SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,760
Huyu ndiye anatuambia yeye na JPM walikuwa kitu kimoja?
Wanabahati kuteuliwa na Mama akiwa Marekani. Maana kuna watu wanaona Marekani ni mbinguniRais Samia Suluhu Hassan amemteua Yona Killagane kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Ukaguzi na Usimamizi wa Vyama vya Ushirika (COASCO)
Pia, amemteua Mathew Modest Kirama kuwa Katibu wa Tume ya Utumishi wa Umma (PSC) akichukua nafasi ya Nyakimura Muhoji ambaye amestaafu
Zaidi soma:
View attachment 1946204
haya ni maamuzi ya kile kikundi alichosema Polepole.Sio kweli
SSH yupo Ulaya huko
Anasingiziwa
SawaUngekuwa na akili hata za kuvukia barabara ungeelewa.
alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa TPDC kwa miaka mingi mpaka alipostaafu