Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Mambo yapi hayo mkuu?Moja ya project ya Magu,yaani alikua anafanya mambo ya maana.
Mambo yapi hayo mkuu?Moja ya project ya Magu,yaani alikua anafanya mambo ya maana.
Kawadanganye mataga wenzakoHayati alifanya lobbying nzuri kuhusu ili bomba.
Safari hii mama Samia hataki wizi wenu mliozoea ndiyo maana kawafurumusha team yenu yoote.Kumbe ulikua unalinda chato
Kumbe na bado maana chama ni kile kile
Safari hii mama Samia hataki wizi wenu mliozoea ndiyo maana kawafurumusha team yenu yoote
Huyaoni au unataka kunipima?Mambo yapi hayo mkuu?
Sawa ccm ni ileile lkn huyu mama siyo mwizi mwenzenuccm ile ile
Kazi gani? Kama wewe ni sukuma gang utakuwa unazijua zitaje basi.Huyaoni au unataka kunipima?
Kazi za magu zinaonekana tu.
Sawa ccm ni ileile lkn huyu mama siyo mwizi mwenzenu
Unadhani wasukuma woote wajinga kama nyinyi sukuma gangkumbe nabishana na msukuma duh
Unadhani wasukuma woote wajinga kama nyinyi sukuma gang
Hili bomba linasaini nyingi sanaaaa.Rais kufanya Ziara ya siku moja nchini Uganda anatarajia kuonana na Mwenyeji wake Yoweri kaguta Museveni. More to followView attachment 1748625
Roho mbaya sana hiyo.Kikwazo kimeshaondoka sasa mambo yanaanza