Rais Samia Suluhu amteua Jaji Jacob Mwambegele kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC)

Huyu alikuwa mjumbe wa NEC ile ile iliyovuruga uchaguzi na kupora kura , hatakuwa na jipya , Sasa ndio muelewe kwamba kile kikao cha Mutungi na akina Zitto , Lipumba na mamluki wengine hakikuwa na maana yoyote .

Hii ndio Tume huru ya uchaguzi ?
Sasa ndio kina Zitto wamekaa na kumteua wakampa Samia jina au ni mimi ndio sielewi umuhimu na kazi ya kamati ya Zitto ..👇🏾

6CC2A773-A7D9-4AAB-ACF3-5525C7C0E197.jpeg
 
Huna taarifa. Mhe. J. Mwambelege hajawahi kuwa sehemu ya menejimenti ya kusimamia uchaguzi Mkuu wowote Tanzania.
Acha kuzusha
MaCCM mkiwa tayari kupoteza chaguzi itaonekana tu, wala si kwa kumbia kimbia Katiba mpya, na kurudisha siasa za Kikwete.
Kura zitapigwa kwa utulivu kuwazuga Mabeberu watoe hela, matekeo sasa, kutangaza upinzani mnapindua meza na na mnakuja na HADITH za mazungumzo ya muafaka.
Tusichoshane wapendwa nyie tawaleni tu.
 
MaCCM mkiwa tayari kupoteza chaguzi itaonekana tu, wala si kwa kumbia kimbia Katiba mpya, na kurudisha siasa za Kikwete.
Kura zitapigwa kwa utulivu kuwazuga Mabeberu watoe hela, matekeo sasa, kutangaza upinzani mnapindua meza na na mnakuja na HADITH za mazungumzo ya muafaka.
Tusichoshane wapendwa nyie tawaleni tu.
Ikiwa huwajui hata waliosimamia uchaguzi wenyewe,unawezaje kutuandikia hizi hekaya?
Uwe unatafuta taarifa kabla ya kuja humu na vijistori
 
Rais Samia Suluhu amemteua Jaji Jacob Mwambegele kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), akichukua nafasi ya Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufani, Semistocles Kaijage ambaye amemaliza muda wake.

Jaji Mwambegele ni Jaji wa Mahakama ya Rufani na Mjumbe wa NEC.

View attachment 2059505
Mahera na Mwambegele duties zao zinatofautiana vipi
 
Huyu alikuwa mjumbe wa NEC ile ile iliyovuruga uchaguzi na kupora kura , hatakuwa na jipya , Sasa ndio muelewe kwamba kile kikao cha Mutungi na akina Zitto , Lipumba na mamluki wengine hakikuwa na maana yoyote .

Hii ndio Tume huru ya uchaguzi ?
Hapana, Huyu kaingia kwenye tume, miezi mitatu au minne iliyopita. Aliteuliwa na mama Samia.
 
The day tunatangaza kuingia vyama vingi mwaka uliofuata wa uchaguzi ungeambatana na tume huru.
Ivi kweli mnatarajia mtuele amdiss bosi wake.
Ila Africa tuna viroja acha tuu
 
Ikiwa huwajui hata waliosimamia uchaguzi wenyewe,unawezaje kutuandikia hizi hekaya?
Uwe unatafuta taarifa kabla ya kuja humu na vijistori
Chawa sijuhi kiroboto nini uelewi, kulikua hakuna uchaguzi, MaCCM yote yameshiriki UHAINI kwakuvunja katiba kuaribu chaguzi .
 
mwenyekiti wa NEC kuteuliwa na mwenyekiti wa CCM SI SAWA
Kwa taarifa yako hakuna reference ya nchi yoyote huku duniani ambako mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi hateuliwi na Rais Kuna tofauti ndogo ndogo Sana za mchakato wa kuthibitishwa tu lakini teuzi zote zinafanywa na Rais. Watanzania tunafeli wapi? Tufanye tafiti kwanza ndio tuje huku
 
Kwa taarifa yako hakuna reference ya nchi yoyote huku duniani ambako mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi hateuliwi na Rais Kuna tofauti ndogo ndogo Sana za mchakato wa kuthibitishwa tu lakini teuzi zote zinafanywa na Rais. Watanzania tunafeli wapi? Tufanye tafiti kwanza ndio tuje huku
Basi tunataka Tanzania ndo iwe nchi ya kwanza kuwa kuwa mwenye kiti wa tume ya uchaguzi hachaguliwi na mwenyekiti wa CCM.
Sasa hapo Kuna uchaguzi au UCHAFUZI?.
Ni RAIS gani mpumbavu atakubali akuchague yeye alafu uwape HAKI wapinzani?
 
Kaijage amepumzishwa hata ajui mteule wake Magufuli aka mwendazake alipata kura ngapi 2020
 
Katiba mpya ni muhimu kupatikana, haiwezekani raisi ambaye pia ni mhombea anateua Mwenyekiti, wajumbe na mkurugenzi wa tume ya uchaguzi....hakika "ikulu kuna mtoto wa shetani Mwingira"
 
Shule lengo lake ilikuwa kufuta ujinga.

Basi ujinga huu siwezi kuukubali sababu kusingekuwa na haja ya kwenda shule.

Sasa hapo wanafikiri hatuoni nafasi zilizotolewa ziliangalia makada tiifu wa CCM.
 
Back
Top Bottom