Mama samia tuaomba uwe unasikiliza kauli za mawazili unazitafakari, unapata a maoni ya wale wanao athiriwa na matamko hayo ili kubalance.
Mheshimiwa Rais uhamisho ni haki ya kiutumishi kwa mujibu wa sheria na katiba .
Mheshimiwa rais kauli ya Ummy kuzuia uhamisho wa watumishi ni kinyume na utaratibu.
Ni kweli hii ni kazi ya vyama vya wafanyakazi, asasi za kiraia na watetezi wa haki za binadamu kulaani tamko hilo kuomba kukuona lakini wameshindwa acha tutumie jukwaa hili kufikisha kilo chetu.
Mheshimiwa Rais ajira siyo utumwa, Kupangwa kijijini isiwe jinai
Kuna mtu ana genuine reasons za kuhama ambazo zingine ni kunusuru uhai wake, au watoto wake.
Sasa unamzuiaje kama bila yeye kuwepo pale matatizo ni mazito?
Mheshimiwa Ili mtu aombe ruhusa ya kuhama akubaliwe lazima astate sababu zinazojitosheleza.
Ni vizuri waziri ujue nature ya viongozi wetu wa chini ni waoga sana ukisema huko huku mtu anaweza kufa au kufiwa ofisin na asipewe uhamisho.
Jua familia zetu zina haki, watoto wetu wana haki ya kupata malezi ya wazazi au mzazi. mfano mzazi ni mmoja ataacha familia peke yake kwel?
Tunaomba vibali vyote vilivyo pitishwa na wakurugenzi vimekwama mikoani vitolewe.
Wakuu hao wapewe mamlaka ya kuona sababu ya uhamisho kwa kipindi hiki tukisubiri waraka utakao toa sifa za mtu kuhama
Mheshimiwa Rais mwambie waziri Ummy atengue kauli au ifute wewe, watumishi tunaumia huku na matamko. tuishi kwa hakI na sheria jamani inawezekana
Mheshimiwa Rais uhamisho ni haki ya kiutumishi kwa mujibu wa sheria na katiba .
Mheshimiwa rais kauli ya Ummy kuzuia uhamisho wa watumishi ni kinyume na utaratibu.
Ni kweli hii ni kazi ya vyama vya wafanyakazi, asasi za kiraia na watetezi wa haki za binadamu kulaani tamko hilo kuomba kukuona lakini wameshindwa acha tutumie jukwaa hili kufikisha kilo chetu.
Mheshimiwa Rais ajira siyo utumwa, Kupangwa kijijini isiwe jinai
Kuna mtu ana genuine reasons za kuhama ambazo zingine ni kunusuru uhai wake, au watoto wake.
Sasa unamzuiaje kama bila yeye kuwepo pale matatizo ni mazito?
Mheshimiwa Ili mtu aombe ruhusa ya kuhama akubaliwe lazima astate sababu zinazojitosheleza.
Ni vizuri waziri ujue nature ya viongozi wetu wa chini ni waoga sana ukisema huko huku mtu anaweza kufa au kufiwa ofisin na asipewe uhamisho.
Jua familia zetu zina haki, watoto wetu wana haki ya kupata malezi ya wazazi au mzazi. mfano mzazi ni mmoja ataacha familia peke yake kwel?
Tunaomba vibali vyote vilivyo pitishwa na wakurugenzi vimekwama mikoani vitolewe.
Wakuu hao wapewe mamlaka ya kuona sababu ya uhamisho kwa kipindi hiki tukisubiri waraka utakao toa sifa za mtu kuhama
Mheshimiwa Rais mwambie waziri Ummy atengue kauli au ifute wewe, watumishi tunaumia huku na matamko. tuishi kwa hakI na sheria jamani inawezekana