Mpaka sasa haijulikani lipi litathibitishwa, so tusubiri kesi ingurume.Atamsamehe kwa kosa litakalothibitishwa na Mahakama.
Badala ya makelele yenu, enenda ukamtafutie Mwanasheria ili LABDA amwongoze yeye kuomba msamaha. Wakati huohuo amsaidie kumwongoza namna ya kuwafidia WOTE aliyowavurugia maisha yao KWA kuwatia hofu, umasikini na ulemavu.Asante kwa kutusaidia kuwasilisha maoni yetu. Wengi tunatamani sana kuandika hivi au zaidi. Na kesi hii ya Sabaya inakwenda kuwa kati ya kesi zitakasababisha mgawanyiko mkubwa sana katika nchi.
Na hii ni kwa sababu ya jinsi watu wanavyohandle kesi hii. Hii kesi kuna hasira na ubaguzi mkubwa sana ndani yake.
Mgawanyiko mkubwa kwa nchi gani? Hebu acheni kudanganyana mkuu, Yani Ole sabaya alete mgawanyiko wa nchi nzima wakati hajafikia hata robo ya umaarufu wa lowasa na membe ila hawakuleta mgawanyiko wowote......Asante kwa kutusaidia kuwasilisha maoni yetu. Wengi tunatamani sana kuandika hivi au zaidi. Na kesi hii ya Sabaya inakwenda kuwa kati ya kesi zitakasababisha mgawanyiko mkubwa sana katika nchi.
Na hii ni kwa sababu ya jinsi watu wanavyohandle kesi hii. Hii kesi kuna hasira na ubaguzi mkubwa sana ndani yake.
yeye kama nani hadi akwepe mkono wa mahakama? Ukuu wa wilaya ni cheo kidogo sana kuepuka mahakama kama ulitenda maovu.....ni vile tu watu hawana exposure ya yanayotokea nchi zingine.Kosa kubwa sana kumshtaki Sabaya mahakamani!!?
adhabu yake ilitakiwa awekwe benchi tu...
Kwa kweli UMENUKA. Nenda kwanza kavae viatu vya walioathirikaHuo ni upande mmoja wa shilingi. Mimi nimeeleza upande wa kwanza! Nadhani kila upande una nafasi, lakini nafasi kubwa ni upande wangu kwa sababu pamoja na yote ametenda mambo mema kwa ahili ya Chama chetu. Ni bahati mbaya Chama hikihiki ndicho chenye Serikali!
Tunashauriwa kusamehe zaidi kuliko kulipa visasi. Hata walioumizwa wanapaswa kusamehe kwa sababu hata akifungwa haitawarufishia hasara waliyoipata.
Kwa kweli UMENUKA. Nenda kwanza kavae viatu vya walioathirikaHuo ni upande mmoja wa shilingi. Mimi nimeeleza upande wa kwanza! Nadhani kila upande una nafasi, lakini nafasi kubwa ni upande wangu kwa sababu pamoja na yote ametenda mambo mema kwa ahili ya Chama chetu. Ni bahati mbaya Chama hikihiki ndicho chenye Serikali!
Tunashauriwa kusamehe zaidi kuliko kulipa visasi. Hata walioumizwa wanapaswa kusamehe kwa sababu hata akifungwa haitawarufishia hasara waliyoipata.
Hebu kuwa specific. Nakuona wazi kabisa kuwa unàtetea usichokijua kwa upotofu..Tumehimizwa kusamehe saba mara sabini. Msamahani ndio msingi imara wa maridhiano!
Sio unafiki mkuu hapa ameeleza vyema kwenye nafasi Kama hizi za UDC Tena kwenye Jimbo la mtu Kama mbowe Kam alipewa maelekezo na mwenyekiti wake wa chama alikua anabidi atekeleze majukumu yake kwa style ile ili ahakikishe CCM inashinda .kumtoa UDC ilikua inatosha Ila walipofika wanatuamisha Kuna agenda ya Siri dhidi yake maana waliotumia madaraka vibaya sio yeye tu ukiangalia mfumo wa serikali yetu wapo wengi Sana Kama Ni haki wote wakamatwe wawajibishwe basi. UVCCM tunasimama na sabayaNdugu acha unafiki huyo mtu kawaumiza watu wengi kwa uonevu tu kwa vile alikuwa na madaraka huyo alitakiwa afanyiwe yale yale aliyefanyia wengine sema basi tu utaratibu wa kisheria unaelekeza vingine sasa acha kujitia mwanadini sana na mifano yako ya kipuuzi.
why yeye asamehewe na Sio Mdude na Wana Chadema 200+ Wanaoteseka magerezani?? na Sio mzee Ruge na Seti?? why Sabaya?? what special with him?Huo ni upande mmoja wa shilingi. Mimi nimeeleza upande wa kwanza! Nadhani kila upande una nafasi, lakini nafasi kubwa ni upande wangu kwa sababu pamoja na yote ametenda mambo mema kwa ahili ya Chama chetu. Ni bahati mbaya Chama hikihiki ndicho chenye Serikali!
Tunashauriwa kusamehe zaidi kuliko kulipa visasi. Hata walioumizwa wanapaswa kusamehe kwa sababu hata akifungwa haitawarufishia hasara waliyoipata.
Ndugu kati ya haya iliyoandika, lipo hata moja limesomwa mahakamani? Kama sivyo, wewe ndiye unayejifucha kwenye kivuli cha Magufuli ili umtete huyu swahiba wako Sabaya.
Shutuma za Sabaya mahakamani ziko dhahiri; rushwa ujambazi wa kutumia silaha na matumizi mabaya ya madaraka. Je haya yanakihusuje chama cha mapinduzi? Walimtuma? Je haya yanahusianaje na ubunge wa Hai na Mbowe? Je haya aliyoyafanya ndio yaliyofanikisha ushindi wa ccm Hai? Maswali ni mengi, ila itoshe kusema tuhuma za Sabaya ni personal na usitake kuihusisha na ccm.
Juu ya mwendazake, ni sahihi kuhusishwa naye kwani ukweli uko wazi. Haya mengi
Mna hati yenu ya mashitaka tofauti na tuliyoiona?CCM ilimtuma hai apore pesa za watu, abake, akate watu viungo? Walio umizwa wanapata wapi haki? Kama anasamehewa basi na majambazi yote yasameheww