Papaa Mobimba

JF-Expert Member
Jan 27, 2018
753
3,096
Wabunge wapya walioteuliwa kuwa wabunge ni pamoja na Aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi, Dkt. Bashiru Kakurwa Ali, Mbarouk Nassor Mbarouk na Liberata Mulamula.



Rais Samia Suluhu akitangaza Baraza la Mawaziri amesema...

''Kuondoka kwa Mpango kumefanya nifanye mabadiliko kidogo kwenye Baraza la Mawaziri na nitatangaza hapahapa, zege halilali''

Baadhi ya Wizara zimefanyiwa Mabadiliko na nyingine zimebaki kama zilivyokuwa.

MAJINA YA MAWAZIRI WAPYA KWENYE WIZARA

Ummy Mwalimu - Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI

Mohammed Mchengelwa - Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Selemani Jafo - Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais

Geoffrey Mwambe - Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu - Uwekezaji

Dkt. Mwigulu Nchemba - Waziri wa Fedha na Mipango

Profesa Palamagamba Kabudi - Waziri Wizara ya Katiba na Sheria

Balozi Liberata Mulamula - Waziri wa Mambo ya Nje

Prof Kitila Mkumbo - Waziri wa Viwanda na Biashara

1617210730078.png

1617210751833.png

1617210769933.png

1617210790241.png
 
Ofisi ya Jafo

Uwekezaji imerudi chini ya ofisi ya waziri mkuu

Ummy mwalimu-tamisemi

Wizara ya fedha -mwigulu nchemba

Sheria- kabudi paramagamba

Mambo ya nje- balozi mulamula

michezo -naibu (gekulu) ulega amerudi mifugo

Afya- naibu wa pili Mwanaidi ally hamisi

Bashiru-mbunge wa kuteuliwa

Zingine zimebaki kama zilivyo.
 
Wabunge wapya walioteuliwa kuwa wabunge ni pamoja na Aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi, Dkt. Bashiru Kakurwa Ali

Rais Samia Suluhu amesema

''Kuondoka kwa Mpango kumefanya nifanye mabadiliko kidogo kwenye Baraza la Mawaziri na nitatangaza hapahapa zege halilali''

Baadhi ya Wizara zimefanyiwa Mabadiliko na nyingine zimebaki kama zilivyokuwa.

Hapo sawa ,baraza lazima livunjwe ,watu walikuwa wanatetea uvunjwaji wa katiba waziwazi.
 
Back
Top Bottom