chegreyson
JF-Expert Member
- Nov 23, 2011
- 974
- 434
Angalizo lingine kwa mama,ukiona watu wote wabakusifia,wabakupenda na hata wapinzani sugu wa serikali ya CCM wanakuona u Bora kuwa ya kuwa waneona upenyo(udhaifu) wako.Nchi ya Tanzania ina watu takribani milioni 60, kila mtu ana vipaumbele vyake...hivyo huwezi kumridhisha kila mtu mama.
Asilimia 90 ya watanzania ni maskini: hawahitaji magari ya benzi wala nyumba za kishi baada ya kustaafu kushika chaki na kazi zingine za umma.
Wanahitaji maji safi na salama, huduma bora za afya, elimu bora na huduma zingine za kijamii.
Ukitaka kuwafurahisha baadhi ya watu kwenye asilimia 15 iliyobakia utapotea! Utabaki kukumbukwa kwa kuharibu nchi na hatma yake utakutana na mkono wa Allah aliyekupa nafsi hiyo.
Mama Samia, hutapendwa kwa kwenda kinyume na mtangulizi wako kwenye mambo yenye maslahi ya nchi. Mwenzako kamaliza zamu yake...nadhani umeshuhudia namna umma wa watanzania ulivyompokea licha ya madhaifu yake kama binadamu.
Kikubwa timiza wajibu wako ukiingozwa na katiba na uzalendo wa hali ya juu.
Tumia nguvu uliyopewa, usipende kufanyiwa maamuzi na watu. Wengine baadhi ya washirika wako sio wema.
Wapinzani ni wapinzani tu...lengo lao kuchukua nchi hivyo kuwa nao makini.
Usiingie mkenge kwa kivuli cha kujenga umoja wa kitaifa. Nchi hii ni moja na hakuna mpasuko wowote labda mitandaoni ila uraiani tupo wamoja sana. Na hayati JPM ametupa nguvu sana kiasi kwamba tunajua kipi kizuri na kipi kibaya.
Mwisho nakutakia kila la kheri.
Happy Mothers' Day!
Tuwe wakweli toka enzi za Mwl Nyerere,Mwinyi,Mkapa,na Magufuli,hatujawahi kuwa na urafiki,wa dhati na Kenya.Siku zote urafiki wetu,ujirani wetu,matendo ya Wake ya kwa Watanzania siku zote ni ya mashaka.
Chunga mama naenda polepole kwa tafakuri Pana.Waliokutangulia wakiona Nini mpaka hawakuwa na ukaribu mkuu na Wakenya?
Rostam alikupa angalizo kwamba alionana na wakuu wa Kenya tokea meals 2017, mpaka leo anazungushwa kupata kibali cha uwekezaji Kenya.
Wakenya walituambia mahindi yeti tana simu hayafai kuliwa na Wakenya ,Leo bila ichunguzi Kama simu imeondolewa,mahindi hayo hayo,sasa yanaruhusiwa.Tuna urafiki wa mashaka,Wenzetu wanakuona sisi hambanazo na wanaweza kutuburuza,njia ambayo naiona tunaifuata tusikipokuwa na angalizo la kina.