Bondpost
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 6,594
- 9,338
Laiti ungejua hizi kesi zote zilikuwa zinatolewa maelekezo kwake na yeye anayatupa kwa watendaji basi usingemsifia kabisa Prof. Juma.
Ameharibu Judiciary vibaya mno, yaani mahakama inatoa maamuzi ya kisiasa kabisa na haikaripii kabisa utungwaji wa Sheria kandamizi. Watu wanakosa dhamana mahakamani kisa kukomoana tu, kosa la jinai ya kwenye penal code linageuka kuwa kosa la uhujumu uchumi, ukiuliza unaambiwa wacha aozee jela maana State Attorney wakiweka kosa la kwenye penal code anaonekana hafai.
Judge anapoona kuna sheria zinamlazimisha kutoa hukumu ambayo sio ya haki huwa anatoa hukumu lakini katika maoni yake binafsi (obiter dictum) huwa anashauri nini kifanyike, Ila hivi karibuni tumeona majaji waliojitoa akili kukazia hili ni wachache sana.
Magereza imejaa watu wamekosa dhamana kisa makosa ya kukomoana, mtu amekosa kulipa tax returns inageuka kesi ya uhujumu uchumi na anakosa bail sasa hiyo hela ya kulipa ataitoa wapi???? Na bail ni haki ya kikatiba kabisa imeorodheshwa kabisa kwenye bill of rights.
So hata Jaji Mkuu amezingua sana sema sababu hawezi kutimuliwa mpaka afikishe 65 au akiomba kupumzika na akikubaliwa na Rais.
Ameharibu Judiciary vibaya mno, yaani mahakama inatoa maamuzi ya kisiasa kabisa na haikaripii kabisa utungwaji wa Sheria kandamizi. Watu wanakosa dhamana mahakamani kisa kukomoana tu, kosa la jinai ya kwenye penal code linageuka kuwa kosa la uhujumu uchumi, ukiuliza unaambiwa wacha aozee jela maana State Attorney wakiweka kosa la kwenye penal code anaonekana hafai.
Judge anapoona kuna sheria zinamlazimisha kutoa hukumu ambayo sio ya haki huwa anatoa hukumu lakini katika maoni yake binafsi (obiter dictum) huwa anashauri nini kifanyike, Ila hivi karibuni tumeona majaji waliojitoa akili kukazia hili ni wachache sana.
Magereza imejaa watu wamekosa dhamana kisa makosa ya kukomoana, mtu amekosa kulipa tax returns inageuka kesi ya uhujumu uchumi na anakosa bail sasa hiyo hela ya kulipa ataitoa wapi???? Na bail ni haki ya kikatiba kabisa imeorodheshwa kabisa kwenye bill of rights.
So hata Jaji Mkuu amezingua sana sema sababu hawezi kutimuliwa mpaka afikishe 65 au akiomba kupumzika na akikubaliwa na Rais.
Hamna Mtanzania asiye taka kumuunga mkono Mh Rais, tatizo ni pale anaposhindwa kujipambanunua kuwa alikuwa msaidizi namba moja wa mwendazake. Wakati mwendazake ana chakufuliwa kakaa kimya kama hayuko na hasikii au anafurahia kimoyomoyo?! Ukweli ni kuwa Magufuli hawezi kuchafuliwa na walio tumikia naye wakafikiri watabaki salama. Spika anaona atabaki salama kwa kusema mwendazake alishauriwa vibaya ana sahau anayo skandali ya mabilioni ya matibabu ambayo ilikuwa ina hang somewhere ni suala la muda tu. Wakimaliza hii biashara yao kichaa ya kumpaka oil chafu mwendazake watamgeukia hili halihitaji akili kubwa kulijua. Alishauriwa na nani zaidi ya nyie mlio kuwa mnamzunguka na kufanyakazi pamoja naye?
Mbona Judge Mkuu hatumsikii akiendekeza haya mambo ya kusikitisha na kutaharisha yanayo endelea kwa sasa hapa Tanzania. Huyu amekuwa kiongozi mweledi siku zote. Hotuba aliyoitoa siku ya maziko pale Chato ni kielelezo tosha cha kiongozi mwenye hekima.
Wazee wamshauri huyu ahamie mhimili wa Excutive ifikapo 2025 atawafaa sana Watanzania/Tanganyika.