KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,189
- 17,157
Ahsante sana mkuu.Nina moja tu: Kuinamisha kichwa siyo udhaifu. Kuinamisha kichwa ni alama ya unyeyekevu ambayo anatakiwa awe nayo kila kiongozi.
Inasikitisha wabongo tumezoea viongozi wenye viburi na kujikweza kiasi ambacho ukimwona anayenyenyekea unamwona kama ni mjinga. Hili la kuinama ni zuri sana na aliendeleze.
Sijui hawa jamaa wamepata wapi hili wazo na kulifanya kana kwamba ni jambo muhimu sana.
Afanye kazi yake vizuri tu, na kila kiongozi na watu wataheshimu kazi zake.