Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,441
- 7,780
Rais Samia: Zipo kampuni 30 za Tanzania ambazo zimewekeza mtaji ndani ya Kenya wenye thamani wa shilingi za Kenya, Bilioni 19 na kutoa ajira kwa watu 2,640 lakini nikaweka ahadi kwamba, Tanzania sasa tutakuja kwa nguvu yote kuwekeza Kenya ili kukuza ujazo wa biashara
Awali Rais Samia alisema Kenya inashika nafasi ya tano kwa uwekezaji ndani ya Tanzania ambapo imewekeza miradi 513 yenye thamani ya dola za kimarekani bilioni 1.7 ambayo imetoa ajira zipatazo 51 elfu kwa watanzania.
Awali Rais Samia alisema Kenya inashika nafasi ya tano kwa uwekezaji ndani ya Tanzania ambapo imewekeza miradi 513 yenye thamani ya dola za kimarekani bilioni 1.7 ambayo imetoa ajira zipatazo 51 elfu kwa watanzania.