Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 17,056
- 18,404
Yeye Samia Bado makamu wa rais, wakati huu rais Ni Mzee wa msogaSamia ni mtumbuaji tu wa pesa. Hivyo vifaa vimenunuliwa na pesa za wananchi na sio za samia
Yeye Samia Bado makamu wa rais, wakati huu rais Ni Mzee wa msogaSamia ni mtumbuaji tu wa pesa. Hivyo vifaa vimenunuliwa na pesa za wananchi na sio za samia
Zita mpa FAIDA SOON TUHizi promo si bure
Sijapenda ulivyomalizia unataka sisi tumalizie tuonekane wachonganishi, malizia like faza, like maza, like son.Nawasalimu kwa Jina la JMT,
Hatimaye Rais Samia Suluhu Hassan ametimiza ahadi yake kwa kupeleka Vifaa tiba Hospitali ya Wilaya ya Chalinze vyenye thamani ya Shilingi Milioni 480 ikiwemo mashine ya Kupiga picha za Mionzi yaani X-Ray, Jokofu la kuhifadhia maiti, mashine za kupimia damu na vifaa mbalimbali.
Mhe Ridhiwani Kikwete mbunge wa Jimbo la Chalinze ameishukuru serikali na Rais kwa kutekeleza ahadi hii ndani ya muda wa wiki tatu toka kutolewa kwa ahadi hiyo,
Wananchi wa Kata hiyo wakiongozwa na wakina mama ambao walikuwa wakipokea vifaa hivyo wameshangilia huku wazee wakimuombea Mungu amlinde Rais wa Nchi yetu mama Samia Suluhu Hassan,
Ridhiwani Kikwete ni miongoni mwavijana very humble down the earth mwenye bashasha na furaha kwa Watanzaia wote wakati wote iwe anakujua au hakujui hakika ni mtu mzuri sana|Hongera wanachalinze,
Je? Tutarajie siku moja kijana huyu kukamilisha msemo wa kiingereza unaosema " Like father like Son "?
#Kazi iendelee
View attachment 1959269
View attachment 1959270
View attachment 1959273
View attachment 1959274
Kuna watu wanajitesa na wanateseka kwelikweli!Mkuu kwani wewe ukiumia njia gani?
Kama
X-Ray hutaki
CT scan hutaki,
MRI hutaki,
Duh, kweli kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni, naomba kuheshim hilo. Ila bila haki hio, basi ninge.....Hii dunia hii, yaani watu wanafurahia kuletewa jokofu la kuhifadhia maiti..mh
Unafurahia mashine ya mionzi! Ina maana duniani hakuna teknolojia nyingine ya kuangalia mifupa hadi mionzi!
Nawaonea huruma sana watu wote ambao mmepitia kwenye mashine za CTScan au MRI yaani unachomwa cell zako zote za mwili...au huambiwi unazirudishaje cell hai mpya!!
Mbunge akiwepo kwenye mapokezi kuna shida gani? Au hivyo vifaa havitafanya kazi? Wapinzan akili zenu hazina akili..kila kitu mnakosoa tu....very childishKwanini vifaa visipokelewe na DED? mambo ya hovyo sn
Ahahahahahahaha! Roho mbaya unayo wewe unayeamini hakuna mwingine mwenye uwezo wa kuongoza zaidi ya kakikundi. I tell you, "They'll RIP!" na nchi itaongozwa na wengine na ITAKWENDA!!!Ni Ushamba na roho mbaya tu Mkuu ndio inakupa shida
Huna akili bhabha si ety....maana hizi ulizonazo ni akili za panzi... Montelukast weweHii dunia hii, yaani watu wanafurahia kuletewa jokofu la kuhifadhia maiti..mh
Unafurahia mashine ya mionzi! Ina maana duniani hakuna teknolojia nyingine ya kuangalia mifupa hadi mionzi!
Nawaonea huruma sana watu wote ambao mmepitia kwenye mashine za CTScan au MRI yaani unachomwa cell zako zote za mwili...au huambiwi unazirudishaje cell hai mpya!!
Hii comment sio mkuu,Ahahahahahahaha! Roho mbaya unayo wewe unayeamini hakuna mwingine mwenye uwezo wa kuongoza zaidi ya kakikundi. I tell you, "They'll RIP!" na nchi itaongozwa na wengine na ITAKWENDA!!!
Samia amkumbuka Ridhiwani Kikwete, naona kama inarudi ile hali ya ukitaka kitu fulani muone Ridhiwani. Watu na bahati zao juu ya hii dunia.
Riz ndio Rais ajae ata kama humpendi,Ana maovu mengi sn hivyo anajificha kwenye kusifia maisha yaende
Pengo la nini?Nasikia kuna pengo limetokea mahala fulani linatakiwa kuzibwa....