CHIBURABANU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 2,921
- 3,461
Nimempenda mama buree bwasheee.Ni jambo jema!
Nimempenda mama buree bwasheee.Ni jambo jema!
Somebody told me he is still a teenager.Is Polepole young or dwarf?
Inabidi umpende na first gentleman bwashee!Nimempenda mama buree bwasheee.
Bwashee na haya mawingu na hicho cha njombe unachopuliza na ugoro dish lishayumba zamani.Inabidi umpende na first gentleman bwashee!
Samahani Mkuu
Lakni hii ni fikira potofu kwamba Mzee Karume ndio mwanzilishi Taifa la Zanzibar. Katika historia ya ukweli na karibu tu Zanzibar imeanza kukaliwa na binadamu tangu wakati wa Persian Empire. Hassa Bin Ali na watoto wake saba walisafiri katika pwani za Africa Mashariki na walikuwa wakichukuwa maji hapo Zanzibar kwa ajili ya safari zao. Ndio wakafanya vituo na hatimae makaazi ya mapumziko na mji ukaanza kidogo kidogo na ndio maana Mzanzibari asilia anaitwa Mshirazi. Hassan Bin Ali alikuwa anatokea katika mji mkuu wa Iran sikuzile uitwao Shiraz.
Hilo ni kwa mujibu wa akili na upeo wa wana ccm wa Lumumba na Kisiwandui. Kwa wao Zanzibar Ilianzishwa na Karume, Na Tanganyika ilianzishwa na Nyerere.
What a stupid argument, you don’t start a business by making losses in anticipation it will recover. Transport business is a very complex issue it’s better to be run privately but then it will not be affordable. How long is the govt going to support Air Magufuli? You can’t run an airline to ferry vogogo around the country. JPM had a plan but all sabotaged by people who did not like him. Watakula watashiba, na sisi tutamkumbuka. RIP JPM.Hasara ya Atcl inaenda ikipungua mwaka hadi mwaka. Uwekezaji wa mradi wa ndege is a long- run business project. Wapuuzi wa kutafuata chipu popularity wanazungumzia hasara tu. Hawasemi kwenye business plan ya Atcl projection yao BEP ilikuwa iwe baada ya kipindi cha muda gani? Hawa angalii Atcl ina impact gani kama kichocheo cha kurahisisha usafiri hivyo uchumi wa Taifa? Hawaoni faida kama hii ya kumfanya Mh Rais na viongozi wengine wajinome na kuharakisha utendaji wa majukumu yao.
Leo spika kawauliza wa Bunge Swali hili chonganishi kuhusu hasara ya ATCL ngoja utaona wale mawakala wa kushinda na marehemu watavyojitoa ufahamu.
Is Polepole young or dwarf?
Ubarikiwe mno mno. Mungu alituona na kutusikiaNamwomba Mungu amlinde na kumtetea huyu mama. Ameshaanza kufanyika faraja katika mioyo ya watu iliyoumizwa na kujeruhiwa sana!
YESU NI MWOKOZI!
Shoga labda nataka kujua girlfriend wake?Somebody told me he is still a teenager.
What a stupid argument, you don’t start a business by making losses in anticipation it will recover. Transport business is a very complex issue it’s better to be run privately but then it will not be affordable. How long is the govt going to support Air Magufuli? You can’t run an airline to ferry vogogo around the country. JPM had a plan but all sabotaged by people who did not like him. Watakula watashiba, na sisi tutamkumbuka. RIP JPM.
You must be an imbecile!You must be very stupid, a cursed idiot.
Hapakuwa na watu kabisa hapo hadi "Hassan Bin Alli na watoto wake saba" walipofika hapo?Samahani Mkuu
Lakni hii ni fikira potofu kwamba Mzee Karume ndio mwanzilishi Taifa la Zanzibar. Katika historia ya ukweli na karibu tu Zanzibar imeanza kukaliwa na binadamu tangu wakati wa Persian Empire. Hassa Bin Ali na watoto wake saba walisafiri katika pwani za Africa Mashariki na walikuwa wakichukuwa maji hapo Zanzibar kwa ajili ya safari zao. Ndio wakafanya vituo na hatimae makaazi ya mapumziko na mji ukaanza kidogo kidogo na ndio maana Mzanzibari asilia anaitwa Mshirazi. Hassan Bin Ali alikuwa anatokea katika mji mkuu wa Iran sikuzile uitwao Shiraz.
Kampala.Bado sijamuelewa huyo mama na maamuzi yake zaidi ya hizo picha zenu akienda Znz na kurudi, next time kituo kingine sijui kitakuwa wapi?
Nenda Mirembe hospital wakakusaidieYou must be very stupid, a cursed idiot.
Hivi Mungu yuko Bongo tu? Kila kitu Mungu na bado maskini wengi tu. Nitaamini kuna Mungu kama vigogo will stop stealing our money and resources! Wanasshiba na kunoma and god can’t stop them!Ubarikiwe mno mno. Mungu alituona na kutusikia
Awahi tu akasikie mapumba ya NdugaiAkiwa visiwani Zanzibar Samia alihudhuria swala ya kumswalia Hayati mzee Karume ambaye ni mpigania uhuru na mwasisi wa Taifa la Zanzibar.
Mheshimiwa Rais Samia mara baada ya kutua kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius K Nyerere ameelekea Ikulu ndogo ya Magogoni iliyopo Dar es Salaam yalipo makazi yake.
View attachment 1746567View attachment 1746568
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, akiwasili uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, leo Alhamisi wakati akitokea Zanzibar. Amepokewa na viongozi mbalimbali wakiongozwa na mkuu wa mkoa huo, Abubakar Kunenge.