Chris wood
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 1,667
- 5,008
Yaani nashangaa hadi muda huu mama yetu samia suluhu hassan ameshindwa kutoa kauli yoyote kuhusu hawa wabunge 19 wasio na chama, Licha ya kwamba uongozi wa chadema umeshaweka bayana kuwa hauwatambui hao covid 19 kama wanachama wa chadema.
Lakini tunaona wazi wazi katiba inavyo vunjwa bungeni kwa kuwaruhusu hao wabunge wasio na chama kuendelea na vikao huku wakilipwa pesa za wananchi ambazo zingeenda kusaidia hata kujenga vyumba vya madarasa
.
Nakukumbusha tu muheshimiwa wewe sii chaguo la wananchii ni katiba ndio imekufanya umekalia hiko kiti, katiba ingepindishwa kamwe usinge kuwa raisi wa hii nchi.
Ombi langu kwako muheshimiwa raisi msumeno hukata pande zote, kama wewe katiba ilivyokufanyia fair ilinde kwa nguvu zote, Toa kauli kwa spika awatimue hao covid 19 ikiwezekana na pesa zote walizolipwa wazirudishe zipelekwe kwenye miradi ya maendeleo
Lakini tunaona wazi wazi katiba inavyo vunjwa bungeni kwa kuwaruhusu hao wabunge wasio na chama kuendelea na vikao huku wakilipwa pesa za wananchi ambazo zingeenda kusaidia hata kujenga vyumba vya madarasa
.
Nakukumbusha tu muheshimiwa wewe sii chaguo la wananchii ni katiba ndio imekufanya umekalia hiko kiti, katiba ingepindishwa kamwe usinge kuwa raisi wa hii nchi.
Ombi langu kwako muheshimiwa raisi msumeno hukata pande zote, kama wewe katiba ilivyokufanyia fair ilinde kwa nguvu zote, Toa kauli kwa spika awatimue hao covid 19 ikiwezekana na pesa zote walizolipwa wazirudishe zipelekwe kwenye miradi ya maendeleo