Rais Samia Suluhu Hassan kuzungumza na Wahariri leo 28.6.2021

Wajumbe.

Rais Samia Suluhu anazungumzia na wahariri leo mnamo saa 9 alasiri. Tukio hilo linafuatia Rais kumaliza siku 100 akiwa madarakani.

JamiiForums kama mdau mkuu wa habari humu nchini tupendekeze hapa maswali ambayo tungependa wahariri kamuulize mama . Japo siyo hayo lakini yenye mlengo huo

1. Rais uliahidi kukutana na wapinzani, Je ni lini hasa wananchi watarajie mkutano huu?

2. Wewe ulikuwa makamu mwenyekiti wa BMK Mchakato huo haujafikia mwisho bado. Je unawaahidi nini wa watanzania ili mchakato huo uwezo kukamilika na kuwapatia wananchi katiba mpya?

Ongeza mengine

Karibu.
Tunataka kujua pia Ripoti ya BOT mbona kawa kimya na haijatoka.

Pia uwezeshwaji wa vijana hasa ajira
 
Habari mbaya sana kwa MATAGA.

Mama anaupiga mwingi mnoo akina na polepole na kakurwa wanateseka sana awamu hii.View attachment 1833046

Sent using Jamii Forums mobile app
tatzo hujui,ccm ni taasisi haiongozwi na mtu mmoja rais,usidhani kila analoongea mitaani litaafikiwa na ccm.ikiwa ni agenda yenye tija kwa taifa hakuna shida,Ila ikiwa ni kwaajir ya mtu au kikundi fulani ,haipenyi pale white house mkuu.
 
Mafanikio ya Samia ni habari mbaya sana kwa Lisu maana 2025 hana chake tena.

Ccm itaendelea kupeta
Wewe jipendekeze tu lakini Mama anawajuo wote chawa wa dhalim ambao mnamtengenezea zengwe. Na kwa taarifa yako awamu hii hakuna teuzi za kimalaya malaya kama alizokuwa anatoa yule ibilisi. Utadanga tu siku zote za maisha yako
 
Mafanikio ya Samia ni habari mbaya sana kwa Lisu maana 2025 hana chake tena.

Ccm itaendelea kupeta
Kuna wakati huwa kama umerogwa juu ya Lisu, aliwahi kukukopaaaa! Maana kika mjadala mwema wewe na Lisu tu.
 
Wajumbe.

Rais Samia Suluhu anazungumzia na wahariri leo mnamo saa 9 alasiri. Tukio hilo linafuatia Rais kumaliza siku 100 akiwa madarakani.

JamiiForums kama mdau mkuu wa habari humu nchini tupendekeze hapa maswali ambayo tungependa wahariri kamuulize mama . Japo siyo hayo lakini yenye mlengo huo

1. Rais uliahidi kukutana na wapinzani, Je ni lini hasa wananchi watarajie mkutano huu?

2. Wewe ulikuwa makamu mwenyekiti wa BMK Mchakato huo haujafikia mwisho bado. Je unawaahidi nini wa watanzania ili mchakato huo uwezo kukamilika na kuwapatia wananchi katiba mpya?

Ongeza mengine

Karibu.
NI OMBI /SWALI KWA MHESHIMIWA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN
Rejea mapambano ya Uhuru na haki ya Watanzania, Muasisi wa Taifa hili alishitakiwa katika mahakma hapa Dar es Salaam, na sasa Serikali iko Dodoma je haoni kuwa itakuwa ni heshima kwa Dar es Salaam kuachiwa MUHIMILI mmoja wa Nchi ambao ni MAHAKAMA kwa sababu tayari Bunge na Serikali kuu wako Dodoma na KUSITISHA rasmi harakati kuhamishia Mahakama huko Dodoma?

Hoja yangu imejikita katika harakati za kulinda historia ya HARAKATI ZA UHURU NA HAKI zilizohitimishwa hapa Dar es salaam.

Ninajiongeza, kama lengo ni kuipa nafasi ya kukua maeneo mengine ya Nchi basi kwa kuzingatia usalama ambao mara zote Bahari imekuwa kigezo na pahala salama zaidi kwa ULINZI NA USALAMA bado nasisitiza , Je si vema kuipa Dar es Salaam Mahakama , Morogoro na Pwani Serikali kuu -kwa kuujenga mji wa Serikali pale mpakani mwa Morogoro na Pwani -Bwawani....unachukua 15 km Morogoro na 15 km Pwani tengeneza Mji wa MKUU wa serikali unaiacha Dodoma kuwa mji wa Bunge na Dar es Salaam Mji wa Mahakama.

Nawasilisha,

Dar es salaam ni Mji wa wapigania haki, biashara na ustawi wa NCHI- MAHAKAMA IBAKIE DAR ES SALAAM, Ma Meya wa wote waungane waishauri serikali hilo.
 
SOUTH AFRICA WAMEFANYA HIVO JBURG,PRETORIA NA CAPETOWN HAWA WAMEIBEBA MIHIMILI YOTE YA NCHI KWA KILA MOJA KUWA NA MAHAKAMA, MWINGINE BUNGE NA MWINGINE IKULU YA NCHI
 
Mtangulizi wake (hayati magufuli) aliukataa mkataba ya bandari ya bagamoy kwa kusema ni kicha pekee ndio angekubaliana na masharti yaliyomo katika mkataba huo. Leo tunaambiwa kuwa bandari ya bagamoyo itaanza kujengwa,

1) je, masharti hayo yamerekebishwa?

2) serikali iko tarari kuweka wazi mkataba huo kwa maslahi mapana ya taifa letu?
Wapi serikali imesema bandari itaanza kujengwa?

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
 
1) Kati ya mambo yanayosababisha nchi kuwa ya wachuuzi badala ya wazalishaji, ni sheria za uwekezaji zinazobadilika mara kwa mara. Unaanza kujenga kiwanda sheria unaiona nzuri, unaezeka majengo, sheria imebadilika, unaagiza mitambo sheria imebadilika, unaanza uzalishaji sheria imebadilika. Ni lini Tanzania itakuwa na sheria ya uwekezaji ambayo haitabadilika ovyoovyo, angalao kwa miaka 20 ili wanaowekeza wasiwe na hofu ya chochote kutokea wakati wowote kikaathiri uwekezaji wao?

2) Kati ya mambo yanayofanya tuwe na sheria mbaya za kodi na uwekezaji, ni kuwa na watendaji wasiojua chochote kuhusu uwekezaji na biashara. Ni lini tutakuwa na sheria inayolazimisha watendaji wakuu wa masuala ya uwekezaji na kodi kuwa watu wenye uelewa wa kutosha kwenye sekta hizo badala ya kutizama uelekeo wao wa kisiasa?

3) Kulikuwa na hukumu ya mahakama iliyozuia wakurugenzi wa Wilaya kuwa wasimamizi wa uchaguzi kutokana na wao kuwa makada na hata ule utaratibu wao wa kuteuliwa. Lakini kwa sababu mahakama zetu zilikosa uhuru wakati wa awamu ya 5, hukumu ile iliyokuwa na mantiki ilifutwa. Je, ni nini unafikiria kukifanya ili Tume ya uchaguzi iwe huru kweli, na siyo huru kinadharia ka ilivyo sasa?
Yakiulizwa haya umeme utakatwa nchi nzima! Kumbuka yale ya slaa wakati akiwa mwenyekiti wa LAC na lisu wakati anachangia BMK.
Hawa watu ni waoga !
Thanks
 
Siku za fungate siyo kipimo sahihi cha utawala bora!

Makucha halisi ya Rais Samia kuanza kuonekana rasmi!
 
Back
Top Bottom