Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 14,568
- 25,624
Daah mama yupo vizuri mno kwa kweli Mungu akulinde kwa kweli nilikua najiuliza Watanzania wenye moyo huu walienda wapi mpaka tukaangukia kwenye adhabu mbaya kabisa kuwahi kutokea kwenye Nchi pendwa ya Tanzania...