Rais Samia, Tanzania ni moja na hakuna mpasuko wowote. Tupo wamoja sana

Yaani watz sijui shida nini,instead ya kutetea maslahi ya wananchi kazi ni kutukanana mara mataga mara sukuma gang hivi mnapata nini?

Upinzani mnatafuta upenyo mama ajichanganye muingie Ikulu,mnaonekana tu,nia yenu sio maendeleo bali ni Ikulu mkale bata.

Wananchi washawashtukia endeleeni na sera zenu za sukuma gang bila kujua wasukuma wako hata cdm,kwa hiyo mkichukua madaraka mtawafukuza?
Mko na ukabila sana.​
 
Wewe mwenyewe ndiyo unajidharau. Miaka mitano uchumi ulikuwa na kuvuka kwenda kundi la uchumi wa kati. Hii ni kwa kutumia taarifa za vyombo hivyo hivyo unasema vinatudharau. Kama ilidharaulika wasingekusifu. Ukweli ni kuwa Kenya inaelewa lugha moja "tit for tat". Sasa hivi raisi Kenyatta ameizuga TZ kuwa Watanzania sasa hawatahitaji vibali vya kazi kule KE. Hapo ameishamtega rais SSH. Kinachongojewa ni yeye kutamka Wakenya kuingia na kupata kazi bila vibali. Tukiisha ingia mtego huo, ujuwe bao limefungwa. Ukijaribu kubadili ndiyo kufungiana. Haya mambo hayahitaji maamuzi yam kihemuko. Mama rais SSH inabidi awe na uchambuzi mkubwa kabla ya kutoa matamko ya kisiasa hasa pale hayo matamko yanahusu nchi na nchi. Nafikri huyo anayeitwa gwiji wa mambo ya nje, ni kazi yake kumshauri mama SSH kuhusu athari za matamko ya kisiasa, hasa yale matamko yanayohusu policy kinzani!
Wewe kama sukuma gang huwezi kujua lolote maaana mlifungwa macho na mkakabidhi akili zenu kwa jiwe
 
Rais ametumia akili kumpa Mpango umakamu, atamsaidia sana akiwa ni mtu anayeijua serikali na anaijua bara vyema.

Pia asije kushawishika kumtosa Majaliwa hata iweje. Jamaa ni mchapa kazi na mzalendo.
Huo uzalendo unaupima kwa kipimo kipi?
Hayo mambo ya uzalendo kaondoka nayo jiwe.
 
Una akili kubwa Sana wewe, huyu mama tunakwenda naye akianza kupuyanga tu tutamchana live mchana kweupe.Afanye ziara mikoani ajionee live matatizo ya wananchi siyo kukaa tu ofisini na kufanya ziara za nje ya nchi.
Naona wajane mmeanza kupaza sauti
 
18 Reactions
Reply
Back
Top Bottom