TASK FORCE
JF-Expert Member
- Apr 7, 2017
- 2,466
- 3,456
Ulitaka style ya dikteta magufuliAisee..
Mzee Msoga style
Ulitaka style ya dikteta magufuliAisee..
Mzee Msoga style
Nakuona mfuasi wa dikteta magufuliNyumbu wameachana na Lisu sasa hivi wanatimua mbio kuelekea ccm kwa mama Samia.
Nyumbu wameachana na Lisu sasa hivi wanatimua mbio kuelekea ccm kwa mama Samia.
Akikujibu nifahamishe na mimi.Kwani ubaguzi si aliondoka nao jiwe?
Na sasa hivi mambo ni safi na nmeona mnademka sana kuisifia ccm na Smaia?
Alishasema kuwa haitaji ushauri
my self namsifu kwa uwezo wake wa kuweza Ku hold nchi peke yake mikononi mwake HUKU akijua kila pahali nini kinaendelea....!@#$%%>Unamaanisha yeye alikuwa ni kama FULL EVERYTHINGS,
Soma hiyo taarifa kwa utulivu...Taarifa nusunusu. Dar wapi na saa ngapi wazee tujisogeze?
Ruhusa ya niniMATAGA unalo.
Kaombe Ruksa Chato kwanza.
Nyumba hawaaminiki mkuu wesubiri siku chachetu badae utashangaa machoyako.Bavicha wamecover nafasi ya mataga!
Safi sana ccm mbele kwa mbele
wazee wenyewe ndio wale wa CCM waliokuwa wanasema mitano tena?
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kesho Ijumaa Mei 7, 2021 anatarajia kuzungumza na wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam katika mkutano utakaofanyika ukumbi wa Mlimani City na kuhusisha wazee takriban 900.
Hayo yameelezwa leo Alhamisi Mei 6, 2021 na mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Abubakar Kunenge aliyebainisha kuwa kulikuwa na utaratibu maalum wa kuwapata wazee hao na kwamba wengine wanapaswa kufuatilia mkutano huo kupitia vyombo mbalimbali vya habari.
"Tunaomba sana waliopata mwaliko wahudhurie mkutano huu, Tunatarajia ikifika saa nane kamili wazee wote watakuwa wameshafika. Na utaratibu wa jinsi ya kufika utatolewa kwani kutakuwa na magari yameandaliwa.”
"Tunamshukuru Rais kwa kuchagua Mkoa huu kwa sababu angeenda Mkoa wowote lakini amechagua Dar es Salaam. Ninaamini kuongea na wazee hao atakuwa ameongea na wazee wa Tanzania nzima," amesema.
Nyumbu wameachana na Lisu sasa hivi wanatimua mbio kuelekea ccm kwa mama Samia.
Mama Samia usiache kuhoji Lisu na Lema wanarudi lini Tanzania.
Walituaminisha wamekimbia nchi na kwenda kulelewa na wanaume wa kizungu kama wakimbizi kwa sababu hapa nchini walikuwa wanatishiwa maisha na mwendazake.
Sasa hivi mwendazake hayupo je ni lini mtaacha kuishi kwa kulelewa na wazungu Ulaya mrudi Tanzania kujenga nchi na kula kwa jasho lenu? Tunahoji haya kwa sababu tunaona mko kimyaaa.
Mkiendelea kukaa kimya watu watajua mlikimbia nchi kwa masilahi yenu na siyo kwa kutishiwa maisha na mwendazake. Kwanza wewe Lema ulilipa lile deni lako la million 400 lililosomwa na spika Ndugai bungeni?
Rudi ulipe madeni ya watu.
Na wewe mzee wa MIGA Lisu rudi hutawakuta Acacia uliokuwa unawatetea sana utakuta kampuni mpya ya madini inayoitwa TWIGA
Aisee..
Mzee Msoga style
MATAGA unalo.Mama Samia usiache kuhoji Lisu na Lema wanarudi lini Tanzania
Walituaminisha wamekimbia nchi na kwenda kulelewa na wanaume wa kizungu kama wakimbizi kwa sababu hapa nchini walikuwa wanatishiwa maisha na mwendazake.
Sasa hivi mwendazake hayupo je ni lini mtaacha kuishi kwa kulelewa na wazungu Ulaya mrudi Tanzania kujenga nchi na kula kwa jasho lenu? Tunahoji haya kwa sababu tunaona mko kimyaaa.
Mkiendelea kukaa kimya watu watajua mlikimbia nchi kwa masilahi yenu na siyo kwa kutishiwa maisha na mwendazake. Kwanza wewe Lema ulilipa lile deni lako la million 400 lililosomwa na spika Ndugai bungeni?
Rudi ulipe madeni ya watu.
Na wewe mzee wa MIGA Lisu rudi hutawakuta Acacia uliokuwa unawatetea sana utakuta kampuni mpya ya madini inayoitwa TWIGA
Na wewe TAGA?Ruhusa ya nini
Nimeandamana na Mama Nairobi.
Vipi hujandamana na Bawacha wenzio kwenda kuwatoa kina mdee bungeni?
Hao wazee wanahusiana na Uislamu?
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kesho Ijumaa Mei 7, 2021 anatarajia kuzungumza na wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam katika mkutano utakaofanyika ukumbi wa Mlimani City na kuhusisha wazee takriban 900...
Hakuna mtu mjinga fb na jamii forum kama huyu Etwege.Mama Samia usiache kuhoji Lisu na Lema wanarudi lini Tanzania.
Walituaminisha wamekimbia nchi na kwenda kulelewa na wanaume wa kizungu kama wakimbizi kwa sababu hapa nchini walikuwa wanatishiwa maisha na mwendazake...