Rais Samia, Tanzania ni moja na hakuna mpasuko wowote. Tupo wamoja sana

Usimtishe Rais SSH kwa sababu ya umati uliokuja kumuaga hiyo ni sababu dhaifu Sana.

Watu mtaani kwenda kuaga maiti ya marehemu ni mila za Kiafrika. Hapa Dar hata Marehemu Stephen Kanumba naye alifunga mtaa kwenye msiba wake.

Hata Ruge Mutahaba naye alifunga nyomi.

Kwa taarifa yako Rais SSH anakubalika kwa 80+% kwa namna tu anavyosimamia Utawala wa Sheria, Uhuru wa kujieleza, na namna anavyotaka kuboresha uchumi.

Nchi tayari imeponywa, na wala usimhusishe kabisa na yule Shetani wa Chato. Tuko na maisha mapya na mtazamo mpya, hakuna watu kuuliwa, kutekwa na kunyang'anywa fedha zao

Huyo hiyo shetani alifanya dunia ituheshimu
 
Huwa ni ninawaza kama ingeezekana kuwarudisha Wajerumani kwa miaka 10. Wapate sehemu ya kodi lakini wasimamie serikali. Gavana na mawaziri wawe wao. Kurudisha tu utawala wa sheria.
... wajerumani wa leo sio wale wa enzi zile za akina majemadari von Bismark, Karl Peters, et. al. pori kwa pori from Berlin to Msowero! Leo wanahubiri ushoga zaidi.
 
Tu likiloHuyo hiyo shetani alifanya dunia ituheshimu
Dunia ya wapi ilituheshimu? Mnadangayana sana na fake news. Tanzania kidunia imedharauliwa sana ndiyo kisa Rais SSH kaamua kumtoa Kalamagamba mambo ya nje na kumleta Mwana Diplomasia mbobezi Liberata Mulamula ili asafishe jina letu lililo chafuliwa na Mwendazake
 
Nchi ya Tanzania ina watu takribani milioni 60, kila mtu ana vipaumbele vyake, hivyo huwezi kumridhisha kila mtu mama.

Asilimia 90 ya watanzania ni maskini: hawahitaji magari ya benzi wala nyumba za kishi baada ya kustaafu kushika chaki na kazi zingine za umma.

Wanahitaji maji safi na salama, huduma bora za afya, elimu bora na huduma zingine za kijamii.

Ukitaka kuwafurahisha baadhi ya watu kwenye asilimia 15 iliyobakia utapotea! Utabaki kukumbukwa kwa kuharibu nchi na hatma yake utakutana na mkono wa Allah aliyekupa nafsi hiyo.

Mama Samia, hutapendwa kwa kwenda kinyume na mtangulizi wako kwenye mambo yenye maslahi ya nchi. Mwenzako kamaliza zamu yake. Nadhani umeshuhudia namna umma wa watanzania ulivyompokea licha ya madhaifu yake kama binadamu.

Kikubwa timiza wajibu wako ukiingozwa na katiba na uzalendo wa hali ya juu.

Tumia nguvu uliyopewa, usipende kufanyiwa maamuzi na watu. Wengine baadhi ya washirika wako sio wema.

Wapinzani ni wapinzani tu, lengo lao kuchukua nchi hivyo kuwa nao makini.

Usiingie mkenge kwa kivuli cha kujenga umoja wa kitaifa. Nchi hii ni moja na hakuna mpasuko wowote labda mitandaoni ila uraiani tupo wamoja sana. Na hayati JPM ametupa nguvu sana kiasi kwamba tunajua kipi kizuri na kipi kibaya.

Mwisho nakutakia kila la kheri.

Happy Mothers' Day!
Kwa hiyo atafute kuchukiwa?
 
Dunia ya wapi ilituheshimu? Mnadangayana sana na fake news. Tanzania kidunia imedharauliwa sana ndiyo kisa Rais SSH kaamua kumtoa Kalamagamba mambo ya nje na kumleta Mwana Diplomasia mbobezi Liberata Mulamula ili asafishe jina letu lililo chafuliwa na Mwendazake
Nchi ilidharaulika vibaya sana.
 
Huwa ni ninawaza kama ingeezekana kuwarudisha Wajerumani kwa miaka 10. Wapate sehemu ya kodi lakini wasimamie serikali. Gavana na mawaziri wawe wao. Kurudisha tu utawala wa sheria.
Tulikuwa na jerumani tayari, na tutaweza kupata mwingine huko mbeleni

Magufuli_Viboko.png
 
Dunia ya wapi ilituheshimu? Mnadangayana sana na fake news. Tanzania kidunia imedharauliwa sana ndiyo kisa Rais SSH kaamua kumtoa Kalamagamba mambo ya nje na kumleta Mwana Diplomasia mbobezi Liberata Mulamula ili asafishe jina letu lililo chafuliwa na Mwendazake

You are too young to comprehend
 
Hata kama ni wazenji lakini pia ni wanafamilia ya JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.

Mkome kumkwamisha rais mpenda amani na mshikamano.
We umepewa nini ? wenzako wanapeana magari sasa wewe mzaramo sijui mgogo una ushabikia wapemba, wewe kweli mzima?
 
... wajerumani wa leo sio wale wa enzi zile za akina majemadari von Bismark, Karl Peters, et. al. pori kwa pori from Berlin to Msowero! Leo wanahubiri ushoga zaidi.
Wale walikua na disciplines za Roman Army
 
Nchi ya Tanzania ina watu takribani milioni 60, kila mtu ana vipaumbele vyake, hivyo huwezi kumridhisha kila mtu mama.

Asilimia 90 ya watanzania ni maskini: hawahitaji magari ya benzi wala nyumba za kishi baada ya kustaafu kushika chaki na kazi zingine za umma.

Wanahitaji maji safi na salama, huduma bora za afya, elimu bora na huduma zingine za kijamii.

Ukitaka kuwafurahisha baadhi ya watu kwenye asilimia 15 iliyobakia utapotea! Utabaki kukumbukwa kwa kuharibu nchi na hatma yake utakutana na mkono wa Allah aliyekupa nafsi hiyo.

Mama Samia, hutapendwa kwa kwenda kinyume na mtangulizi wako kwenye mambo yenye maslahi ya nchi. Mwenzako kamaliza zamu yake. Nadhani umeshuhudia namna umma wa watanzania ulivyompokea licha ya madhaifu yake kama binadamu.

Kikubwa timiza wajibu wako ukiingozwa na katiba na uzalendo wa hali ya juu.

Tumia nguvu uliyopewa, usipende kufanyiwa maamuzi na watu. Wengine baadhi ya washirika wako sio wema.

Wapinzani ni wapinzani tu, lengo lao kuchukua nchi hivyo kuwa nao makini.

Usiingie mkenge kwa kivuli cha kujenga umoja wa kitaifa. Nchi hii ni moja na hakuna mpasuko wowote labda mitandaoni ila uraiani tupo wamoja sana. Na hayati JPM ametupa nguvu sana kiasi kwamba tunajua kipi kizuri na kipi kibaya.

Mwisho nakutakia kila la kheri.

Happy Mothers' Day!
Hahah yaani Mwendazake alikuwa anapendwa kuliko tunavyompenda mama yetu SSH, au Mimi sijaelewa. Ni kikundi kidogo sana ndani na nje ya chama ndio kilikuwa kinampenda Mwendazake, the rest walikuwa hawana namna tu
 
Nchi ya Tanzania ina watu takribani milioni 60, kila mtu ana vipaumbele vyake, hivyo huwezi kumridhisha kila mtu mama.

Asilimia 90 ya watanzania ni maskini: hawahitaji magari ya benzi wala nyumba za kishi baada ya kustaafu kushika chaki na kazi zingine za umma.

Wanahitaji maji safi na salama, huduma bora za afya, elimu bora na huduma zingine za kijamii.

Ukitaka kuwafurahisha baadhi ya watu kwenye asilimia 15 iliyobakia utapotea! Utabaki kukumbukwa kwa kuharibu nchi na hatma yake utakutana na mkono wa Allah aliyekupa nafsi hiyo.

Mama Samia, hutapendwa kwa kwenda kinyume na mtangulizi wako kwenye mambo yenye maslahi ya nchi. Mwenzako kamaliza zamu yake. Nadhani umeshuhudia namna umma wa watanzania ulivyompokea licha ya madhaifu yake kama binadamu.

Kikubwa timiza wajibu wako ukiingozwa na katiba na uzalendo wa hali ya juu.

Tumia nguvu uliyopewa, usipende kufanyiwa maamuzi na watu. Wengine baadhi ya washirika wako sio wema.

Wapinzani ni wapinzani tu, lengo lao kuchukua nchi hivyo kuwa nao makini.

Usiingie mkenge kwa kivuli cha kujenga umoja wa kitaifa. Nchi hii ni moja na hakuna mpasuko wowote labda mitandaoni ila uraiani tupo wamoja sana. Na hayati JPM ametupa nguvu sana kiasi kwamba tunajua kipi kizuri na kipi kibaya.

Mwisho nakutakia kila la kheri.

Happy Mothers' Day!

Ww baki ukinyeshea maua hapo kwenye kaburi la dhalimu, huku kwenye mambo ya kitaifa hupawezi. Lile kundi lenu la watu wasiojulikana limefikia mwisho wake, hata mkilzamisha huyu mama kuwa dhalimu hataweza.
 
Dunia ya wapi ilituheshimu? Mnadangayana sana na fake news. Tanzania kidunia imedharauliwa sana ndiyo kisa Rais SSH kaamua kumtoa Kalamagamba mambo ya nje na kumleta Mwana Diplomasia mbobezi Liberata Mulamula ili asafishe jina letu lililo chafuliwa na Mwendazake

Wakuheshimu wanakulisha!??? Poor brain. They had no free lunch anymore ndiyo maana wakajinunisha kivyao. Tumia akili basi, sawa!???
 
Back
Top Bottom