kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 11,716
- 13,181
Malawi marekaniSijui umri ndio tatizo?
Malawi marekaniSijui umri ndio tatizo?
Mapenzi upofu!!Cha ajabu nini??
Siyo kweli. Alichosema Rais leo ni kuifanya JKCI iwe ya Kimataifa katika matibabu ya kibingwa. Na amefurahi kusikia hiyo orodha ya Mataifa raia wao kutibiwa nchini.
Mwacheni Mwendazake apumzike jamani...mtamuua tena kwa presha huko alipoYaleyale Kuwait kwa Saddam 😂
Ila heli yetu tuna huyu mama nchi imepunzika mauaji. Mwendawazimu alikua anaua kila uchao.
Kujidharau.Cha ajabu nini??
Tulia weweeKujidharau.
Cha ajabu nini??
Inaweza kuwa umri au dish limetilt kabisa 😂😂Sijui umri ndio tatizo?
Hii ni baada ya mazungumzo na Rais wa Botswana. Zambia's Kaunda was part of the Mulungushi Club and so that country was not assisted in its liberation by Botswana and Tanzania.
Wamarekani kuja kutibiwa hapo, kama kuna la ajabu ni hilo nililoliona mimi!Cha ajabu nini??
Hii ni tweet ya Mwananchi:
“Miongoni mwa wanaotibiwa hapa wanatoka nchi jirani kama Burundi, Ethiopia, Malawi Marekani, Misri, Rwanda, Uganda na Ugiriki hii ni hatua nzuri kuelekea azma yetu ya kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha utoaji huduma za kibingwa na ubingwa bobezi Afrika ,” - Rais @SuluhuSamia.
Marekani na ugiriki zimechomekwa na mwandishi huko tweeter, kwenye taarifa ya habari sikuzisikia akizitaja. Otherwise wekeni video yake.Sijui umri ndio tatizo?
Zambia gained independence ahead of Botswana (1964 for Zambia and 1966 for Botswana). Kwa hivyo si sahihi kusema Botswana ilishirikiana na Tanzania kuikomboa Zambia. Rais alikosea, alitakiwa kusema Zimbabwe badala ya Zambia. Au unadhani kasahau tu kuitaja Zimbabwe?Sir. Seretse Khama , Kenneth Kaunda and Mwalimu Nyerere were very close political associates, hence it is not far fetched to say they did somehow play a role in pursuit of the independence of Zambia!
Usivute bangi chooni jitahidi uwe kwenye uwazi!Mizimu ya awamu ya tano ikisikia imekumbukwa au imetajwa na mama mbiombio kuja kuanzisha uzi
Nyie mshasahaulika sawa na mavi ya kale
Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Dooh..Do alimuua nano ndugu4
Kwa nini?Tulia wewee