Dogo1
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 1,361
- 576
Jamii
JF imevamiwa na vilaza ambao wanashindwa kufikiriNi wivu tu, hamna lolote.
Huyo Makamba hiyo nafasi ana muda gani tangu ateuliwe. Yani muda huo mfupi ndio atatue matatizo tuliyojitengenezea miaka kibao?