Rais Samia Suluhu aweka rekodi ya kudumu Mikoa ya Kigoma na Katavi

Hakika kama mambo yataendelea kuwa hivi Rais Samia Suluhu Hassan atashinda Uchaguzi Huru na Haki wa 2025 kwa zaidi ya 76%
 
Kama mambo ndio haya basi Tanzania kama kuna wakati tumepata Rais bora na wa kweli nadhani ni sasa,Tufanye kazi kwa bidii sana,

Hakika huyu Mama ni Mpango wa Mungu,

#WATANZANIA TUFANYE KAZI KWA BIDII
 
" Kwa mwendo huu Tanzania tutafika tunakotaka kwenda tena kwa kuwahi sana, Hongera Mama Samia, Watanzania tuko nyuma yako We chapa kazi achana na Wasio na jema "
 
Wakati Taifa likielekea kupokea Jumla ya Mega Watt 2,115 kutoka kwenye bwawa la JNHPP kwenda kwenye gridi ya Taifa ya Umeme Kigoma na Katavi bado walikuwa wanaongelea habari za umeme wa sola na majenereta,

Watu Wakigoma na Katavi ilikuwa ni hadithi ngeni kuwaambia watapokea mwekezaji yoyote toka nje au ndani wa kuanzisha kiwanda kwani Duniani kote sina hakika kama kuna kiwanda kinaweza kuendeshwa kwa Umeme wa Genereta au sola kwa ufanisi,

Wakati flani watu wa Kigoma na Katavi walipata mashaka kama na wao ni wana wa Tanzania kwani kwa kukosa kwao umeme wa gridi miaka 60 ya Uhuru kuliwatoa imani kwamba na wao ni Watanzania kama wenzao hoja ambayo leo Rais Samia anaijibu kwa vitendo,

Kwa mujibu wa meneja mkuu wa Shirika tanzu la TANESCO yaani Electrical Transmission and Distribution Construction Service Provider (ETDCO), Maclean Mbonile tayari Rais Samia anatekeleza mradi wa kupeleka umeme Kigoma na Katavi wenye Jumla ya Kilometa 776.

Umeme huu utatoka Tabora kwenda Mpanda na Tabora kwenda Kigoma kwa kilometa 383 na 393 kilometa kila moja kwa thamani ya TZS 15.9BL.

Mtakumbuka mradi huu ni miongoni mwamiradi 15 ya Mama Samia inayogharimu Jumla ya TZS151.48BL zilizokwisha kutolewa,

#Kigoma & Katavi hamkupata Umeme wa gridi tangu Uhuru,Kwani leo mnasemaje kuhusu Rais Samia ?

View attachment 2025434
Kigoma tuko na Mama yetu Sana tu,
 
Hakuna kulala,ni Kazi Kazi 👇

Screenshot_20220119-121624.png
 
Back
Top Bottom