu walisingizia ni amri kutoka Juu kumbe urongo mtupu
Mfano uwepo wa akina Halima Mdee walisingizia ni amri kutoka kwa Shujaa, lakini mbona bado wanadunda bungeni hadi Kesho!!
Ok, kumbe na Samia nae ni sana tu, kwasababu sheria bado ni zile zile.Alikuwa sana tu kwa sheria za Tanzania raisi ndio kila kitu
Mvinyo ya zamani chupa mpya😂😂😂😂😂😄😄Imeshaamua kwa kumtoa Mahela pale NEC
Well said, kuna watu wa ovyo sana utasikia amri kutoka juu, ukimuuliza juu kwa nani nimuone hasemi, uoga na kutokujiaminiMh Rais Samia amewaasa watumishi wa serikali kuhakikisha wanajiamini wanapotekeleza majukum yao.
Amesisitiza watende kwa kuzingatia sheria na wawe tayari kuwajibika kwa maamuzi hayo huku wakizingatia sheria zinasemaje.
Mh Samia amewaonya wasielekee kule tuliko toka kwa kudai ni amri kutoka juu. Hiyo ni dalili ya kutojiamini.
Ameyasema hayo akizungumza na mawaziri, manaibu waziri na makatibu wakuu na viongozi mbali mbali wa juu ktk serikali.
Tatizo ni mifumo mibovu, kikifanyika nzuri ni cha Rais, kibovu cha watendajiMh Rais Samia amewaasa watumishi wa serikali kuhakikisha wanajiamini wanapotekeleza majukum yao.
Amesisitiza watende kwa kuzingatia sheria na wawe tayari kuwajibika kwa maamuzi hayo huku wakizingatia sheria zinasemaje.
Mh Samia amewaonya wasielekee kule tuliko toka kwa kudai ni amri kutoka juu. Hiyo ni dalili ya kutojiamini.
Ameyasema hayo akizungumza na mawaziri, manaibu waziri na makatibu wakuu na viongozi mbali mbali wa juu ktk serikali.
mwigulu alitudharau eti tuende BurundiRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan leo amefunga Mkutano wa Faragha wa Mawaziri, Naibu Mawaziri, Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu Jijini Arusha ambapo amewataka viongozi baada ya kurejea kwenye majukumu yao wakaache migongano, kusengenyana, kuhujumiana, uvivu na uzembe ili wakaaminiane na kushirikiana kufanya kazi za Watu (Wananchi)
Rais Samia amesisitiza kuwa WANANCHI NDIO WENYE NCHI NA HAWAFAI KUDHARAULIWA lakini pia amewataka viongozi kutodharauliana wao kwa wao.