Rais Samia Suluhu Hassan kuhudhuria Mkutano wa COP 26 Nchini Scotland

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuondoka Nchini Oktoba 30, 2021 kuelekea Glasgow, Scotland kuhudhuria Mkutano wa 26 wa Umoja wa Mataifa utakaojadili athari za Mabadiliko ya Tabianchi (COP 26).

Anatarajiwa kuhutubia siku ya pili ya Mkutano huo (Novemba 02, 2021) na pia atakutana kuzungumza na baadhi Wakuu wa Nchi, Wakuu wa Mashirika ya Kimataifa, Wakuu wa Taasisi mbalimbali na Wafanyabiashara wakubwa.

1B791FD5-1385-4965-AE9B-F86529D8A407.jpeg
 
Enzi za Magufuli wakitaka kukata umeme walikuwa wanatoa notice ,wanakata saa ngapi, kwa nini na maeneo yapi.
Kwa nini sasa hivi hawatoi notice?

Lakini huu utendaji wa Makamba
ndio unaoshangiliwa sana na Chadema ila uzuri umeme ukikatika hauchagui chama wote biashara zinadoda.
 
Hii ni serikali ya kina vasco da gama.

Angalia Makamba alikua anazurula uarabuni eti anapeleka ujumbe maalum wa rais Samia Suluhu.

Ukiangalia perdiem zao utalia. Enzi zile za jk walikua wanatembea na mabegi yamejaa dolar, sasa sijui wanatembea na kirikuu ama kitu gani.

Rais kusafiri sio shida ila sio kusafiri safiri kila siku uko safari. Enzi za kikwete washkaji walimuwekea ratiba ya miaka 5 mbele, ukitoka hapa unaenda hapa unaenda pale unaenda kule.

Kuna nguruwe wanatetea eti safari za rais zina faida sana, basi safari 700 za kikwete kwa utawala wake Tanzania ingekua New York.

Hakuna anaekataa kusafiri, ila sio kila siku safari.

Kazi ipo.
 
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuondoka Nchini Oktoba 30, 2021 kuelekea Glasgow, Scotland kuhudhuria Mkutano wa 26 wa Umoja wa Mataifa utakaojadili athari za Mabadiliko ya Tabianchi (COP 26)

Anatarajiwa kuhutubia siku ya pili ya Mkutano huo (Novemba 02, 2021) na pia atakutana kuzungumza na baadhi Wakuu wa Nchi, Wakuu wa Mashirika ya Kimataifa, Wakuu wa Taasisi mbalimbali na Wafanyabiashara wakubwa

View attachment 1990991
Anaenda kukutana kigogo aka mlawa
Eti kitengo 2014 ndo wamemshauri

Mama yuko desperate,

Sukuma gang mnaenda kuumizwa tena
 
Back
Top Bottom