Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,079
- 8,219
Sheria inataka awe anaonekana kila sehemu ambapo Rais yupo?Anaitwa " first gentleman",anatumia kodi zetu.
Sheria inataka awe anaonekana kila sehemu ambapo Rais yupo?Anaitwa " first gentleman",anatumia kodi zetu.
Kama siyo mpambe anaenda kufanya nini sasa?
Sasa umeandika nini? Ukweli unabaki kuwa mkopo wa IMF umewezekana baada ya Mama kuwa kwenye madaraka na correct perspective. Tusingerudi kwenye reli tusinge qualify.Acha kukurupuka, kuna sehemu nimesema mchakato wa pesa za IMF umeanza enzi za mwendazake?au nimesema mchakato wa pesa za IMF umeanza kabla ya bi mkubwa kwenda UN?...
jingalao akisoma hii anacheeeka kwa kazi nzuri ya mama.
Bia yetu
kawe Alumn
magu2016
Magufulist Nyererist
Magonjwa Mtambuka
Elitwege
Unafulahia viongozi kufanya safari zisizo na tija kisha unapinga tozo ili wasafiri vizuri ,zama ya kujifungia imepita. kazi na bata
Akili za "old stone age hizo", inawezekana wewe bado ni ile jamii inayoishi kwenye mapango ambayo haina uelewa wa yanayoendelea nje ya pango. Baki na mtazamo na akili hizo, KAZI INAENDELE, NA UKIZINGUA UTAZINGULIWAHiyo pesa ya safari inatosha kujenga na kukamilisha mradi wa maji kwenye mji wa Namtumbo, tena na nyingine zinabaki za kujenga kituo cha afya na kuiondoa Namtumbo kwenye orodha ya kero za huduma za jamii.
Shughuli za kiserikali usifananishe na shughuli zako binafsi.Walio karibu nae lazima wafurahi, maana wanapata posho Kama zote, ila safari ya rais MOJA ni gharama kubwa Sana , zipo safari anaweza tuma wa kumwakilisha,
Mfano tangu amechukua kiti ameenda Nchi ngapi? na mwa haujaisha, vipi Mpaka 2025?
Mkuu binafsi sipingani na kisafiri , ila KWa safari zenye tija , japo kila safari ina umuhim wake, ila zipo zingine Rais anaweza kuzipima kulingana na uzito wake kwamba lazima awepo yeye binafsi ,au anaweza wakilishwa, Ndo maana anawasaidizi kibao, waziri mkuu, makamo wake , n.kMkuu sisi bado tunaiitaji dunia kusonga mbele, uwepo wake yeye kule ni mkubwa mno kuliko wawakilishi! Wewe ukiwa Rais wa nchi hii utajifungia ndani na kuzuia watu wote kusafiri kama Jiwe?
Big moveRais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuondoka Nchini Oktoba 30, 2021 kuelekea Glasgow, Scotland kuhudhuria Mkutano wa 26 wa Umoja wa Mataifa utakaojadili athari za Mabadiliko ya Tabianchi (COP 26).
Anatarajiwa kuhutubia siku ya pili ya Mkutano huo (Novemba 02, 2021) na pia atakutana kuzungumza na baadhi Wakuu wa Nchi, Wakuu wa Mashirika ya Kimataifa, Wakuu wa Taasisi mbalimbali na Wafanyabiashara wakubwa.
View attachment 1990991