Rais Samia Suluhu alivyomkaribisha mtoto wa miaka 8 kukalia kiti cha Rais

benzemah

JF-Expert Member
Nov 19, 2014
1,504
3,034
Mtoto Georgina Magesa (8) ametimiza ndoto yake ya kukutana na Rais Samia Suluhu Hassan na kumpatia zawadi ya kitabu, huku tukio hilo likivuta hisia za watu wengi baada ya Rais Samia kumkalisha mtoto huyo katika kiti chake (Kiti cha Rais).

Hayo yametokea leo Alhamisi Mei 18, 2023 katika uzinduzi wa minara 21 ya kurushia matangazo ya televisheni ardhini (DTT) ya kampuni ya Azam Media.

My Take:
"Tendo hili ni motisha kubwa kwa mabinti wa kitanzania kuwa inawezekana siku moja kufikia ndoto zao wakijituma na kujibidiisha"
Video Credit Mwananchi
 
Wengine watakwambia anaandaliwa kuwa mama wa Taifa...watakuja kumfuatilia baada ya miaka 20 tokea leo..make kuna wazeee wa kukamatia fursa wataanza kusaka ni nani alieleta taarifa zake hadi kwa mh.Rais ili na wao wapate connection.
 
Mtoto Georgina Magesa (8) ametimiza ndoto yake ya kukutana na Rais Samia Suluhu Hassan na kumpatia zawadi ya kitabu, huku tukio hilo likivuta hisia za watu wengi baada ya Rais Samia kumkalisha mtoto huyo katika kiti chake (Kiti cha Rais).

Hayo yametokea leo Alhamisi Mei 18, 2023 katika uzinduzi wa minara 21 ya kurushia matangazo ya televisheni ardhini (DTT) ya kampuni ya Azam Media.

My Take:
"Tendo hili ni motisha kubwa kwa mabinti wa kitanzania kuwa inawezekana siku moja kufikia ndoto zao wakijituma na kujibidiisha"
Video Credit Mwananchi
View attachment 2626238
Hili si marais wote wanaoliweza. Mama samia Mungu akuhifadhi.
 
Mtoto Georgina Magesa (8) ametimiza ndoto yake ya kukutana na Rais Samia Suluhu Hassan na kumpatia zawadi ya kitabu, huku tukio hilo likivuta hisia za watu wengi baada ya Rais Samia kumkalisha mtoto huyo katika kiti chake (Kiti cha Rais).

Hayo yametokea leo Alhamisi Mei 18, 2023 katika uzinduzi wa minara 21 ya kurushia matangazo ya televisheni ardhini (DTT) ya kampuni ya Azam Media.

My Take:
"Tendo hili ni motisha kubwa kwa mabinti wa kitanzania kuwa inawezekana siku moja kufikia ndoto zao wakijituma na kujibidiisha"
Video Credit Mwananchi
View attachment 2626238
Naomba mwenye picha kubwa ya mtoto akiwa kitini aiweke hapa please

What an inspiration!
 
Urais hauna chuo
Wewe unafanya unavyojisikia unasubir kipindi cha kampeni
Nadhani hii ni kazi bora kabisa na nzuri kuwahi kutokea chini ya jua
 
..kiti cha Raisi kina nini mpaka iwe ni tukio au habari kubwa mtoto kukikalia?

..je, Raisi atakuwa anaruhusu watoto kukalia hicho kiti kila siku?

..Na Tanzania yetu ina watoto wangapi?

..Je, hitaji au shida namba moja ya watoto wa nchi hii ni kukalia kiti cha Raisi?
 
Kwahiyo mitambo ya ardhini ina replace satelite?

Mtoto Georgina Magesa (8) ametimiza ndoto yake ya kukutana na Rais Samia Suluhu Hassan na kumpatia zawadi ya kitabu, huku tukio hilo likivuta hisia za watu wengi baada ya Rais Samia kumkalisha mtoto huyo katika kiti chake (Kiti cha Rais).

Hayo yametokea leo Alhamisi Mei 18, 2023 katika uzinduzi wa minara 21 ya kurushia matangazo ya televisheni ardhini (DTT) ya kampuni ya Azam Media.

My Take:
"Tendo hili ni motisha kubwa kwa mabinti wa kitanzania kuwa inawezekana siku moja kufikia ndoto zao wakijituma na kujibidiisha"
Video Credit Mwananchi
View attachment 2626238
 
20230123_063456.jpg
 
..kiti cha Raisi kina nini mpaka iwe ni tukio au habari kubwa mtoto kukikalia?

..je, Raisi atakuwa anaruhusu watoto kukalia hicho kiti kila siku?

..Na Tanzania yetu ina watoto wa ngapi? Na hitaji au shida namba moja ya watoto wa nchi hii ni kukalia kiti cha Raisi?
Kama unashindwa kutambua umuhimu wa Kiti,utakuwa unaharibikiwa hata kwenye kazi kupitia Kiti unachokalia ofisini. Ombea Kiti chako popote utakapokuwa. Au hata kama una mtoto au ndg,fanya maombi kwa Mungu kuombea sana nafasi yake kwa kuombea kiti anachokalia. Nafasi ya mtu popote ofisini ni kiti. Wapo wengi wamepoteza nafasi zao kwa kushindwa kuombea kiti na kuishia kiti kutekwa na mtu mwingine kwenye ulimwengu wa giza.
 
Back
Top Bottom