Nilihamaki kwakuwa mm niwakigoma vijana wengi tunahitaji umeme kwa viwanda wazee wetu wamelima sisi tumepokea kilimo hali mbaya sasa tunahitaji umeme tupate viwanda huenda tukabadilika tunambuga nzuri mahale na gombe lakini hazileti watalii wengi kwakuwa watalii hawafati wanyama tu huangalia fursa pia umeme muhimu sana kama mvua inavyo itajika masika samahani pia nipokukwazaMkuu hakukua na haja ya kunitukana ungenielewesha tu ila shukrani sana
khaaaKwa upande wa umeme Bora tubaki na magenerator tu maana haukatiki kabisa kama navoona watu wakilalamika
Mama anafanya kazi nzuri sana ever seenItependeza sana...
SureTangu nijiunge jf sijawahi kujutana na swali rahisi lkn lenye akili km hili.
Smart911Itependeza sana...
Kaziiendelee#KIGOMA & KATAVI MNAONAJE TUMJENGEE RAIS WETU MNARA?
Kaziiendelee#KIGOMA & KATAVI MNAONAJE TUMJENGEE RAIS WETU MNARA?
Mama piga kazi tuko na wewe,Wakati Taifa likielekea kupokea Jumla ya Mega Watt 2,115 kutoka kwenye bwawa la JNHPP kwenda kwenye gridi ya Taifa ya Umeme Kigoma na Katavi bado walikuwa wanaongelea habari za umeme wa sola na majenereta,
Watu Wakigoma na Katavi ilikuwa ni hadithi ngeni kuwaambia watapokea mwekezaji yoyote toka nje au ndani wa kuanzisha kiwanda kwani Duniani kote sina hakika kama kuna kiwanda kinaweza kuendeshwa kwa Umeme wa Genereta au sola kwa ufanisi,
Wakati flani watu wa Kigoma na Katavi walipata mashaka kama na wao ni wana wa Tanzania kwani kwa kukosa kwao umeme wa gridi miaka 60 ya Uhuru kuliwatoa imani kwamba na wao ni Watanzania kama wenzao hoja ambayo leo Rais Samia anaijibu kwa vitendo,
Kwa mujibu wa meneja mkuu wa Shirika tanzu la TANESCO yaani Electrical Transmission and Distribution Construction Service Provider (ETDCO), Maclean Mbonile tayari Rais Samia anatekeleza mradi wa kupeleka umeme Kigoma na Katavi wenye Jumla ya Kilometa 776.
Umeme huu utatoka Tabora kwenda Mpanda na Tabora kwenda Kigoma kwa kilometa 383 na 393 kilometa kila moja kwa thamani ya TZS 15.9BL.
Mtakumbuka mradi huu ni miongoni mwamiradi 15 ya Mama Samia inayogharimu Jumla ya TZS151.48BL zilizokwisha kutolewa,
#Kigoma & Katavi hamkupata Umeme wa gridi tangu Uhuru,Kwani leo mnasemaje kuhusu Rais Samia ?
View attachment 2025434
Mama anafanya maajabu kila kukichaWakati Taifa likielekea kupokea Jumla ya Mega Watt 2,115 kutoka kwenye bwawa la JNHPP kwenda kwenye gridi ya Taifa ya Umeme Kigoma na Katavi bado walikuwa wanaongelea habari za umeme wa sola na majenereta,
Watu Wakigoma na Katavi ilikuwa ni hadithi ngeni kuwaambia watapokea mwekezaji yoyote toka nje au ndani wa kuanzisha kiwanda kwani Duniani kote sina hakika kama kuna kiwanda kinaweza kuendeshwa kwa Umeme wa Genereta au sola kwa ufanisi,
Wakati flani watu wa Kigoma na Katavi walipata mashaka kama na wao ni wana wa Tanzania kwani kwa kukosa kwao umeme wa gridi miaka 60 ya Uhuru kuliwatoa imani kwamba na wao ni Watanzania kama wenzao hoja ambayo leo Rais Samia anaijibu kwa vitendo,
Kwa mujibu wa meneja mkuu wa Shirika tanzu la TANESCO yaani Electrical Transmission and Distribution Construction Service Provider (ETDCO), Maclean Mbonile tayari Rais Samia anatekeleza mradi wa kupeleka umeme Kigoma na Katavi wenye Jumla ya Kilometa 776.
Umeme huu utatoka Tabora kwenda Mpanda na Tabora kwenda Kigoma kwa kilometa 383 na 393 kilometa kila moja kwa thamani ya TZS 15.9BL.
Mtakumbuka mradi huu ni miongoni mwamiradi 15 ya Mama Samia inayogharimu Jumla ya TZS151.48BL zilizokwisha kutolewa,
#Kigoma & Katavi hamkupata Umeme wa gridi tangu Uhuru,Kwani leo mnasemaje kuhusu Rais Samia ?
View attachment 2025434
Jibu zuri sana aiseMkuu kwani waliomtangulia huu haukuwa wajibu wao?
TrueMama anafanya maajabu kila kukicha
Mungu akusaidieUnasumbuliwa na majnoon wewe
Mama anafanya makubwaWakati Taifa likielekea kupokea Jumla ya Mega Watt 2,115 kutoka kwenye bwawa la JNHPP kwenda kwenye gridi ya Taifa ya Umeme Kigoma na Katavi bado walikuwa wanaongelea habari za umeme wa sola na majenereta,
Watu Wakigoma na Katavi ilikuwa ni hadithi ngeni kuwaambia watapokea mwekezaji yoyote toka nje au ndani wa kuanzisha kiwanda kwani Duniani kote sina hakika kama kuna kiwanda kinaweza kuendeshwa kwa Umeme wa Genereta au sola kwa ufanisi,
Wakati flani watu wa Kigoma na Katavi walipata mashaka kama na wao ni wana wa Tanzania kwani kwa kukosa kwao umeme wa gridi miaka 60 ya Uhuru kuliwatoa imani kwamba na wao ni Watanzania kama wenzao hoja ambayo leo Rais Samia anaijibu kwa vitendo,
Kwa mujibu wa meneja mkuu wa Shirika tanzu la TANESCO yaani Electrical Transmission and Distribution Construction Service Provider (ETDCO), Maclean Mbonile tayari Rais Samia anatekeleza mradi wa kupeleka umeme Kigoma na Katavi wenye Jumla ya Kilometa 776.
Umeme huu utatoka Tabora kwenda Mpanda na Tabora kwenda Kigoma kwa kilometa 383 na 393 kilometa kila moja kwa thamani ya TZS 15.9BL.
Mtakumbuka mradi huu ni miongoni mwamiradi 15 ya Mama Samia inayogharimu Jumla ya TZS151.48BL zilizokwisha kutolewa,
#Kigoma & Katavi hamkupata Umeme wa gridi tangu Uhuru,Kwani leo mnasemaje kuhusu Rais Samia ?
View attachment 2025434
Kulikuwa na Mradi wa Malagarasi nadhani unazungumzia huo,
Huu ni Mradi wa Rais Samia Chief Mwenyewe chief
Nzuri Sana hiiKigoma and Katavi to get national grid electricity in 2022
A Tanzania Electric Supply Company (Tanesco) technician at work. Tanesco director general Maharage Chande has blamed frequent power cuts on maintenance of the power supply infrastructure. PHOTO | FILE
Dar es Salaam. Kigoma and Katavi regions are set to be connected to national grid electricity by the end of 2022.
The acting general manager of the Electrical Transmission and Distribution Construction Service Provider (ETDCO), Maclean Mbonile told journalists on Friday that among the projects they have in hand is to build electricity transmission of 776 kilometers to the two regions in Western Tanzania.
“Transmission is from Tabora to Mpanda and Tabora to Kigoma with 383 kilometers and 393 kilometers respectively. The total value of these projects is Sh15.9 billion,” he said.
According to him, two projects are among 15 projects of power transmission and distribution worth Sh151.48 billion in the pipeline.
Mr Mbonile who addressed the press to mark 60th independence anniversary for Tanzania, said the subsidiary company of the Tanzania Electric Supply Company Limited (TANESCO) has completed a total of 74 projects of power transmission and distribution worth Sh150.03 billion since its establishment in 2017.
“We facilitated the construction of two ways power project to the Mwalimu Nyerere Hydroelectric Power dam in Rufiji which were 254 kilometers from Gongo la Mboto, Dar es Salaam and 54 kilometers from Morogoro worth Sh17.8 billion,” he said
The Manager further mentioned a 105 kilometer power transmission from Geita to Biharamulo under Stamigold which is worth Sh6.4 billion.
Since its establishment to June 30, 2021 the company has made a profit of Sh9.6 billion.
“Making profit and to be an independent business oriented company were among the reasons why the company was also made to compete inside and outside the country in power transmission and distribution” he explained.