DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,651
- 2,627
Pole kwa msiba mzito wa hayati baba yetu.
Naomba kudeclare interest. Mimi ni Tour Guide nipo Arusha.
Katika kikao Cha Bunge lililopita kwa Mara ya Kwanza nilimsikiliza Waziri wa Maliasili na Utalii akijibu maswali hasa la Mbunge wa Arusha Mjini Mh Gambo nilishtuka Mh Ndumbaro hajui, narudia hajui chochote juu ya Wizara yake hasa masuala ya Utalii..hapa tumepugwa
Mimi sio muumini mzuri wa Siasa za Mbunge wa Nzega Mh Hamisi Kigwangalla Ila aliitendea haki Wizara hii,kufanya Online marketing,kufaham changamoto zake na aliweza kuhandle situation hasa mwaka Jana wakati wa Covid 19.
Mh Rais sikupangii Ila Wizara Bado inamhitaji huyu kijana aweze kuendelea kuutangaza Utalii,Kama Kuna eneo aliteleza akatemwa na Hayati Magufuli apewe awamu nyingine asimame na Sekta hii kwa maendeleo ya Utalii kipindi hiki dunia ikipitia katika changamoto ya kushuka kwa Soko la Utalii.
Nawasilisha.
Naomba kudeclare interest. Mimi ni Tour Guide nipo Arusha.
Katika kikao Cha Bunge lililopita kwa Mara ya Kwanza nilimsikiliza Waziri wa Maliasili na Utalii akijibu maswali hasa la Mbunge wa Arusha Mjini Mh Gambo nilishtuka Mh Ndumbaro hajui, narudia hajui chochote juu ya Wizara yake hasa masuala ya Utalii..hapa tumepugwa
Mimi sio muumini mzuri wa Siasa za Mbunge wa Nzega Mh Hamisi Kigwangalla Ila aliitendea haki Wizara hii,kufanya Online marketing,kufaham changamoto zake na aliweza kuhandle situation hasa mwaka Jana wakati wa Covid 19.
Mh Rais sikupangii Ila Wizara Bado inamhitaji huyu kijana aweze kuendelea kuutangaza Utalii,Kama Kuna eneo aliteleza akatemwa na Hayati Magufuli apewe awamu nyingine asimame na Sekta hii kwa maendeleo ya Utalii kipindi hiki dunia ikipitia katika changamoto ya kushuka kwa Soko la Utalii.
Nawasilisha.