Rais Samia Suluhu akizungumza na Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala D. Harris

Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza na Kamala D. Harris, Makamu wa Rais wa Marekani, leo Aprili 15, 2022 katika Ikulu ya Washington DC Nchini Marekani.



"Utawala wetu umedhamiria kwa dhati kuimarisha ushirkiano na Tanzania na nchi za Kiafrika kwa ujumla" - Kamala Harris


“Nashukuru sana uwepo wangu hapa, nashukuru sana Makamu wa Rais kwa kunikaribisha hapa, hii ni mara yetu ya kwanza tunakutana, hivyo natumia nafasi hii kumpongeza Rais Joe Baden na wewe pia Makamu wa Rais kwa kushinda uchaguzi mwaka 2020,” – Rais Samia

“Tanzania tilikuwa tunafuatilia uchaguzi wenu, kwa mara ya kwanza kulikuwa na mwanamke katika nafasi ya kuwa Makamu wa Rais, hilo lilituvutia.

“Kwa niaba ya Serikali ya Tanzania naipongeza Serikali ya Marekani kwa msaada mkubwa wa maendeleo ambao mmekuwa mkitupatia kupitia USAID kwa miaka mingi hasa katika maendeleo ya kijamii,” Rais Samia.

“Kuhusu Covid-19, Nchi yangu ipo katika hali nzuri na imekuwa ikipata msaada kutoka Marekani, kuna chanzo zaidi ya dozi milioni tano ambazo tumepata kutoka Marekani.

“Kuhusu haki za binadamu na demokrasia, Tanzania imepiga hatua kubwa katika masuala hayo, ambapo tumefanya juhudi kubwa kuhakikisha kuna umoja, mshikamano na heshima kwa Watanzania wote,” Rais Samia.

"Kuhusu biashara na uwekezaji, tunajua tunatakiwa kutengeneza mazingira rafiki ya biashara, Serikali yangu inashirikiana na sekta binafsi, ninachoomba ni Marekani kushawishi sekta binafsi kuja Tanzania kufanya biashara na sisis, tunawakaribisha sana," Rais Samia.

“Napenda pia kukutaarifu Makamu Rais kuwa nikiwa hapa Marekani, nitazindua The Royal Tour ambayo ni programu inayolenga kuonesha uwezo wa Tanzania katika sekta za Utalii na Uwekezaji," Rais Samia.

“Kuichagua Marekani kuwa sehemu ya kufanya Uzinduzi si bahati mbaya, tulifanya hivyo makusudi, lengo ni kuufanya mradi uonekane duniani kote, ili watu wengi wafike Tanzania kutembea,” Rais Samia.

Hana habari kuwa Marekani ilikwisha kuwa na mgombea urais mwanamke na alifanya vizuri sana.
Wazungu huwa uchaguzi ukiisha hawapongezani ushindi.
 
15 April 2022
The White House
Washington DC USA

BRIEFING ROOM

Readout of Vice President Harris’s Meeting with President Hassan of Tanzania


APRIL 15, 2022 STATEMENTS AND RELEASES

Vice President Kamala Harris met today with President Samia Suluhu Hassan of Tanzania in Washington.


The Vice President underscored that the Biden-Harris Administration is committed to strengthening ties with Tanzania and with countries across Africa, based on the principles of mutual respect and equality.

The Vice President welcomed President Hassan’s efforts to strengthen democracy and human rights in Tanzania.

They reviewed a number of areas of cooperation in our bilateral relationship, including health, agriculture, and infrastructure.

The Vice President underscored the importance of our economic and commercial partnership, and discussed recent reforms and others needed to further strengthen our investment relationship.

The two leaders noted they are looking forward to the entry into force of an Open Skies Air Transport Agreement, which establishes a modern civil aviation relationship between the United States and Tanzania and agreed it will promote increased travel and trade and help spur economic growth.

They also welcomed nearly $1 billion of new investments by U.S. companies in Tanzania in tourism, conservation, and clean energy sectors.

The Vice President discussed our efforts to address the COVID-19 pandemic, including through Tanzania’s participation in the U.S.-led Global VAX Initiative, and our donation of nearly 4.9 million vaccine doses provided to Tanzania since the beginning of the pandemic. They discussed broader global health security and global health issues, including supporting women and children’s health.

Lastly, they discussed several regional and global issues of concern.

The Vice President emphasized the importance of the world standing together in support of international rules and norms, including the sovereignty and territorial integrity of all nations.


The Vice President condemned Russia’s invasion of Ukraine and its ongoing brutal attacks against the people of Ukraine and noted there must be severe costs for Russia’s actions.

Source : https://www.whitehouse.gov/briefing...s-meeting-with-president-hassan-of-tanzania/h
 
15 April 2022
Washington DC USA

SAFARI YA KIKAZI YA MH. RAIS SAMIA HASSAN, KUTOA MHADHARA WORLD BANK

Rais Samia Suluhu Hassan kutoa mhadhara katika mkutano wa Benki ya Dunia tarehe 23 April 2022 jijini Washington Marekani


President%20Samia%20Suluhu%20Hassan.jpg

Samia Suluhu Hassan​

President of United Republic of Tanzania
Latest or upcoming appearance: April 23, 2022 source : Samia Suluhu Hassan | World Bank Live

Human Capital at the Crossroads: Reversing the Losses, Reclaiming our Future

Putting people first through investing in human capital – the knowledge, skills, and health that people need to achieve their potential – is critical for sustainable, inclusive growth and poverty reduction. The consequences of the COVID-19 pandemic threaten to leave generations behind and exacerbate inequalities. Health impacts, setbacks to nutrition, the early years and learning, job losses and expanding gender gaps must be addressed with urgency.

Countries have stepped up in innovative ways to put people first through building, protecting, and utilizing human capital – with support from the World Bank and partners. However – ambition, innovation, and sustained support are needed to recover human capital losses and strengthen recovery. Investing in people consistently and providing opportunities for all to achieve their potential can yield economic dividends – and help bring greater stability in a challenging global context.


Source : The 2022 World Bank Group Spring Meetings: Strengthening the case for globalism
 
Ignorance is lack of knowledge, understanding, or information about something; on this context, itinerary ya mkulu inafahamika na wasaidizi wake na bila shaka sio public docx ili wapiga kura wa 2025 wawe na sehemu ya kushauri nini kifanyike pale mkulu akikutana na wakulu wenzie.

Nataka kuamini kwaweza kuwa na trade mission, but a smart mission should be strategically prepared to ensure in the course the country won't be in the state of begging for fish every now and then;

If at all there will be such a mission, we play for such initiative to be inclusive in the course of implementation.
You are ignorant because you are not part of the delegation. Judge not
 
Tulichelewa wapi ,baada ya Kikwete huyu mama alifaa kuwa rais , ila tukapata mfano wa rais.
 
Haina manufaa sana kwakweli ukizingatia kwamba Rais kaiacha nchi ikiwa kwenye lindi la matatizo na bado mambo yaliyozungumzwa hapo hayatoi suluhisho la matatizo aliyayaacha kwani wamezungumzia korona na maswala ya afya ya kina mama na watoto na pia filamu yake jambo ambalo kwakweli halina msaada wa makali ya maisha anayopitia mtanzania kwa sasa.
 
Huyo Samia amekimbia ripoti ya CAG Hana lolote
Akili za Bavicha bana Mama anafanya kazi kama rais nyie kazi yenu kuropoka tu.

Nakumba Lema, Lissu na wanaharakati njaa kwenye kijiwe chao cha Spesii walikuwa wanashikiana akili kuwa rais Samia hawezi kwenda Marekani au Ulaya wameishapiga pin hahahaha.
Yule Maria akaweka na picha ya Rais wa Zambia yupo na Makamu wa Rais wa Marekani huku akijeli tuletee picha ya Rais Samia kama hii akiiona hizi habari najua tumbo la kuhara lazima limshike
 
Pongezi kwa Mhe. Rais Samia na Makamu wa Rais wa Marekani.

Hakika Rais Samia anaupiga mwingi haijawahi kutokea.

Kwa mwendo huu wa Mhe. Rais Samia tutegemee mambo makubwa sana kwa maendeleo ya Nchi yetu.
Bado hajavunja record ya anayemuongoza. Pamoja na Vasco kuishi angani alifanikiwa kwenye ufisadi tuu.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
You are ignorant because you are not part of the delegation. Judge not
Waswahili wanasema kuuliza sio ujinga.
Waingereza wanasema asking questions or being inquisitive is the first law of learning.

Kuna wakati tuliambiwa na waziri mmoja kuwa mradi wa Bagamoyo haukuwa na mkataba. It's as if mkulu wa wakati huo alikuwa anafanya drama kukata utepe.

Ninyi wajuvi tunasubiri mlete informations za delegation.
Ila wakati huwa haudanganyi na kila kilicho chini ya zulia kuna siku ukweli utajulikana.

Jumamosi Kuu njema kwa Wakristo wote.
 
Back
Top Bottom