Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 13,227
- 26,047
- Thread starter
- #21
Asante sana Ndugu technically . Na huu ndo uzalendo sasa. Tu mshauri Mama yetu vizuri Kwa sababu akifanikiwa, imefanikiwa Tanzania. Tujitofautishe na Mataga ambao wao kazi yao ilikuwa ni kusifia ili wapate vyeo.
Nchi inahitaji watu kama wewe ambao wanaweza kushauri kwa kusisitiza nini kifanyike.
Nimependa kuona jambo hili kwako sio kama wale watu walioanza kumkatisha Mama tamaa kabla hata ajamaliza miezi 3 madarakani.
Naomba tuishauri serikali tumpe moyo mama sio kumkatisha tamaa wakati bado hatujaona matokeo ya kazi yake.