Vugu-Vugu
JF-Expert Member
- Feb 24, 2017
- 1,106
- 1,265
Daaah Chadomo kweli wamezidiwa aiseUna laana kama zote,umepoteza focus hujielewi hata unaongea nini unatukana hovyo
Daaah Chadomo kweli wamezidiwa aiseUna laana kama zote,umepoteza focus hujielewi hata unaongea nini unatukana hovyo
Hii sio Tanzania ya Magufuli elewa,
Qumaa ww achana na mimi sijawahi na haitatokea mie ku loose😅Una laana kama zote,umepoteza focus hujielewi hata unaongea nini unatukana hovyo
Dalili za stress na kuharibikiwa 😀😀..mzigo wa laana uliobeba unataka kukuua,katubuQumaa ww achana na mimi sijawahi na haitatokea mie ku loose😅
Kwanini huyu asifungiwe?!Qumaa ww achana na mimi sijawahi na haitatokea mie ku loose😅
Laana zipi mbwa ww, au laana za kuku rafi?Dalili za stress na kuharibikiwa 😀😀..mzigo wa laana uliobeba unataka kukuua,katubu
Mfungiwe machawa mnaharibu jukwaa kwa sifa za kijingaKwanini huyu asifungiwe?!
TUChapeni kazi kwa bidiiTanzania mambo ni mazuri, Uchumi unakua kwa kasi??
daahQumaa ww achana na mimi sijawahi na haitatokea mie ku loose😅
Una laana wewe mzaliwa kwa malayaLaana zipi mbwa ww, au laana za kuku rafi?
===
According to National Bureau of Statistics (NBS) Pato la Tanzania Tanzania Gross Domestic Product GDP limekua kwa kasi ya ajabu na kufikia asilimia 5.2 robo ya tatu ya mwaka kutoka asilimia 4.1 robo ya kwanza wakati Rais Samia Suluhu Hassan alipoingia madarakani yaani kuanzia tarehe 19|03|2021 takribani miezi tisa sasa,
Kwa lughal rahisi tunaweza kusema Rais Samia Suluhu Hassan kwa miezi hii michache amekuza Pato la nchi nzima kwa ukuaji "Chanya" wa Uchumi wa asilimia 5.2 wakati huu huu ambapo majirani zetu wakishuhudia ukuaji "Hasi " wa Uchumi wao,
Mtakumbuka,hali ilikuwa mbaya zaidi mwaka 2019 pale ambapo AfDB waliikadiria Tanzania Pato lake kushuka kutoka wastani wa ukuaji wa asilimia 7 hadi ukuaji wa asilimia 2.1 mwaka 2019|2020 na sababu ikiwa ni Covid 19,
Wakati huohuo baadhi ya nchi za Africa Mashariki walishuhudia ukuaji hasi wa Uchumi mathalani Rwanda ilirekodi ukuaji hasi wa asilimia 3 & 6 huku Kenya wakishuhudia ukuaji hasi wa asilimia -2.1 robo ya pili ya mwaka 2021 wakati Tanzania chini ya Rais Samia Suluhu Hassan tulirekodi ukuaji Chanja wa asilimia 4.4,
Kuimarika kwa kasi kwa Utalii na uwekezaji mkubwa toka nje na kilimo vimetajwa kuwa ni sababu za kukua kwa kasi kwa Uchumi wa Tanzania hasa katika robo ya tatu ya mwaka 2021 uliofikia TZS 32 trilioni kutoka TZS 30.3 trilioni katika robo ya tatu ya mwaka 2020.
Katika robo ya tatu ( Q3 ) mwaka 2020 Tanzania ilipokea Jumla ya Watalii 72,147 pekee wakati katika kipindi kama hicho mwaka 2021 Tanzania imepokea Jumla ya Watalii 243,565 sawa na ongezeko la Watalii 171,418 ambao ni sawa na asilimia 338
Utalii katika robo hii ya tatu ( Q3 ) umechangia asilimia 18.1 kwenye Uchumi wa Taifa na hii inachagizwa zaidi utengenezaji wa "Royal Tour Film " itakayozinduliwa rasmi 22|04|2022 huku kilimo kikichangia asilimia 15,
VIVA TANZANIA || VIVA SAMIA VIVA
Corona wakati mshahara kila mwezi ulilipwa na posho za kukutosha?Tatizo lilikuwa Corona, Tatizo watanzania wanapenda udaku sana badala ya hoja,
Unasimamia mifumo usiyoijua, usiyoisomea,usiku taka kuijua, na usiyotaka kuifuatilia? Kwa kifupi tunapigwa.Hizi sio hesabau za maza ni NBS na BOT, Mama kazi yake ni kusimamia mifumo tu
Rais Samia ni mchumi mbobevu kama ulikua hujui, Take it
Ninakupendaga sana Wewe ni mstaarabu Jf , na una majibu ya Kisayansi ila kwa maza anakuangushaKaangalie CV yake then njoo tuendeleze mjadala
Wewe kakupiga cheo kumfagilia mustAsante mkuu Jf lazima tuheshimu kila mtu na tupishane kwa hoja tu kwani sote ni watanzania,
Ila Mama hajawahi kuniangusha mkuu wangu,
Hii nchi ilikuwa inaelelekea shimoni lazima tuwe wa kweli na Mungu atatubariki kwa ukweli wetu,
Mkulima? Ukiona mkulima anamsifia Rais ujue hajui kusoma wala kuandika Mkuu. Sasa Wewe wapi na wapi?Huwezi amini mimi ni mkulima tu huku maporini hata Mungu anajua Mimi sina cheo chochote ila ni Mzalendo sana kwa Taifa na Rais wangu,
#Vijana tuweni Wazalendo kwa nchi yetu na Rais wetu,
Huwezi amini mimi ni mkulima tu huku maporini hata Mungu anajua Mimi sina cheo chochote ila ni Mzalendo sana kwa Taifa na Rais wangu,
#Vijana tuweni Wazalendo kwa nchi yetu na Rais wetu,