Rais Samia: Tanzania Inazingatia Misingi ya Haki, Demokrasia, Usawa na Mafanikio

kalacha mateo

Senior Member
Sep 27, 2021
118
237
"Sisi hapa Tanzania tumeamua kuizingatia misingi hiyo (haki) na nataka niwahakikishie kwamba tutajitahidi kuijenga Tanzania yenye Haki, Demokrasia , Usawa na Mafanikio. Na ndio maana katika kipindi hiki tumekuja na idea ya zile 4R's". - Rais Samia Suluhu

Rais Samia ameyasema hayo katika mkutano wa 47 wa wanasheria Afrika Mashariki uliofanyika mkoani Arusha, Aidha katika kuzingatia misingi hiyo Serikali yake imekua ikikutana na vyama mbalimbali vya siasa na kuzungumza mambo mbalimbali yanahusu nchi. Rais Samia ana amini nchi yoyote ili ifikie maendeleo ya kweli lazima ifate misingi ya haki.

“Nataka nisisitize kwamba kutenda haki na kuheshimu utawala bora ni misingi ambayo Serikali yoyote inayotokana na watu haina budi kuifuata bila shinikizo lolote kutoka nje. Kama Serikali ni ya watu [..] haina budi Serikali hiyo kufuata misingi hiyo.”

Katika hotuba yake pia aliwahusia wanasheria kuzingatia misingi ya haki kwa kuhakikisha hawapokei rushwa na kuonea watu wengi kwa kuwapa makosa ambayo hawajayafanya. Pia amekihusia chama hiko kuonyesha nia dhati ya kusaidia nchi zao na kutumikia mataifa zao lakini sio kama ilivyokua awali kwa chama cha wanasheria Tanzania.

“Tanzania miaka minne mitano iliyopita tulikuwa na Tanganyika Law Society ambayo kwa kuwa muwazi ilikuwa siyo Chama cha wanasheria, kilikuwa ni chama cha wanaharakati, na mapambano yao ilikuwa ni dhidi ya Serikali.” -Rais Samia Suluhu Hassan

Pia Rais Samia Suluhu ameonyesha nia ya kushirikiana na kila mtu mwenye nia ya kweli ya maendeleo.

"Kama unataka tufanye kazi vizuri come with clean hands, mine is clean. Come clean. Let's work together".-Rais Samia Suluhu
1669290647283.png
 
Huyu mama hajielewi, wala haeleweki, muda mfupi uliopita ametoka kusema akiona mtu anampinga anamtenga, hajui uhuru wa kutoa maoni upo kisheria, hapa anasema anafuata misingi ya haki, sijui misingi ya kutenga wanaompinga ndio misingi ya wa wapi hiyo, anajiongelea tu bora liende, sio wakumtilia maanani.
 
...watoe wafungwa wote wa kisiasa bila masharti ambao bado wanasota magelezani
...anzisha mchakato wa Katiba mpya haraka iwezekanavyo
...ruhusu shughuli ya kisiasa za vyama vyote kama katiba inavyotamka
..watamkie watanzania kwamba uchaguzi mkuu 2025 tutatumia Katiba na sheria mpya za uchaguzi

Baada ya hayo kufanyika nipo palee, ntakuita Maza of this nation hadi naingia kaburini.
 
Kwasasa network yake haisomi maana walishang'oa mitambo amebakia kuropoka.
 
Huyu mama hajielewi, wala haeleweki, muda mfupi uliopita ametoka kusema akiona mtu anampinga anamtenga, hajui uhuru wa kutoa maoni upo kisheria, hapa anasema anafuata misingi ya haki, sijui misingi ya kutenga wanaompinga ndio misingi ya wa wapi hiyo, anajiongelea tu bora liende, sio wakumtilia maanani.
Mkuu yawezekana hukumuelewa mama, yeye kasema hawezi fanya na kazi na mtu anayempinga hajasema hawezi kufanya kazi na wakosoaji.

Kunatofauti kubwa sana Kati ya kupinga na kukosoa, ukosoaji hufanyika kwa staha
 
"Sisi hapa Tanzania tumeamua kuizingatia misingi hiyo (haki) na nataka niwahakikishie kwamba tutajitahidi kuijenga Tanzania yenye Haki, Demokrasia , Usawa na Mafanikio. Na ndio maana katika kipindi hiki tumekuja na idea ya zile 4R's". - Rais Samia Suluhu

Rais Samia ameyasema hayo katika mkutano wa 47 wa wanasheria Afrika Mashariki uliofanyika mkoani Arusha, Aidha katika kuzingatia misingi hiyo Serikali yake imekua ikikutana na vyama mbalimbali vya siasa na kuzungumza mambo mbalimbali yanahusu nchi. Rais Samia ana amini nchi yoyote ili ifikie maendeleo ya kweli lazima ifate misingi ya haki.

“Nataka nisisitize kwamba kutenda haki na kuheshimu utawala bora ni misingi ambayo Serikali yoyote inayotokana na watu haina budi kuifuata bila shinikizo lolote kutoka nje. Kama Serikali ni ya watu [..] haina budi Serikali hiyo kufuata misingi hiyo.”

Katika hotuba yake pia aliwahusia wanasheria kuzingatia misingi ya haki kwa kuhakikisha hawapokei rushwa na kuonea watu wengi kwa kuwapa makosa ambayo hawajayafanya. Pia amekihusia chama hiko kuonyesha nia dhati ya kusaidia nchi zao na kutumikia mataifa zao lakini sio kama ilivyokua awali kwa chama cha wanasheria Tanzania.

“Tanzania miaka minne mitano iliyopita tulikuwa na Tanganyika Law Society ambayo kwa kuwa muwazi ilikuwa siyo Chama cha wanasheria, kilikuwa ni chama cha wanaharakati, na mapambano yao ilikuwa ni dhidi ya Serikali.” -Rais Samia Suluhu Hassan

Pia Rais Samia Suluhu ameonyesha nia ya kushirikiana na kila mtu mwenye nia ya kweli ya maendeleo.

"Kama unataka tufanye kazi vizuri come with clean hands, mine is clean. Come clean. Let's work together".-Rais Samia Suluhu
View attachment 2426099
Haki ndio kipaumbele cha Rais Samia Suluhu
 
"Sisi hapa Tanzania tumeamua kuizingatia misingi hiyo (haki) na nataka niwahakikishie kwamba tutajitahidi kuijenga Tanzania yenye Haki, Demokrasia , Usawa na Mafanikio. Na ndio maana katika kipindi hiki tumekuja na idea ya zile 4R's". - Rais Samia Suluhu

Rais Samia ameyasema hayo katika mkutano wa 47 wa wanasheria Afrika Mashariki uliofanyika mkoani Arusha, Aidha katika kuzingatia misingi hiyo Serikali yake imekua ikikutana na vyama mbalimbali vya siasa na kuzungumza mambo mbalimbali yanahusu nchi. Rais Samia ana amini nchi yoyote ili ifikie maendeleo ya kweli lazima ifate misingi ya haki.

“Nataka nisisitize kwamba kutenda haki na kuheshimu utawala bora ni misingi ambayo Serikali yoyote inayotokana na watu haina budi kuifuata bila shinikizo lolote kutoka nje. Kama Serikali ni ya watu [..] haina budi Serikali hiyo kufuata misingi hiyo.”

Katika hotuba yake pia aliwahusia wanasheria kuzingatia misingi ya haki kwa kuhakikisha hawapokei rushwa na kuonea watu wengi kwa kuwapa makosa ambayo hawajayafanya. Pia amekihusia chama hiko kuonyesha nia dhati ya kusaidia nchi zao na kutumikia mataifa zao lakini sio kama ilivyokua awali kwa chama cha wanasheria Tanzania.

“Tanzania miaka minne mitano iliyopita tulikuwa na Tanganyika Law Society ambayo kwa kuwa muwazi ilikuwa siyo Chama cha wanasheria, kilikuwa ni chama cha wanaharakati, na mapambano yao ilikuwa ni dhidi ya Serikali.” -Rais Samia Suluhu Hassan

Pia Rais Samia Suluhu ameonyesha nia ya kushirikiana na kila mtu mwenye nia ya kweli ya maendeleo.

"Kama unataka tufanye kazi vizuri come with clean hands, mine is clean. Come clean. Let's work together".-Rais Samia Suluhu
View attachment 2426099
Mwenyaaaaazi Mungu anamuona ajue
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom