Masiya
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 7,578
- 7,281
Haieleweki. Uenyekiti wa bodi sio kazi ya kiutendaji kwa hiyo Profesa anaweza kuendelea tu na nafasi yake NIMR bila shida yeyote. Tafico ni kwa kuvutia posho za vikao.
Amandla...
Taarifa imeandikwa kiusahihi kabisa. " Prof. Mgaya NI ........." na siyo "alikuwa"Taarifa inasema "alikuwa" maana yake hayupo tena hapo