Hatimaye Rais Samia Suluhu Hassan amkumbuka Ridhiwani Kikwete baada ya kusahaulika kwa kipindi kirefu

Jabali la Siasa

JF-Expert Member
Jul 10, 2020
2,542
2,171

Rais Samia Suluhu Hassan hatimaye amkumbuka Ridhiwani Kikwete, hii ikiwa ni baada ya kusahaulika kwa kipindi kirefu | Viva Tanzania Viva​

" Hakuna kama Samia "​


Hatimaye Rais Samia Suluhu Hassan ametimiza ahadi yake kwa kupeleka Vifaa tiba Hospitali ya Wilaya ya Chalinze vyenye thamani ya Shilingi Milioni 480 ikiwemo mashine ya Kupiga picha za Mionzi yaani X-Ray, Jokofu la kuhifadhia maiti, mashine za kupimia damu na vifaa mbalimbali.

Mhe Ridhiwani Kikwete mbunge wa Jimbo la Chalinze ameishukuru serikali na Rais kwa kutekeleza ahadi hii ndani ya muda wa wiki tatu toka kutolewa kwa ahadi hiyo,

Wananchi wa Kata hiyo wakiongozwa na wakina mama ambao walikuwa wakipokea vifaa hivyo wameshangilia huku wazee wakimuombea Mungu amlinde Rais wa Nchi yetu mama Samia Suluhu Hassan,

Ridhiwani Kikwete ni miongoni mwavijana very humble down the earth mwenye bashasha na furaha kwa Watanzaia wote wakati wote iwe anakujua au hakujui hakika ni mtu mzuri sana|Hongera wanachalinze,

Je? Tutarajie siku moja kijana huyu kukamilisha msemo wa kiingereza unaosema " Like father like Son "?


#Kazi iendelee

IMG-20211001-WA0011.jpg


IMG-20211001-WA0014.jpg


IMG-20211001-WA0012.jpg


IMG-20211001-WA0010.jpg
 
Tuna nchi inawatu wa ajabu sn hii
Huwa namuona huyu junior kikwete Kwa sura mbili kubwa.
1) kwa habari ya utu wema na ubinadamu he is fine and he is surely down to earth. Hapa ndo nathibitisha like a father like a son.

2)Tatizo lake ni kukosa siasa zenye mantic na uzalendo kama ninavyoona kwa wengi ndani ya CCM. Sasa huwa sielewi wakati mwingi, au ndo political heritage.
 
Nawasalimu kwa Jina la JMT,


Hatimaye Rais Samia Suluhu Hassan ametimiza ahadi yake kwa kupeleka Vifaa tiba Hospitali ya Wilaya ya Chalinze vyenye thamani ya Shilingi Milioni 480 ikiwemo mashine ya Kupiga picha za Mionzi yaani X-Ray, Jokofu la kuhifadhia maiti, mashine za kupimia damu na vifaa mbalimbali.

Mhe Ridhiwani Kikwete mbunge wa Jimbo la Chalinze ameishukuru serikali na Rais kwa kutekeleza ahadi hii ndani ya muda wa wiki tatu toka kutolewa kwa ahadi hiyo,

Wananchi wa Kata hiyo wakiongozwa na wakina mama ambao walikuwa wakipokea vifaa hivyo wameshangilia huku wazee wakimuombea Mungu amlinde Rais wa Nchi yetu mama Samia Suluhu Hassan,

Ridhiwani Kikwete ni miongoni mwavijana very humble down the earth mwenye bashasha na furaha kwa Watanzaia wote wakati wote iwe anakujua au hakujui hakika ni mtu mzuri sana|Hongera wanachalinze,

Je? Tutarajie siku moja kijana huyu kukamilisha msemo wa kiingereza unaosema " Like father like Son "?


#Kazi iendelee

View attachment 1959269

View attachment 1959270

View attachment 1959273

View attachment 1959274
Hongera sana Rais Samia,

Hongera sana Mbunge Ridhiwani Kikwete
 
Huwa namuona huyu junior kikwete Kwa sura mbili kubwa.
1) kwa habari ya utu wema na ubinadamu he is fine and he is surely down to earth. Hapa ndo nathibitisha like a father like a son.

2)Tatizo lake ni kukosa siasa zenye mantic na uzalendo kama ninavyoona kwa wengi ndani ya CCM. Sasa huwa sielewi wakati mwingi, au ndo political heritage.
Very true

Ila jamaa hapendi misifa kama tunaowafahamu
 
Hii dunia hii, yaani watu wanafurahia kuletewa jokofu la kuhifadhia maiti..mh
Unafurahia mashine ya mionzi! Ina maana duniani hakuna teknolojia nyingine ya kuangalia mifupa hadi mionzi!
Nawaonea huruma sana watu wote ambao mmepitia kwenye mashine za CTScan au MRI yaani unachomwa cell zako zote za mwili...au huambiwi unazirudishaje cell hai mpya!!
 
Huwa namuona huyu junior kikwete Kwa sura mbili kubwa.
1) kwa habari ya utu wema na ubinadamu he is fine and he is surely down to earth. Hapa ndo nathibitisha like a father like a son.

2)Tatizo lake ni kukosa siasa zenye mantic na uzalendo kama ninavyoona kwa wengi ndani ya CCM. Sasa huwa sielewi wakati mwingi, au ndo political heritage.
Ana maovu mengi sn hivyo anajificha kwenye kusifia maisha yaende
 
Back
Top Bottom