Rais Samia Suluhu Hassan akutana na kufanya mazungumzo na Rais Mstaafu Ally Hassan Mwinyi

Laiti ungejua hizi kesi zote zilikuwa zinatolewa maelekezo kwake na yeye anayatupa kwa watendaji basi usingemsifia kabisa Prof. Juma.

Ameharibu Judiciary vibaya mno, yaani mahakama inatoa maamuzi ya kisiasa kabisa na haikaripii kabisa utungwaji wa Sheria kandamizi. Watu wanakosa dhamana mahakamani kisa kukomoana tu, kosa la jinai ya kwenye penal code linageuka kuwa kosa la uhujumu uchumi, ukiuliza unaambiwa wacha aozee jela maana State Attorney wakiweka kosa la kwenye penal code anaonekana hafai.

Judge anapoona kuna sheria zinamlazimisha kutoa hukumu ambayo sio ya haki huwa anatoa hukumu lakini katika maoni yake binafsi (obiter dictum) huwa anashauri nini kifanyike, Ila hivi karibuni tumeona majaji waliojitoa akili kukazia hili ni wachache sana.

Magereza imejaa watu wamekosa dhamana kisa makosa ya kukomoana, mtu amekosa kulipa tax returns inageuka kesi ya uhujumu uchumi na anakosa bail sasa hiyo hela ya kulipa ataitoa wapi???? Na bail ni haki ya kikatiba kabisa imeorodheshwa kabisa kwenye bill of rights.

So hata Jaji Mkuu amezingua sana sema sababu hawezi kutimuliwa mpaka afikishe 65 au akiomba kupumzika na akikubaliwa na Rais.
Hamna Mtanzania asiye taka kumuunga mkono Mh Rais, tatizo ni pale anaposhindwa kujipambanunua kuwa alikuwa msaidizi namba moja wa mwendazake. Wakati mwendazake ana chakufuliwa kakaa kimya kama hayuko na hasikii au anafurahia kimoyomoyo?! Ukweli ni kuwa Magufuli hawezi kuchafuliwa na walio tumikia naye wakafikiri watabaki salama. Spika anaona atabaki salama kwa kusema mwendazake alishauriwa vibaya ana sahau anayo skandali ya mabilioni ya matibabu ambayo ilikuwa ina hang somewhere ni suala la muda tu. Wakimaliza hii biashara yao kichaa ya kumpaka oil chafu mwendazake watamgeukia hili halihitaji akili kubwa kulijua. Alishauriwa na nani zaidi ya nyie mlio kuwa mnamzunguka na kufanyakazi pamoja naye?

Mbona Judge Mkuu hatumsikii akiendekeza haya mambo ya kusikitisha na kutaharisha yanayo endelea kwa sasa hapa Tanzania. Huyu amekuwa kiongozi mweledi siku zote. Hotuba aliyoitoa siku ya maziko pale Chato ni kielelezo tosha cha kiongozi mwenye hekima.

Wazee wamshauri huyu ahamie mhimili wa Excutive ifikapo 2025 atawafaa sana Watanzania/Tanganyika.
 
Mwinyi amempotezea muda wake Rais Samia kwani Mzee sidhani kama ana uwezo wa kudadavua siasa za leo nchini! Sana sana Mama anafurahia porojo!
Hajampotezea, kuna wakati binadamu anatamani furaha, Mwinyi ni kisima cha burudqni
 
Huyu mzee atafikisha miaka 100 na ushee bila shaka! Bado anaonekana ana nguvu za kutosha tu! Anatakiwa atuwekee diet yake ya kila siku ikibidi ili na sisi tumuenzi kwa vitendo!

Na katika hili, naomba wanaume wote wa Dar mniunge mkono.
Ongeza mke tu
 
Hamna Mtanzania asiye taka kumuunga mkono Mh Rais, tatizo ni pale anaposhindwa kujipambanunua kuwa alikuwa msaidizi namba moja wa mwendazake. Wakati mwendazake ana chakufuliwa kakaa kimya kama hayuko na hasikii au anafurahia kimoyomoyo?! Ukweli ni kuwa Magufuli hawezi kuchafuliwa na walio tumikia naye wakafikiri watabaki salama. Spika anaona atabaki salama kwa kusema mwendazake alishauriwa vibaya ana sahau anayo skandali ya mabilioni ya matibabu ambayo ilikuwa ina hang somewhere ni suala la muda tu. Wakimaliza hii biashara yao kichaa ya kumpaka oil chafu mwendazake watamgeukia hili halihitaji akili kubwa kulijua. Alishauriwa na nani zaidi ya nyie mlio kuwa mnamzunguka na kufanyakazi pamoja naye?

Mbona Judge Mkuu hatumsikii akiendekeza haya mambo ya kusikitisha na kutaharisha yanayo endelea kwa sasa hapa Tanzania. Huyu amekuwa kiongozi mweledi siku zote. Hotuba aliyoitoa siku ya maziko pale Chato ni kielelezo tosha cha kiongozi mwenye hekima.

Wazee wamshauri huyu ahamie mhimili wa Excutive ifikapo 2025 atawafaa sana Watanzania/Tanganyika.
Yaani kwa kweli Ndungai katudhihirishia alivyo mnafiki. Mikataba yote nakala zake ziko ofisini kwake bungeni pamoja na huo wa bandari ya Bagamoyo kati ya serikali ya awamu ya nne na kampuni ya serikali ya China. Katika zoezi la kufuta mikataba mibovu ambayo nchi yetu ilikuwa imeingia na makampuni mbali mbali ya kimataifa yeye Ndungai alikuwa kati ya washauri wakuu wa serikali ya awamu hiyo ya tano. Leo anasema rais wa awamu ya tano walimshauri visivyo/ vibaya kufuta mkataba huo wa bandari ya Bagamoyo. Auweke basi wazi mkataba huo watanzania wausome na kama ni kweli walimshauri vibaya basi hao waliohusika kumshauri wawajibishwe. Mbona huyu Ndungai hasemi kuwa na hilo la makao makuu kuhamia Dodoma walimshauri vibaya. Kisa cha aliyekuwa CAG, Prof Asad kutimuliwa kila mtu anajua mbaya wake alikuwa Ndungai. Mbona hasemi kuwa alimshauri vibaya rais kumtimua Prof Asad kwenye nafasi hiyo? Hata kutimuliwa kwa Makonda ukuu wa mkoa kila mtu anajua Ndungai alihusika sana, na kadhalika.

Halafu hivyo viapo wanavyoapa wanapopewa madaraka hayo ya kutunza siri za nchi wanapokuwa madarakani na hata watakapoondoka madarakani, mbona sasa wanazikiuka wazi wazi? Wameanza kuropoka ovyo ovyo hadharani siri za ofisi (Ndungai, Asad, Kichere, Muhongo, Kigwangala nk). Nini adhabu yao kwa mjibu wa sheria zetu?
 
Nimeshangaa sana kakutana na Mzee RUKHSA ambaye si ajabu aliuliza hapa wapi vile!? Akajibiwa Ikulu akasema oooohhhhh! Ikuluuuuuuu niliwahi kuishi hapa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 sasa nimekuja hapa kufanya nini? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Swala la kwanza, Mwinyi anajua alikuwa anaongea na nani 🤔 🤔 🤔
 
Nikitazama picha naona Mzee Mwinyi kama ana kitabu pale kwenye mkono wa kochi nadhani anataka kuzindua kitabu cha nyakati na maisha yake.

Nadhani ndio kaenda kum brief Mhe Rais Samia.

Tufanye subra Muda utaongea zaidi.
 
Back
Top Bottom