Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,823
- 93,598
Hivi wazee huwa wapo Dar pekee?Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kesho Ijumaa Mei 7, 2021 anatarajia kuzungumza na wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam katika mkutano utakaofanyika ukumbi wa Mlimani City na kuhusisha wazee takribani 900.
MATAGA andaeni mapovu tena maana Mama anaenda kuifungua nchi.