Rais Samia Suluhu aweka rekodi ya kudumu Mikoa ya Kigoma na Katavi

Kwa upande wa umeme Bora tubaki na magenerator tu maana haukatiki kabisa kama navoona watu wakilalamika
 
Kwa upande wa umeme Bora tubaki na magenerator tu maana haukatiki kabisa kama navoona watu wakilalamika
Daaah, Ukikata mtawasha genereta zenu ili Kaziiendelee, Ila Rais Samia anataka Viwanda Kigoma
 
Mkuu hakukua na haja ya kunitukana ungenielewesha tu ila shukrani sana
Nilihamaki kwakuwa mm niwakigoma vijana wengi tunahitaji umeme kwa viwanda wazee wetu wamelima sisi tumepokea kilimo hali mbaya sasa tunahitaji umeme tupate viwanda huenda tukabadilika tunambuga nzuri mahale na gombe lakini hazileti watalii wengi kwakuwa watalii hawafati wanyama tu huangalia fursa pia umeme muhimu sana kama mvua inavyo itajika masika samahani pia nipokukwaza
 
Wakati Taifa likielekea kupokea Jumla ya Mega Watt 2,115 kutoka kwenye bwawa la JNHPP kwenda kwenye gridi ya Taifa ya Umeme Kigoma na Katavi bado walikuwa wanaongelea habari za umeme wa sola na majenereta,

Watu Wakigoma na Katavi ilikuwa ni hadithi ngeni kuwaambia watapokea mwekezaji yoyote toka nje au ndani wa kuanzisha kiwanda kwani Duniani kote sina hakika kama kuna kiwanda kinaweza kuendeshwa kwa Umeme wa Genereta au sola kwa ufanisi,

Wakati flani watu wa Kigoma na Katavi walipata mashaka kama na wao ni wana wa Tanzania kwani kwa kukosa kwao umeme wa gridi miaka 60 ya Uhuru kuliwatoa imani kwamba na wao ni Watanzania kama wenzao hoja ambayo leo Rais Samia anaijibu kwa vitendo,

Kwa mujibu wa meneja mkuu wa Shirika tanzu la TANESCO yaani Electrical Transmission and Distribution Construction Service Provider (ETDCO), Maclean Mbonile tayari Rais Samia anatekeleza mradi wa kupeleka umeme Kigoma na Katavi wenye Jumla ya Kilometa 776.

Umeme huu utatoka Tabora kwenda Mpanda na Tabora kwenda Kigoma kwa kilometa 383 na 393 kilometa kila moja kwa thamani ya TZS 15.9BL.

Mtakumbuka mradi huu ni miongoni mwamiradi 15 ya Mama Samia inayogharimu Jumla ya TZS151.48BL zilizokwisha kutolewa,

#Kigoma & Katavi hamkupata Umeme wa gridi tangu Uhuru,Kwani leo mnasemaje kuhusu Rais Samia ?

View attachment 2025434
Mama piga kazi tuko na wewe,
 
Wakati Taifa likielekea kupokea Jumla ya Mega Watt 2,115 kutoka kwenye bwawa la JNHPP kwenda kwenye gridi ya Taifa ya Umeme Kigoma na Katavi bado walikuwa wanaongelea habari za umeme wa sola na majenereta,

Watu Wakigoma na Katavi ilikuwa ni hadithi ngeni kuwaambia watapokea mwekezaji yoyote toka nje au ndani wa kuanzisha kiwanda kwani Duniani kote sina hakika kama kuna kiwanda kinaweza kuendeshwa kwa Umeme wa Genereta au sola kwa ufanisi,

Wakati flani watu wa Kigoma na Katavi walipata mashaka kama na wao ni wana wa Tanzania kwani kwa kukosa kwao umeme wa gridi miaka 60 ya Uhuru kuliwatoa imani kwamba na wao ni Watanzania kama wenzao hoja ambayo leo Rais Samia anaijibu kwa vitendo,

Kwa mujibu wa meneja mkuu wa Shirika tanzu la TANESCO yaani Electrical Transmission and Distribution Construction Service Provider (ETDCO), Maclean Mbonile tayari Rais Samia anatekeleza mradi wa kupeleka umeme Kigoma na Katavi wenye Jumla ya Kilometa 776.

Umeme huu utatoka Tabora kwenda Mpanda na Tabora kwenda Kigoma kwa kilometa 383 na 393 kilometa kila moja kwa thamani ya TZS 15.9BL.

Mtakumbuka mradi huu ni miongoni mwamiradi 15 ya Mama Samia inayogharimu Jumla ya TZS151.48BL zilizokwisha kutolewa,

#Kigoma & Katavi hamkupata Umeme wa gridi tangu Uhuru,Kwani leo mnasemaje kuhusu Rais Samia ?

View attachment 2025434
Mama anafanya maajabu kila kukicha
 
Tanzania na Samia,

1.Uchumi Juu,

2. Uwekezaji juu

3. Diplomasia juu

4. Amani & Upendo juu

5. Maendeleo juu

6. Demokrasia juu
 
Wakati Taifa likielekea kupokea Jumla ya Mega Watt 2,115 kutoka kwenye bwawa la JNHPP kwenda kwenye gridi ya Taifa ya Umeme Kigoma na Katavi bado walikuwa wanaongelea habari za umeme wa sola na majenereta,

Watu Wakigoma na Katavi ilikuwa ni hadithi ngeni kuwaambia watapokea mwekezaji yoyote toka nje au ndani wa kuanzisha kiwanda kwani Duniani kote sina hakika kama kuna kiwanda kinaweza kuendeshwa kwa Umeme wa Genereta au sola kwa ufanisi,

Wakati flani watu wa Kigoma na Katavi walipata mashaka kama na wao ni wana wa Tanzania kwani kwa kukosa kwao umeme wa gridi miaka 60 ya Uhuru kuliwatoa imani kwamba na wao ni Watanzania kama wenzao hoja ambayo leo Rais Samia anaijibu kwa vitendo,

Kwa mujibu wa meneja mkuu wa Shirika tanzu la TANESCO yaani Electrical Transmission and Distribution Construction Service Provider (ETDCO), Maclean Mbonile tayari Rais Samia anatekeleza mradi wa kupeleka umeme Kigoma na Katavi wenye Jumla ya Kilometa 776.

Umeme huu utatoka Tabora kwenda Mpanda na Tabora kwenda Kigoma kwa kilometa 383 na 393 kilometa kila moja kwa thamani ya TZS 15.9BL.

Mtakumbuka mradi huu ni miongoni mwamiradi 15 ya Mama Samia inayogharimu Jumla ya TZS151.48BL zilizokwisha kutolewa,

#Kigoma & Katavi hamkupata Umeme wa gridi tangu Uhuru,Kwani leo mnasemaje kuhusu Rais Samia ?

View attachment 2025434
Mama anafanya makubwa
 

Kigoma and Katavi to get national grid electricity in 2022​



Tanesco pic

A Tanzania Electric Supply Company (Tanesco) technician at work. Tanesco director general Maharage Chande has blamed frequent power cuts on maintenance of the power supply infrastructure. PHOTO | FILE


Dar es Salaam. Kigoma and Katavi regions are set to be connected to national grid electricity by the end of 2022.

The acting general manager of the Electrical Transmission and Distribution Construction Service Provider (ETDCO), Maclean Mbonile told journalists on Friday that among the projects they have in hand is to build electricity transmission of 776 kilometers to the two regions in Western Tanzania.

“Transmission is from Tabora to Mpanda and Tabora to Kigoma with 383 kilometers and 393 kilometers respectively. The total value of these projects is Sh15.9 billion,” he said.

According to him, two projects are among 15 projects of power transmission and distribution worth Sh151.48 billion in the pipeline.

Mr Mbonile who addressed the press to mark 60th independence anniversary for Tanzania, said the subsidiary company of the Tanzania Electric Supply Company Limited (TANESCO) has completed a total of 74 projects of power transmission and distribution worth Sh150.03 billion since its establishment in 2017.

“We facilitated the construction of two ways power project to the Mwalimu Nyerere Hydroelectric Power dam in Rufiji which were 254 kilometers from Gongo la Mboto, Dar es Salaam and 54 kilometers from Morogoro worth Sh17.8 billion,” he said

The Manager further mentioned a 105 kilometer power transmission from Geita to Biharamulo under Stamigold which is worth Sh6.4 billion.

Since its establishment to June 30, 2021 the company has made a profit of Sh9.6 billion.

“Making profit and to be an independent business oriented company were among the reasons why the company was also made to compete inside and outside the country in power transmission and distribution” he explained.
Nzuri Sana hii
 
Back
Top Bottom