Rais Samia Suluhu ametoa moja ya hotuba bora sana, nina matumaini ataziba nyufa nyingi za utawala uliopita

Ni heshima ila mtu anaweza ku take advantage kwa kudhani ni udhaifu... mi naona aache kuinamisha kichwa... itamfanya azidi kuwa na Authority
Sasa lakini mkuu mtu akiona ni udhaifu atafanya nini mfano?..au atafanya nini kwa kutumia hiyo advantage?..
 
Anaweza kufanya hivyo kwa masheikh na Maaskofu haha nyumbani , lakini kwenye International arena it is a no no haitamsaidia yeye na nchi pia!! Just for reference muangalie yule mama Harris VP wa ubeberuni!!!
Umenipata kabisa hapo... Amuangalie Markel wa ujerumani ajifunze zaidi
 
Kuinamisha kichwa ni kama gesture wanayofanya baadhi ya mabinti wanaposalimia wakubwa ?..au vipi?,sijaelewa.

Sema Mama akisimama imara na kutenda haki na kuboresha mambo uliyoyaorodhesha na mengine kama ajira,biashara na uwekezaji,afya n.k basi atapendwa sana..nani atakayemchukia mama?..sioni
Yaaah, bado hajakaa sawa. Imagine Waziri wake wa Mambo ya Nje, Kabudi alivyokuwa na confidence 101% hata PM alilimudu jukwaa vizuri. Mama Samia kama Rais wa Jamhuri alitakiwa awe na confidence zaidi ya hao. All in all she is good
 
Ni nani huyu?
Huyu ni Balozi wetu Uingereza (kama bado) kabla ya hapo alikuwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, kabla alikuwa Waziri na mwaka 2015 aliingia kwenye kinyang'anyiro cha Urais na ni mmoja kati ya wanawake wawili na Magufuli waliopendekezwa na Chama kuteuliwa kugombea. Magufuli ndo aliyeteuliwa lakini niseme tu wanawake wote wawili walikuwa better Presidential material.
 
Duuu yaani humu kuna watu wanamzidi mama Samia kiuongozi hadi wanatoa tuition. Ishu siyo kuinamisha kichwa au eye contact,cha msingi tumjudge kupitia maamuzi yake ndipo tuunganishe na hivyo msemavyo. Muda utaongea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mama Samia should learn to look people in the eye ; that is a sign of strength!!! Rais hutakiwi kuonekana mnyonge; kwani una dhamana ya watu million 60 na Ardhi yote ya nchi!! Rais chukua ushauri lakini Sio lazima uufuate, uamuzi ni wako kwani wewe ndio muwajibikaji.
Nafkiri msiba
 
siano na nchi majirani - Haukua mzuri, na hususani uhusiano na jirani yetu Kenya ambaye tuna muingiliano mkubwa sana wa kibiashara na kijamii kuliko majirani wetu wote. Ila kwa namna ya namna alivotoa hotuba yake, nna imani sana kwamba ataboresha na kuponya haya mahusiano na majirani
Ni makosa makubwa kuitegemea Kenya kama mshirika muhimu kwetu.
Mwingiliano nao unaonyeshwa na njia kuu za kuingilia kati ya nchi hizi mbili - zipo kama nne hivi: Sirari, Namanga, Holili, Holoholo; na barabara zetu kuu kwenda nje zinaelekea huko zaidi ya kwingine kokote. Na bado kuna barabara zinajengwa, kama ile ya kuambaa pwani tokea Kilifi hadi Bagamoyo!

Tunazo barabara ngapi kati ya Uganda na sisi; au Zambia na sisi; Burundi na DRC ,je, hawa sio majirani zetu tunaotaka tushirikiane na kufanya nao biashara?

Ni wakati sasa tuweke mkazo kwa majirani zetu wengine.

Ni juzi tu tumeona tatizo kubwa la kutegemea nchi moja kwa biashara ya mahindi ya wakulima wetu.
 
Mama Samia should learn to look people in the eye ; that is a sign of strength!!
Says who? Mabeberu! au 'sterityping' ya kijinsia/kitamaduni?

Japan wao mbona hawafanyi hivyo? Indian leaders do not show an intimidating aura, but get respected on what they do and say.

There is more to leadership than brazen intimidation and scare-crowing adversaries.

Respect for a leader does not depend on antics he/she displays.

Let Samia be Samia, do not try and recreate her into something she is not.
 
Back
Top Bottom