Babe la mji
JF-Expert Member
- Dec 14, 2019
- 983
- 2,053
Ukiangalia utawala wa Rais wetu kwa makini utagundua kabisa kuna nguvu nyuma ya pazia inayompa shinikizo kuhusu maamuzi anayoifanya hasa kuhusu mambo ya uchumi.
Alianza kwa kuongezea makato kwenye miamala ya simu hali iliyozua tafulani kwa Wananchi wake wakati ilitakiwa kupunguzwa kwa Sababu ya COVID 19.
Matokeo yake Wananchi ndiyo wanaumia yeye ni kama hajali,Lengo tuliambiwa ni tozo kwa ajili ya ujenzi wa madarasa lakini badae serikali ikapata mkopo World Bank kwa ajili ya huo ujenzi ajabu Bado tozo zipo
Bidhaa zinapanda Bei Kila kukicha lakini mkuu wa nchi haonyeshi kujali yeye Kila siku ni kisisistiza bidhaa itendelea tu kipanda kisa na mkasa ni vita ya Ukrein na Urusi na inaonekana serikali Haina hata mpango wa kuzibiti bidhaa isipande Zaidi ya hapo .
Mafuta ya kula,ngano,sabuni ni Kaa la moto kwa maisha ya Wananchi wa kawaida.
Jana kaludisha tena sh 100 kwenye tozo ya mafuta manake ameluhusu mafuta yapande zaidi Sasa hapo anawasaidia Wananchi au anazidi kuwaumiza.
Lengo la serikali Zote Duniani ni kuwawezesha Wananchi wao waishi vizuri lakini kinyume na matalajio watawala wa Tanzania ni kama hawawajali Wananchi wao.
Je, anahujumiwa au anajihujumi mwenyewe.
Alianza kwa kuongezea makato kwenye miamala ya simu hali iliyozua tafulani kwa Wananchi wake wakati ilitakiwa kupunguzwa kwa Sababu ya COVID 19.
Matokeo yake Wananchi ndiyo wanaumia yeye ni kama hajali,Lengo tuliambiwa ni tozo kwa ajili ya ujenzi wa madarasa lakini badae serikali ikapata mkopo World Bank kwa ajili ya huo ujenzi ajabu Bado tozo zipo
Bidhaa zinapanda Bei Kila kukicha lakini mkuu wa nchi haonyeshi kujali yeye Kila siku ni kisisistiza bidhaa itendelea tu kipanda kisa na mkasa ni vita ya Ukrein na Urusi na inaonekana serikali Haina hata mpango wa kuzibiti bidhaa isipande Zaidi ya hapo .
Mafuta ya kula,ngano,sabuni ni Kaa la moto kwa maisha ya Wananchi wa kawaida.
Jana kaludisha tena sh 100 kwenye tozo ya mafuta manake ameluhusu mafuta yapande zaidi Sasa hapo anawasaidia Wananchi au anazidi kuwaumiza.
Lengo la serikali Zote Duniani ni kuwawezesha Wananchi wao waishi vizuri lakini kinyume na matalajio watawala wa Tanzania ni kama hawawajali Wananchi wao.
Je, anahujumiwa au anajihujumi mwenyewe.