citizensindevelopment18
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 1,559
- 764
Uwiii tuendelee ziara ya pili. Maendeleo hayana chamaHivi hana kazi za kufanya mpaka nako kumtembelea Lowassa ni taarifa kwa umma? Nchi imejaa shida chungu nzima huku anazunguka tu.
Uwiii tuendelee ziara ya pili. Maendeleo hayana chamaHivi hana kazi za kufanya mpaka nako kumtembelea Lowassa ni taarifa kwa umma? Nchi imejaa shida chungu nzima huku anazunguka tu.
Sio kawaida blaza ili mama atembee 2025 anahitaji sapoti ya Lowasa tayari Tim JK anayo....Nayo ni taarifa?, matembezi tu ya kawaida haya.
Vyuma wako wanaliwa na kutu.Maisha haya kweli Mungu hupanga wakati wanadamu huwaza tu...
Mzee Lowassa yupo vizuri kabisa, wakati waliokuwa wakimkejeli kwa mipush ups miaka ile sijui hata wapo wapi...
Gaidi atatembelewa lini?.Hii ndio taarifa mpya inayopatikana mitandaoni baada ya Rais kumtembelea Lowassa nyumbani kwake, bali haijulikani nini walichojadiliana.
Best hatuna haja ya kuwacheka wafu kana kwamba sisi tupo hapa siku zote! Sema kwa vile unaongea kishabiki bila kutumia ubongo sawa! Huyo Lowassa unayemsema naye hana siku nyingi atawafuta kama mimi na wewe tutakkavyowafata! Biblia inasema siku za mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke si nyingi azo zimejaa shida na mateso!Vyuma wako wanaliwa na kutu.
Kikubwa ni kwamba Lowasa fisadi hataa awe Rais mpaka kufa kwake over!Hizi ni ndoto za mchana unaota.
Hatari snUwiii tuendelee ziara ya pili. Maendeleo hayana chama
Usiseme hivyo aisee, kifo ni Majaliwa na maulana. Ndio maana toka wanasema atakufa wameishia kufa wao na pesa zao Ila huyu bado siku yake haijafika.Kama sio hela huyu mzee angeshachomoka
Aisee. Inafikirisha. Lowassa ni fumbo kubwa sana huko CCM. Huwa anatambulishwa kama kubwa la mafisadi Tanzania (fisadi papa) na CHADEMA wanapondwa sana kwa kuacha kampeni dhidi ya ufisadi baada ya kumchukua “fisadi mkuu” Lowassa kuwa mgombea wao wa uRais 2015.Laigwanan El Commandante Edward Ngoyai Lowassa💪
Siempre CCM🙏
Hapana. Vita mbaya sana ya kiuchumi.Uwanja wa vita ya korona 🤣🤣🤣
Busara hii inatakiwa kuwepo kwa watu wote, wakati wote, mahali pote. Sio selectively.Best hatuna haja ya kuwacheka wafu kana kwamba sisi tupo hapa siku zote! Sema kwa vile unaongea kishabiki bila kutumia ubongo sawa! Huyo Lowassa unayemsema naye hana siku nyingi atawafuta kama mimi na wewe tutakkavyowafata! Biblia inasema siku za mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke si nyingi azo zimejaa shida na mateso!
Lowassa atabakia kuwa mmoja wa viongozi wenye hekima sana kuwahi kutokea...Pamoja na kupigwa vita na akina Ridhiwani na group lake lakini bado mzee Lowassa alivumiliaMzee Lowasa, mzee wa hekima. Alienda CHADEMA bila ya kejeli kwa CCM, akarudi CCM bila ya kejeli kwa CHADEMA.
Aliambiwa anagombea Urais wakati yeye ni wa kufa wakati wowote, hakusema kitu zaidi ya, "maisha ya mwanadamu hupangwa na Mungu", na hakika Mungu kampangia aendelee kuishi, sawa na alivyopanga wengine watangulie ili yeye ashuhudie kuondoka kwao badala ya wao kushuhudia kuondoka kwake.
Pamoja na tofauti zozote zile, Lowasa could have been a better president than what we got in 2015.
Wanabanikwa kama ndafu huko jehan
HUYU EDAWARD SIO WA MZAHA KI HIVYO...HEAVY PERSON....HUYU BILA KUTUMIA NJIA HARAMU KUPAMBANA NAE HUWEZI...KIKWETE ALITUMIA HARAMU KUMNYIMA HAKI HUYU BWANA.....MAMA AMEELEKEZWA KUOMBA USHAWISHI KWA HUYU BWANA.....MAGUFULI ALIFANYA HARAMU ZOTE HUYU BWANA AJE UPANDE WAKE at last LOWASSA akarudi magu akatulia....UHARAMU HADI WA KUSHIKILIA MAHABUSU MKWE WA LOWASSA BWANA SIOI KWA ZAIDI YA MIAKA 4 .....KWA KIFUPI MAMA ANAANGAIKA NA KUPITISHWA CCM 2025Hii ndio taarifa mpya inayopatikana mitandaoni baada ya Rais kumtembelea Lowassa nyumbani kwake, bali haijulikani nini walichojadiliana.
Hela zinaongeza siku mkuu kubali kataa ila hao unaowazungumzia pia kama sio hela wangekufa mapema zaidi ya hapo kuna watu wanaenda kubadlisha damu mkuu kila wiki yote hii ni ela wangekua hawana ?Usiseme hivyo aisee, kifo ni Majaliwa na maulana. Ndio maana toka wanasema atakufa wameishia kufa wao na pesa zao Ila huyu bado siku yake haijafika.
Siku ya kifo ikifika pesa huwa haisaidii kitu, angalia akina Steve Jobs etc.
Kwenye hili JPM alicheza kama Pele, Mwenyezi Amrehemu. Hawa wazururaji wa Ulaya na Marekani wangetuumiza vibaya sana na lockdowns. Just imagine Waganda mpaka leo watoto hawaendi shule, miezi 19.Vyovyote vile hata ikiwa korona wewe unafikili korona ingemkuta raisi ni kikwete au mama saa mbovu" mambo yangekuwaje tungepigwa lockdown na polisi wangeua watz wengi sana ,njaa na umasikini ungekuwa mara 10 ya sasa magufuli katuvusha sehemu muhimu sana
🔥🔥Hii ndio taarifa mpya inayopatikana mitandaoni baada ya Rais kumtembelea Lowassa nyumbani kwake, bali haijulikani nini walichojadiliana.
Acha Boll Itembee
Utaelewa hivi pundeMbona sielewi leo. Nini kinaendelea huko?