Kumekuwa na utaratibu wa GPSA kutangaza framework contracts za kusupply bidhaa na huduma mbalimbali kwenye taasisi za umma kila mwaka.
Kusema ukweli utaratibu huu hauna tija. Unaongeza ugumu na gharama katika kufanya biashara na serikali.
Sisi wafanyabiashara tunapo fungua kampuni, tunaruhusiwa kufanya biashara sehemu yoyote ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Hatuna mpaka wa kufanya biashara. Ingawa leseni za baadhi ya biashara tunakata katika halmashauri iliyopo ofisi, ila haituzuii kufanya biashara sehemu nyingine.
Sasa huu utaratibu wa kuomba tender ki mkoa unatoka wapi? Yaani inabidi ninunue na kuomba tender 26 za ku supply kwa mfano stationery tu. Hii ni kazi kubwa na yenye gharama isiyo ya lazima.
Lakini hata hivyo framework work contract za kila mwaka sijui lengo lake hasa nini. Maana pamoja na kupata framework contract bado unaweza usipate kazi yoyote mwaka mzima.
Sijui lengo la GPSA nini. Kama lengo ni kufanya due diligence, mbona kuna vyombo vingine kama TRA na brela ambapo kila mwaka tunapata clearance certificates?. Au kama ni due diligence basi ifanyike kila baada ya miaka mitatu, siyo kila mwaka.
Kama lengo ni kupanga bei elekezi, GPSA wanaweza wakawa wanafanya utafiti na ku publish bei elejezi za bidhaa mbalimbali kila mwaka au pale inapobidi..ili kuwa guide wanunuzi kwamba wasinunue zaidi ya bei iliyopendekezwa. Wanaweza wakatoa bei elekezi bila kulazimisha suppliers wanunue na kuomba tender.
Mchakato wa manunuzi ufanywe moja kwa moja na taasisi husika kama zamani.
PPRA na CAG wanafanya ukaguzi kila mwaka ili kudhibiti manunuzi yasiyo fuata utaratibu.
Hebu tuangalieni hili swala kwa jicho la tatu hivi Framework contract na GPSA wana add value gani kwenye mchakato wa manunuzi?
Mh. Rais tuondolee huyu mdudu anaitwa framework contract inaongeza vyanzo vya rushwa na gharama zisizo za msingi.
Kusema ukweli utaratibu huu hauna tija. Unaongeza ugumu na gharama katika kufanya biashara na serikali.
Sisi wafanyabiashara tunapo fungua kampuni, tunaruhusiwa kufanya biashara sehemu yoyote ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Hatuna mpaka wa kufanya biashara. Ingawa leseni za baadhi ya biashara tunakata katika halmashauri iliyopo ofisi, ila haituzuii kufanya biashara sehemu nyingine.
Sasa huu utaratibu wa kuomba tender ki mkoa unatoka wapi? Yaani inabidi ninunue na kuomba tender 26 za ku supply kwa mfano stationery tu. Hii ni kazi kubwa na yenye gharama isiyo ya lazima.
Lakini hata hivyo framework work contract za kila mwaka sijui lengo lake hasa nini. Maana pamoja na kupata framework contract bado unaweza usipate kazi yoyote mwaka mzima.
Sijui lengo la GPSA nini. Kama lengo ni kufanya due diligence, mbona kuna vyombo vingine kama TRA na brela ambapo kila mwaka tunapata clearance certificates?. Au kama ni due diligence basi ifanyike kila baada ya miaka mitatu, siyo kila mwaka.
Kama lengo ni kupanga bei elekezi, GPSA wanaweza wakawa wanafanya utafiti na ku publish bei elejezi za bidhaa mbalimbali kila mwaka au pale inapobidi..ili kuwa guide wanunuzi kwamba wasinunue zaidi ya bei iliyopendekezwa. Wanaweza wakatoa bei elekezi bila kulazimisha suppliers wanunue na kuomba tender.
Mchakato wa manunuzi ufanywe moja kwa moja na taasisi husika kama zamani.
PPRA na CAG wanafanya ukaguzi kila mwaka ili kudhibiti manunuzi yasiyo fuata utaratibu.
Hebu tuangalieni hili swala kwa jicho la tatu hivi Framework contract na GPSA wana add value gani kwenye mchakato wa manunuzi?
Mh. Rais tuondolee huyu mdudu anaitwa framework contract inaongeza vyanzo vya rushwa na gharama zisizo za msingi.