Take that, take that!!Watanzania gani wanataka katiba mpya? Nayashangaa sana haya yanayotuongelea wengine ambao hatujasema lolote. Rubbish. Katiba hainilishi wala kunivalisha. Sitaki katiba mpya.
Ni hofu aliyonayo na mipango aliyojiwekea kuelekea 2025 hasa baada ya kusema 2025 ni zamu ya wanawake kumuweka mtu wao.
Alianza kwa kuwashughulikia aliohisi ni wapinzani wake ndani ya baraza lake la mawaziri, akawatosa kina Lukuvi na Kabudi kijanja, na kuwajaza watoto wa marafiki zake kwa kisingizio ndio timu yake ana imani nao watafanya kazi vizuri.
Baada ya hapo naamini anajua kikwazo kitachofuata kwake ni Katiba Mpya hasa ile rasimu ya Warioba, CCM wanajua fika hawakubaliki Tanzania hii wanachotegemea ni kuiba kura kwa kuwatumia polisi na Tume ya uchaguzi.
Hivyo lazima afanye kila awezalo kwa usalama wake kuelekea 2025, ndio maana sasa unawasikia Samia na ile tume yake feki ya kina Mukandala wanakwambia mchakato wa Katiba Mpya uanze baada ya 2025, hii maana yake wanataka angalau waibe kura kwa mara ya mwisho 2025 ili Samia arudi ikulu.
Yaani wazazi wako wamezaa sumu poyoyo yaani haya ndio maoni yako ! Ccm KUANZIA wajuu mpaka mchunga ng,ombe wa Chaltle akili zinafananaKatiba mpya unajidanganya
Watanzania wa upande wa bara ndiyo wanataka katiba mpya ili wazidi kuwaburuza Wazanzibari.Watanzania gani wanataka katiba mpya? Nayashangaa sana haya yanayotuongelea wengine ambao hatujasema lolote. Rubbish. Katiba hainilishi wala kunivalisha. Sitaki katiba mpya.
Heshimu mawazo yangu vinginevyo wewe ni dikteta zaidi ya magufuli. Mkipata madaraka mtatopoteza akina saa nane wengi zaidi. Sitaki katiba mpya movement.Akili yako haina akili kabisa kabisa. Unawaza kula tu kizazi cha hovyo.
Umempa majibu ambayo hatokuja kusahauNi sahihi. Hata mchakato wa 2011 hadi 2014 watu aina yako tulikuwa nao JF na kwingineko… hata 1992 wapo ambao hawakutaka kuona mfumo wa vyama vingi ukirejea. Ni bahati nzuri watu aina yenu tunafahanu lazima mtakuwepo na hamtazuia lolote kama dhamira za dhati za upatikanaji katiba mpya zitakuwepo. Tunapambana tukifahamu, wapo watu aina yako, na hata hakuna unachonufaika nacho isipokuwa upo kwenye denial status!
Mnamulewesha ninyi wenyewe,amelewa madaraka
Kaka acha kujidanganya hamna Kiongozi katika ndani ya hii Nchi anaweza badilisha Katiba ambayo anaona ina mfeva kwa 100%.Mwl.Nyerere na uzalendo wake wote alifahamu katiba ni mbovu na alikuwa na uwezo wa kubadili katika kipindi chake hakufanya hivyo.Ni sahihi. Hata mchakato wa 2011 hadi 2014 watu aina yako tulikuwa nao JF na kwingineko… hata 1992 wapo ambao hawakutaka kuona mfumo wa vyama vingi ukirejea. Ni bahati nzuri watu aina yenu tunafahanu lazima mtakuwepo na hamtazuia lolote kama dhamira za dhati za upatikanaji katiba mpya zitakuwepo. Tunapambana tukifahamu, wapo watu aina yako, na hata hakuna unachonufaika nacho isipokuwa upo kwenye denial status!