thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,256
- 9,085
- Thread starter
- #141
Huu ni ukweli adimu sana kusemwa hadharani,kongole zako mkuu, mtu anayeiangamiza hii nchi kwa sasa ni Jakaya Kikwete,sijui kwanini wanamlea kiasi hiki, hapana!, something must be done including eliminating of himMtu mwenye akili timamu anajua Makamba kapewa cheo cha Uwaziri kwa upendeleo (pamoja na bodi yote iliyojaa ex President JK sycophants) na siyo kwa uwezo aliyo nao. Hili kwa Wafanyakazi wa TANESCO linakuwa very demoralizing in the long run.