pengo kama pengo kwa ajili ya teuzi...Pengo la nini?
pengo kama pengo kwa ajili ya teuzi...Pengo la nini?
Kachukue basi hizo hela zenu huko serikalini mkanunue mnavyohitaji si hela zenu bwana.ACHENI USE.NGE HIZO HELA NI ZA SAMIA AU KODI ZA WANANCHI?
AKILI ZENU ZIPO MAKALI.ONI.
Akazichukue hizo hela sasa akamalize matatizo yake na ya jirani zakeYeye ndio Mhazini Mkuu,
Niyeye mwenye kauli ya mwisho na ni yeye mtamuhoji 2025
Sawa ataisaidia sn familia akoRiz ndio Rais ajae ata kama humpendi,
Utakuwa mgonjwa wewe, akivipokea ana record wapi?Mbunge akiwepo kwenye mapokezi kuna shida gani? Au hivyo vifaa havitafanya kazi? Wapinzan akili zenu hazina akili..kila kitu mnakosoa tu....very childish
Nawasalimu kwa Jina la JMT,
Hatimaye Rais Samia Suluhu Hassan ametimiza ahadi yake kwa kupeleka Vifaa tiba Hospitali ya Wilaya ya Chalinze vyenye thamani ya Shilingi Milioni 480 ikiwemo mashine ya Kupiga picha za Mionzi yaani X-Ray, Jokofu la kuhifadhia maiti, mashine za kupimia damu na vifaa mbalimbali.
Mhe Ridhiwani Kikwete mbunge wa Jimbo la Chalinze ameishukuru serikali na Rais kwa kutekeleza ahadi hii ndani ya muda wa wiki tatu toka kutolewa kwa ahadi hiyo,
Wananchi wa Kata hiyo wakiongozwa na wakina mama ambao walikuwa wakipokea vifaa hivyo wameshangilia huku wazee wakimuombea Mungu amlinde Rais wa Nchi yetu mama Samia Suluhu Hassan,
Ridhiwani Kikwete ni miongoni mwavijana very humble down the earth mwenye bashasha na furaha kwa Watanzaia wote wakati wote iwe anakujua au hakujui hakika ni mtu mzuri sana|Hongera wanachalinze,
Je? Tutarajie siku moja kijana huyu kukamilisha msemo wa kiingereza unaosema " Like father like Son "?
#Kazi iendelee
View attachment 1959269
View attachment 1959270
View attachment 1959273
View attachment 1959274
Hatari snNdio Tanzania yetu ssa tukitaka katiba mpyaaa mnatuita magaidi sawa ngoja twende tutafika tu kwenye sauti ya mziki unapotokea
Huyu pembeni ya mbunge ni Mkurugenzi au wewe unasemaje?Utakuwa mgonjwa wewe, akivipokea ana record wapi?
Na bado kuna unaibu utamuhusu kwa hisani ya mzee wa Msog
JK = RWK = SSHKwani hana sifa?
Sio mbunge -HAPANA
Hana elimu -HAPANA
Sio Matanzania -HAPANA
Kwanini asipewe huo uwaziri? |Tena wamemchelewesha sana,
#KAZI IENDELEE KWA KASI &WELEDI ZAIDI
Kwanini akabidhiwe mbunge badala ya DED sasa?Huyu pembeni ya mbunge ni Mkurugenzi au wewe unasemaje?
#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
Kwanini akabidhiwe mbunge badala ya DED sasa?
Sawa BashiteMbunge wako na DED hapo pembeni mkuu,
Kachukue basi hizo hela zenu huko serikalini mkanunue mnavyohitaji si hela zenu bwana.
Mijitu mingine
Viva Samia VivaClick to expand...
DED pia yupo MkuuKwanini vifaa visipokelewe na DED? mambo ya hovyo sn
Comment of the dayHongera sana Rais Samia,
Hongera sana Mbunge Ridhiwani Kikwete
Mbona mnamgwaya sana RIZ 1?Mleta mada ni chawa wa ridhiwani.inasikitisha sana
Ndiyo alipaswa akabidhiwe mkuuDED pia yupo Mkuu
Ndio kakabidhiwa hivyo mkuu,Ndiyo alipaswa akabidhiwe mkuu