Rais Samia Suluhu, Waganda wamekupigia 'Salute' kwa Kiingereza chako kizuri japo huna PhD yoyote

Ningeshangaa sana kama Uzi huu usingevamiwa na wasiokijua ' Kiingereza ' na najua mtajitokeza wengi tu.

Ninachojua tu ni kwamba duniani kuna Lugha nyingi na nzuri ila hakuna ambayo hadi hivi leo imeweza kuwa ni Kiungo ' Kikuu ' cha Mataifa yote duniani iwe Kiuchumi na hata Kidiplomasia kama cha Kiingereza.

Kama Mchina, Mrusi, Mjerumani na Mchina pamoja na Jeuri zao zote za kuwa ' Super Powers ' ulimwenguni na Lugha zao pia ni Kubwa lakini bado hao hao wanakizungumza Kiingereza Wewe Mpuuzi Mmoja wa Kiswahili usiye na mbele wala nyuma ni nani ukipinge?

Itatuchukua muda mrefu sana na huenda pia hata isitokee kwa Mataifa mengi duniani Kuachana na Lugha ya Kiingereza kwani kama kuna Mafanikio makubwa ambayo nchi ya Uingereza ilipata tokea Kipindi cha ' Colonialism ' ni kuhakikisha Lugha yao si tu inaendelea kutumika bali pia inapendwa na kuendelea Kuaminiwa na Vizazi na Vizazi.

Kama Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere pamoja na kutowakubali Wazungu ( hasa kwa Sera zao na Matendo yao kwa Waafrika ) lakini Mwenyewe kwa Mdomo wake ( na Clips zipo Mitandaoni ) alikiri kuwa Kiingereza ni Lugha muhimu, siyo ya Kuepukwa duniani na ya Kibiashara zaidi.
Hawa hawa, ndo wale wanaohangaikia kuishi nchi za watu,bila kutambua hapo zilipofika,wenyewe wamejitoa na kuzijenga. Sasa kama unalalama mtanzania hajui kiingeleza, akijuacho hakimtoshi? Haya,kiingeleza chake hakifai,na ni raisi. Wewe chako kinafaa,na uwenyekiti wa mtaa huwezi pewa. Huoni huna maana wewe kwenye nchi yako?

Mbona nchi nyingi zenye maendeleo makubwa,lugha zao ndo zina kipaumbele? Ungeshauli labda mjitosheleze kwa kila kitu,wanaowahitaji ndo wajifunze kiswahili. Chake chamtosha,kazi yake inasonga, anaempinga yeye aendelee kutoka povu tu
 
Ningeshangaa sana kama Uzi huu usingevamiwa na wasiokijua ' Kiingereza ' na najua mtajitokeza wengi tu.

Ninachojua tu ni kwamba duniani kuna Lugha nyingi na nzuri ila hakuna ambayo hadi hivi leo imeweza kuwa ni Kiungo ' Kikuu ' cha Mataifa yote duniani iwe Kiuchumi na hata Kidiplomasia kama cha Kiingereza.

Kama Mchina, Mrusi, Mjerumani na Mchina pamoja na Jeuri zao zote za kuwa ' Super Powers ' ulimwenguni na Lugha zao pia ni Kubwa lakini bado hao hao wanakizungumza Kiingereza Wewe Mpuuzi Mmoja wa Kiswahili usiye na mbele wala nyuma ni nani ukipinge?

Itatuchukua muda mrefu sana na huenda pia hata isitokee kwa Mataifa mengi duniani Kuachana na Lugha ya Kiingereza kwani kama kuna Mafanikio makubwa ambayo nchi ya Uingereza ilipata tokea Kipindi cha ' Colonialism ' ni kuhakikisha Lugha yao si tu inaendelea kutumika bali pia inapendwa na kuendelea Kuaminiwa na Vizazi na Vizazi.

Kama Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere pamoja na kutowakubali Wazungu ( hasa kwa Sera zao na Matendo yao kwa Waafrika ) lakini Mwenyewe kwa Mdomo wake ( na Clips zipo Mitandaoni ) alikiri kuwa Kiingereza ni Lugha muhimu, siyo ya Kuepukwa duniani na ya Kibiashara zaidi.
Unajadiliana na watu usiowajua kwa hoja halafu unaingiza maneno kama mpuuzi mmoja.

Tumia lugha za kistaarabu ukiwa humu jukwaani, hujui unaongea na nani.

Hakuna anayepinga kwamba kingereza sio muhimu tunaupinga ule utumwa wa kuwa tayari kuuza hata utu wako kwa sababu tu ya kujinyenyekesha kwa huyo anayejua kingereza.

Unaopingwa ni huo ulimbukeni wa kufanya kama kujua kingereza ndio tayari tiketi ya kuonana na manabii siku ukifa na kuzikwa.
 
Hawa hawa, ndo wale wanaohangaikia kuishi nchi za watu,bila kutambua hapo zilipofika,wenyewe wamejitoa na kuzijenga. Sasa kama unalalama mtanzania hajui kiingeleza, akijuacha hakimtoshi? Haya,kiingeleza chake hakifai,na ni raisi. Wewe chako kinafaa,na uwenyekiti wa mtaa huwezi pewa. Huoni huna maana wewe kwenye nchi yako?

Mbona nchi nyingi zenye maendeleo lugha zao ndo zina kipaumbele? Ungeshauli labda mjitosheleze kwa kila kitu,wanaowahitaji ndo wajifunze kiswahili. Chake chamtosha,kazi yake inasonga, anaempinga yeye aendelee kutoka povu tu
Mleta mada anasumbuliwa na ulimbukeni, na wa aina yake wamejaa Tanzania.
 
Jana Usiku nilipokea Meseji moja kutoka kwa Rafiki mkubwa kutoka Uganda akielezea Kufurahishwa Kwake na 'Kiingereza ' kizuri alichonacho Rais wa Tanzania Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan.

"Mr. Generalist are you sure that this President of yours Mama Samia she's not a Briton? She speaks fluent English, very articulate, attractive and comfortable with it unlike other so called intellectuals with their doctorates on hand "

Na Waganda hawakuishia hapa tu kwa huyu Rafiki yangu Kunitumia hiyo Meseji bali hata ukienda huko Ugandans On Twitter ( UOT ) Wachangiaji wengi wamevutiwa na Uwezo mkubwa wa Kuongea Kiingereza ' kilichonyooka ' cha Mheshimiwa Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan.

Wameenda mbali zaidi na Kuhoji inakuwa Marais wengine (hasa Barani Afrika) wana Elimu Kubwa lakini walipokuwa wakiwasikiliza (wanapowasikiliza) huwa wanaongea Viingereza 'vibovu vibovu' tu wakati Makabatini mwao wamehifadhi Vyeti vya ' PhD ' zao.

Kongole sana Kwako Rais Mama Samia.
Hawana elimu, hayo maPhd, wamepewa they asked for it. Do they even have brains to construct a sentence?
 
Unajadiliana na watu usiowajua kwa hoja halafu unaingiza maneno kama mpuuzi mmoja.

Tumia lugha za kistaarabu ukiwa humu jukwaani, hujui unaongea na nani.

Hakuna anayepinga kwamba kingereza sio muhimu tunaupinga ule utumwa wa kuwa tayari kuuza hata utu wako kwa sababu tu ya kujinyenyekesha kwa huyo anayejua kingereza.

Unaopingwa ni huo ulimbukeni wa kufanya kama kujua kingereza ndio tayari tiketi ya kuonana na manabii siku ukifa na kuzikwa.

Nikujue Wewe ni nani hapa JamiiForums ili iweje? Hvi leo hii kumbe bado kuna Washamba na Wapumbavu kama Wewe ambao wanatishia Watu ( Members ) kuwa Wewe ni nani?

Ninachojua Wewe ni 'Shoga' au uliacha?

Cc: Mokaze
 
Jana Usiku nilipokea Meseji moja kutoka kwa Rafiki mkubwa kutoka Uganda akielezea Kufurahishwa Kwake na 'Kiingereza ' kizuri alichonacho Rais wa Tanzania Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan.

"Mr. Generalist are you sure that this President of yours Mama Samia she's not a Briton? She speaks fluent English, very articulate, attractive and comfortable with it unlike other so called intellectuals with their doctorates on hand "

Na Waganda hawakuishia hapa tu kwa huyu Rafiki yangu Kunitumia hiyo Meseji bali hata ukienda huko Ugandans On Twitter ( UOT ) Wachangiaji wengi wamevutiwa na Uwezo mkubwa wa Kuongea Kiingereza ' kilichonyooka ' cha Mheshimiwa Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan.

Wameenda mbali zaidi na Kuhoji inakuwa Marais wengine (hasa Barani Afrika) wana Elimu Kubwa lakini walipokuwa wakiwasikiliza (wanapowasikiliza) huwa wanaongea Viingereza 'vibovu vibovu' tu wakati Makabatini mwao wamehifadhi Vyeti vya ' PhD ' zao.

Kongole sana Kwako Rais Mama Samia.
Sio mama tu ila wazanzibar wako vizuri kwenye lugha ya malkia, all in all are my best friend, nimesoma nao ,ni watu ambao hawaumbishwi KAMWE , mkijadili mmejadili ,l love them
 
86 Reactions
Reply
Back
Top Bottom