Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,603
- 29,744
Yaani we ni snitch hatari.Baada ya kuona Timu yetu ya Tanzania ( Taifa Stars ) sasa inaanza kuwa ni ya Kisiasa badala ya Kiuhalisia KEROZENE naziombea Ushindi mnono Timu za Taifa za Congo DR na Madagascar na Inshallah naamini zote zitatufunga ili tuendelee kubaki na Ndoto zetu na tabia zetu za Kupenda Kunenepesha Ng'ombe Siku za Mnada tu.
Bora wakupore huo uraia hata kwa dakika hii