Rais Samia: Tanzania tutakuja kwa nguvu yote Kenya kuwekeza

Kwa ujumla ulichoonesha ni upuuzi waa Wakenya. Tabia yako ya kupenda maziwa ya Brookside sijui kama ulijiuliza ni nini unachokunywa. Brookside sasa hivi inaendeshwa na shares za Newzealand. Unakunywa mchanganyiko wa maziwa ya unga toka Newzealand.

Tabia ya kugomea kununua bia ya nje ya Kenya, ndo tabia inayosababisha usiweze kuwekeza Kenya. Siyo uzalendo ni ubaguzi na ukabila. Leo hii kuna wa-TZ wana akaunti KCB, lakini ukifungua tawi la NBC Kenya wanaisusia. Ni ubaguzi unaoanzia kwenye familia, wao kwa wao, then kwa waafrika wengine. Lakini ni wadhaifu sana kwa ngozi nyeupe, hadi kuchapwa viboko. Hapa kwetu pia hili lipo kwa makabila fulani, tukubali wazi.
Kweli aisee nilikuwa najiuliza 'yale maBrookside yana cocaine nini maana yako tofauti aisee' ,ila kuhusu ubaguzi (uzalendo) wao naona bado ni wa kuwapuuza na kupambana nao tu na kutokuwadekeza. Wakituzingua tunawazingua. Kwa mtazamo wangu, tunaeleka au tumeshafika mahali ambapo wao wanatuhitaji sisi kuliko tunavyowahitaji wao. Tukijitambua wala hawatukwazi.
 
Twende tukawekeze Kenya Mkuu.
Kule fursa Kibao.
Sawa Mkuu
Majirani wana roho za kukatisha maisha ya watu fasta
Mtakaojaribu kwenda huko muwe waangalifu muishi karibu karibu msijichanganye kivililee
Majirani wana madharau pia
Kila la Heri ' Msafiri Kafiri.....uende ukitizama mbele na nyuma.......iko siku Mungu atakusaidia' zilipendwa zina mafundisho makuu
 
Nimekaa Kenya na nimesoma UoN, Wakenya ni wabaguzi sana bora Waganda.Wakenya wanatudharau sana Watz, kauli ya Kenyatta leo imejaa unafiki na uongo wa hali ya juu.Wakenya ni watu wa ovyo mno mno
 
Back
Top Bottom