Rais Samia Suluhu kuzungumza na Wazee wa Dar es Salaam Ijumaa Mei 7, 2021

Napambana nami nizeekee Dar Es Salaam in shaa Allaah.
Kuna heshima kuwa Mzee wa Dar es Salaam.

Kuna anaebisha?
 
Mama Samia usiache kuhoji Lisu na Lema wanarudi lini Tanzania.

Walituaminisha wamekimbia nchi na kwenda kulelewa na wanaume wa kizungu kama wakimbizi kwa sababu hapa nchini walikuwa wanatishiwa maisha na mwendazake.

Sasa hivi mwendazake hayupo je ni lini mtaacha kuishi kwa kulelewa na wazungu Ulaya mrudi Tanzania kujenga nchi na kula kwa jasho lenu? Tunahoji haya kwa sababu tunaona mko kimyaaa.

Mkiendelea kukaa kimya watu watajua mlikimbia nchi kwa masilahi yenu na siyo kwa kutishiwa maisha na mwendazake. Kwanza wewe Lema ulilipa lile deni lako la million 400 lililosomwa na spika Ndugai bungeni?

Rudi ulipe madeni ya watu.

Na wewe mzee wa MIGA Lisu rudi hutawakuta Acacia uliokuwa unawatetea sana utakuta kampuni mpya ya madini inayoitwa TWIGA
Mataga kutoka sukuma gang amepanic
 


Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kesho Ijumaa Mei 7, 2021 anatarajia kuzungumza na wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam katika mkutano utakaofanyika ukumbi wa Mlimani City na kuhusisha wazee takriban 900.

Hayo yameelezwa leo Alhamisi Mei 6, 2021 na mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Abubakar Kunenge aliyebainisha kuwa kulikuwa na utaratibu maalum wa kuwapata wazee hao na kwamba wengine wanapaswa kufuatilia mkutano huo kupitia vyombo mbalimbali vya habari.

"Tunaomba sana waliopata mwaliko wahudhurie mkutano huu, Tunatarajia ikifika saa nane kamili wazee wote watakuwa wameshafika. Na utaratibu wa jinsi ya kufika utatolewa kwani kutakuwa na magari yameandaliwa.”

"Tunamshukuru Rais kwa kuchagua Mkoa huu kwa sababu angeenda Mkoa wowote lakini amechagua Dar es Salaam. Ninaamini kuongea na wazee hao atakuwa ameongea na wazee wa Tanzania nzima," amesema.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kesho Ijumaa ya May 07 anatarajiwa kufanya mkutano na zaidi ya Wazee 900 wa Mkoa wa Dar es salaam ambapo Katika kikao icho watajadili Mambo mbalimbali.

Akitoa taarifa ya Mkutano huo, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Aboubakar Kunenge amesema kikao icho kitafanyika Ukumbi wa Mikutano Mlimani city kuanzia saa 8 Mchana.

Aidha RC Kunenge ametoa wito kwa Wazee waliopata mialiko ya kushiriki kikao hicho kujitokeza kwa wingi ili wapate kusikiliza kile ambacho Rais Mhe. Samia amewaitia.

Kwa upande wao Viongozi wa Wazee wamemshukuru Mhe. Rais Samia kwa kuona umuhimu wa kukutana na Wazee huku wakisema wanatarajia Kikao icho kitakuwa na Manufaa makubwa kwao.

wazee wabaki kuwa washauri raisi atafute jukwaa la vijana aongee na vijana namna ya kuchangamkia fursa hizi za wakenya
 
Hivi wazee wapo Dar Es Salaam TU? maana hatujawahi kusikia viongozi wa Juu wakitaka kuzungumza na wazee wa mikoani, au mikoani wapo vijana tu
 
Mama Samia usiache kuhoji Lisu na Lema wanarudi lini Tanzania.

Walituaminisha wamekimbia nchi na kwenda kulelewa na wanaume wa kizungu kama wakimbizi kwa sababu hapa nchini walikuwa wanatishiwa maisha na mwendazake.

Sasa hivi mwendazake hayupo je ni lini mtaacha kuishi kwa kulelewa na wazungu Ulaya mrudi Tanzania kujenga nchi na kula kwa jasho lenu? Tunahoji haya kwa sababu tunaona mko kimyaaa.

Mkiendelea kukaa kimya watu watajua mlikimbia nchi kwa masilahi yenu na siyo kwa kutishiwa maisha na mwendazake. Kwanza wewe Lema ulilipa lile deni lako la million 400 lililosomwa na spika Ndugai bungeni?

Rudi ulipe madeni ya watu.

Na wewe mzee wa MIGA Lisu rudi hutawakuta Acacia uliokuwa unawatetea sana utakuta kampuni mpya ya madini inayoitwa TWIGA
Unalazimisha sana Lisu na Lema warudi Tz. vipi walikuahidi kukuoa?
 


Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kesho Ijumaa Mei 7, 2021 anatarajia kuzungumza na wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam katika mkutano utakaofanyika ukumbi wa Mlimani City na kuhusisha wazee takriban 900.

Hayo yameelezwa leo Alhamisi Mei 6, 2021 na mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Abubakar Kunenge aliyebainisha kuwa kulikuwa na utaratibu maalum wa kuwapata wazee hao na kwamba wengine wanapaswa kufuatilia mkutano huo kupitia vyombo mbalimbali vya habari.

"Tunaomba sana waliopata mwaliko wahudhurie mkutano huu, Tunatarajia ikifika saa nane kamili wazee wote watakuwa wameshafika. Na utaratibu wa jinsi ya kufika utatolewa kwani kutakuwa na magari yameandaliwa.”

"Tunamshukuru Rais kwa kuchagua Mkoa huu kwa sababu angeenda Mkoa wowote lakini amechagua Dar es Salaam. Ninaamini kuongea na wazee hao atakuwa ameongea na wazee wa Tanzania nzima," amesema.


Sawa. Wazee wa CCM kama kawa.
 
Safi sana, Mheshimiwa rais, Sisi wazee wa DSM tunaomba Jiji Letu la Dar'es salaam ulirudishe liwe moja ila Uunde halmashauri moja ya Jiji kutoka wilaya Zote.

Haiwezekani Msasani, Mwenge, Kawe kusiwe jiji eti jiji liishie posta tu.

Kufuata model ya mwanza eti Halmashauri ya jiji iundwe na wilaya mbili tu haimake sense kwa DSM kwa sababu Mwanza ni kubwa ina rural area kubwa, kwa hiyo ni sahihi Jiji kuwa kwenye wilaya hizo mbili, Lakini DSM yetu kwa eneo ni Ndogo kwa hiyo Wilaya zote zinatosha na zina vigezo vya kuwa jiji moja.
Mkuu, nami naona ni vyema hili suala la JIJI kuwa ni wilaya ya Ilala tu halina afya mzuri. Pamoja na Mh. Rais kutaka kurithi baadhi ya ambayo ya mtangulizi wake, lakini kwa hili naona aliangalie upya. Kama anapenda kuwe na JIJI na wilaya za Ilala, Kinondoni, Temeke ziendelee kuwepo, mimi kwa mtazamo wangu napendekeza kama ifuavyo:Eneo kuanzia Chuo cha U vuvi Kunduchi kufuata barabara hadi Mbuyuni (junction ya barabara ya Bagamoyo na Kunduchi Beach) unakuja hadi Lugalo, Chuo cha Ardhi, Chuo Kikuu Chuo cha Maji, Mabibo Hostel, Tabata Segerea, Airport, TAZARA, Veterinary, National Stadium (Mgulani), Chuo cha Uhasibu, hadi Daraja la Kikwete na Kigamboni. Eneo hilo linafaa kwa kuanza na JIJI LA DAR-ES-SALAAM. Nakaribisha maboresho.
 
Dikteta aliwadharau sn
tangu enzi za nyerere hadi kikwete, walikua na utaratibu wa kuzungumza nao wazee wa pwani hawa.
jiwe yeye hakujua aliwakumbatia wazee wa chato,akawasahau wazee wa pwani.

na nakuhakikishia akimaliza kuzungumza na wazee wa dar, mbio za mwenge zinafunguliwa upya.
 
tangu enzi za nyerere hadi kikwete, walikua na utaratibu wa kuzungumza nao wazee wa pwani hawa.
jiwe yeye hakujua aliwakumbatia wazee wa chato,akawasahau wazee wa pwani.

na nakuhakikishia akimaliza kuzungumza na wazee wa dar, mbio za mwenge zinafunguliwa upya.
Kazi kweli
 


Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kesho Ijumaa Mei 7, 2021 anatarajia kuzungumza na wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam katika mkutano utakaofanyika ukumbi wa Mlimani City na kuhusisha wazee takriban 900.

Hayo yameelezwa leo Alhamisi Mei 6, 2021 na mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Abubakar Kunenge aliyebainisha kuwa kulikuwa na utaratibu maalum wa kuwapata wazee hao na kwamba wengine wanapaswa kufuatilia mkutano huo kupitia vyombo mbalimbali vya habari.

"Tunaomba sana waliopata mwaliko wahudhurie mkutano huu, Tunatarajia ikifika saa nane kamili wazee wote watakuwa wameshafika. Na utaratibu wa jinsi ya kufika utatolewa kwani kutakuwa na magari yameandaliwa.”

"Tunamshukuru Rais kwa kuchagua Mkoa huu kwa sababu angeenda Mkoa wowote lakini amechagua Dar es Salaam. Ninaamini kuongea na wazee hao atakuwa ameongea na wazee wa Tanzania nzima," amesema.


Hakuna jipya hapo atakaloongea huyo mama SSH zaidi tu ya ahadi na porojo. Ifike mahali tuwe tunaona "utekelezaji" wa mambo kuliko "ngonjera" za kujirudia rudia.
Kwa kumbukumbu zangu kila Rais amekuwa akikaa na kuongea na wazee lakini sijaona changamoto zinazowakabili wazee zikitatuliwa hata robo tu bado.

Tanzania tuna safari ndefu sana.
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom