Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,156
- 4,510
Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassani amewasili Jijini Dar es Salaam kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere na amepokelewa na Waziri Mkuu Mhesh Kassimu Majaliwa pamoja na Viongozi wengine wa Serikali.
Mama Samia atazungumza na Wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam jioni ya leo katika Ukumbi wa Mlimani City.
Mama Samia atazungumza na Wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam jioni ya leo katika Ukumbi wa Mlimani City.