Haya Zitto , Tume yako hiyo, huruRais Samia Suluhu amemteua Jaji Jacob Mwambegele kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), akichukua nafasi ya Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufani, Semistocles Kaijage ambaye amemaliza muda wake.
Jaji Mwambegele ni Jaji wa Mahakama ya Rufani na Mjumbe wa NEC.
View attachment 2059505